Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 48,261
- 115,166
HahahaaaMambo Emmy. Unanikumbuka?
HahahaaaMambo Emmy. Unanikumbuka?
Kuna hiki kifaa .... sisemi kitu ngoja picha iongee ..... View attachment 474835
unajua nilikua nawashangaa walivokua wanamuongelea wema eti ni mzuri ila nilivoona ako kapicha ako ndo nikaelewa kumbe kuna kuna watoto wazuri etiKuna hiki kifaa .... sisemi kitu ngoja picha iongee ..... View attachment 474835
Mkuu huyo ajiita Sasha huyo kutoka lake zoneHuu ni mdoli
Mkuu huyo ajiita Sasha huyo kutoka lake zone
For sure! I adore her. Sema mambo mengi ila she is naturally beautiful, haswa kama ajaweka makeup namawigi yake. Ndo anavutia. Pia akiva ushungi ndo nampenda zaidi
Haa haa eti ana kinenaKwahiyo unajua unacho kinena?
hihihihihiiiihMzuri lakini kichwani mwake huwa sijui ana nini nataman angetambua uzuri wake unathamani gani
napenda unavyochekaHahahaaa
anacho?Haa haa eti ana kinena
Naamini kichwani ana oil chafu au lamiMzuri lakini kichwani mwake huwa sijui ana nini nataman angetambua uzuri wake unathamani gani
Kamsimulia bashite kinagaubagaNope
You tel me
Kasemaje kwan
HahahahaKamsimulia bashite kinagaubaga