inawezekana kukawa na ukweli ndani yake.
Lakini kwanini Kama zzt anaushawishi mkubwa huko alishindwa kuisaidia chadema kupata wabunge wengi kutoka huko?
Na tuyasubiri.....
ukweli ndugu zangu chadema matusi yanaharibu hadhi ya chama,jenga hoja unapochangia ,tunakuwa na mtindio wa ubongo,chang
Unasikia!!!!Nasikia hao watu wote ni Chadema nasikia wamemzomea sana alivyoitaja Chadema.
Pamoja sana MABADILIKO NI SASAMkuu, mbona chadema inashikasana kanda ya kaskazini hasa arusha na moshi lakini makao makuu yapo ufipa?? Kwa utafiti wa haraka haraka, wakazi wa ufipa wote huwa wanaichagua ccm katika chaguzi zote.
Nasikia hao watu wote ni Chadema nasikia wamemzomea sana alivyoitaja Chadema.
Naona ile kauli inayosema kwamba kama unataka kurudi bungeni ni lazima ujiunge na ACT inaukweli.
Naona ile kauli inayosema kwamba kama unataka kurudi bungeni ni lazima ujiunge na ACT inaukweli.
Mkuu kauli hiyo ilitolewa na nani? Huo umati usikutishe sana.....hahaaaaahaaaaa
Kweli ndugu wengi wapo ki mkumbo mkumbotu na humu wapo kiashabiki kuwa akiposti kumpinga zitto ataungwa mkono ila ukweli anao moyoni huo ni utumwa wa fikraNi ...OF SEM II 2015 EXAM FINAL TIME TABLE UNDERGRADUATENina shaka upinzani wako. Ukiwa na akili nzuri huwez mzomea Zitto hata siku moja.
Kulwa na doto....