Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,521
- 96,268
Ukiwa na elimu ndogo ya kujenga hoja Mara utakimbilia lugha chafu. Kuwapuuza tu.
Teeeeh,teeeeh,eti nanyi mna kemea?
Ukiwa na elimu ndogo ya kujenga hoja Mara utakimbilia lugha chafu. Kuwapuuza tu.
Confute your impetinenceHuyo mtu wenu kila mahali anapigwa mawe,mwisho wake inabidi muanze kutembea na plasta za kufunga vidonda,
Kigoma ndio imetoa Wabunge wengi wa upinzani mwaka 2010. Na wabunge hao ni matunda ya Chadema waliokimbilia NCCR kutokana na matatizo ya ndani ya Chadema.Hivyo hilo sio kosa la Zitto bali la uongozi wa Chadema kuwaona kuwafukuza wengine wao hao.
Swari vpUnauliza jibu au swali,habari ndiyo hiyo
Zito noma
Nasikia hao watu wote ni Chadema nasikia wamemzomea sana alivyoitaja Chadema.
Na hapo bado Kgm mjini, ACT moto chini
Chuki mbayaCdm ni taasisi kubwa sana kwa sasa hapa nchini Tanzania,hivyo kuilinganisha na hicho li saccos chenu ni kuivunjia heshima sana,muwe na adabu.
Do umesikia kwa masikio Yao "basi hayo si masikio ni matobo kabisa bora uingize pamba
vyovyote ila mabadiliko ndo sasaKweli moto chini kwa udiwani
Kama chagadema ilivyokaa ki kaskazini zaidi, Moshi Arusha Manyara!
Unatakiwa upate Uzalendo kijana wakati ndio huuTulia dawa ikuingie maungoni,hata kama inauma utapona tu
ukweli ndugu zangu chadema matusi yanaharibu hadhi ya chama,jenga hoja unapochangia ,tunakuwa na mtindio wa ubongo,chang
mbowe aliwah kusema# cuf n ccm B, waliwah kuwaita mashoga, mbatia aliwah itwa kibaraka!
Aya unayazungmziaje mkuu###
Nani wa kujiunga na ACT chama cha maigizo kisicho na sera,ujamaa na kujitegemea mmeiga kwa Nyerere,azimio la Tabora mmeiga kwa Nyerere,kauli mbiu ya uzalendo mmeiga kwa Nyerere,operation majimaji mmeiga kwa Kinjekitile kila kitu ni maigizo,mwisho mtakuja kufukua na misukule ya kuwamaliza wenyewe.
Kwa hiyo wa lema ndio wa kutisha wengine sio?
Pasua kichwa sana zitto,cdm na wabaya wako kisiasa hawalali.
Uliza dr.slaa kule kwake majimbo yote ni ya chadema?