Picha: ACT-Wazalendo Kasulu Mjini leo

Picha: ACT-Wazalendo Kasulu Mjini leo

Ni kweli Ana umati lakini anafanana na anachokizungumza.....anasema anafuata "unyerere" nilini alishasema hoja zake za masuala ya kitaifa zinatokana na "sisi"? Kila alilofanya hua anasema "mimi"....ni lini Nyerere alisema "mimi" ktk masuala ya kitaifa? Unyerere siyo "kauli" ni filosofia yanye msingi wa umoja.... umimi wa Zitto ni dhahiri
 
Ni kweli Ana umati lakini anafanana na anachokizungumza.....anasema anafuata "unyerere" nilini alishasema hoja zake za masuala ya kitaifa zinatokana na "sisi"? Kila alilofanya hua anasema "mimi"....ni lini Nyerere alisema "mimi" ktk masuala ya kitaifa? Unyerere siyo "kauli" ni filosofia yanye msingi wa umoja.... umimi wa Zitto ni dhahiri

Mkuu huyo ndiye hasa kiongozi mkuu,
 
Back
Top Bottom