Mkuu siasa ni umati hasa ambao haujanunuliwaMkuu kauli hiyo ilitolewa na nani? Huo umati usikutishe sana.....hahaaaaahaaaaa
Huo si umati wa kununuliwaNi ukweli Mkuu.....unahisi zitto amenunua huo Umati
Makao Makuu ya ACT si yangekuwa hukohuko Kasulu na Kigoma, maana Chama hiki kimekaa kiKasulukasulu na kiKigomakigoma!!!!!
View attachment 260877View attachment 260879View attachment 260880
act ndani ya kasulu leo, uwanja umetapika na wananchi wamecheua nyomi la kufa mtu
Ili majimbo ya Kigoma vyama vya upinxani visigawane kura na kuifanya CCM ishinde kuna umuhimu wa ushirikiano.
ACT na wabunge waliopo sasa waangalie namna ya kushirikiana.
Wale wabunge wa sasa wote watahamia ACT.Ili majimbo ya Kigoma vyama vya upinxani visigawane kura na kuifanya CCM ishinde kuna umuhimu wa ushirikiano.
ACT na wabunge waliopo sasa waangalie namna ya kushirikiana.
Ni ukweli Mkuu.....unahisi zitto amenunua huo Umati
Wale wabunge wa sasa wote watahamia ACT.
Ili majimbo ya Kigoma vyama vya upinxani visigawane kura na kuifanya CCM ishinde kuna umuhimu wa ushirikiano.
ACT na wabunge waliopo sasa waangalie namna ya kushirikiana.