Picha: Acheni utani, Wema mrembo bhana.

Picha: Acheni utani, Wema mrembo bhana.

Huyu msichana mrembo jamani, yani hachoshi kumuangalia, anavutia kila sehemu kwa kweli, ila ndo kama walivyosema wahenga kizuri hakikoi kasoro, ila kwa urembo tu madam nimekuvulia kofia, wewe ni untouchable, zari anasubiri,mtoto unawaka kila idara, mama ako alizaa kwa kweli, mwache ajishebedue na akina steve kwa kweli
07f0e447f7eedfc200be85d8c3bd6029.jpg
aiwishi ai kudu bii Mwl Frank Msigwa
 
Huyu msichana mrembo jamani, yani hachoshi kumuangalia, anavutia kila sehemu kwa kweli, ila ndo kama walivyosema wahenga kizuri hakikoi kasoro, ila kwa urembo tu madam nimekuvulia kofia, wewe ni untouchable, zari anasubiri,mtoto unawaka kila idara, mama ako alizaa kwa kweli, mwache ajishebedue na akina steve kwa kweli
07f0e447f7eedfc200be85d8c3bd6029.jpg
uzi wa kibavicha
 
Mi siku zote huwa sioni huo uzuri wa huyo Wema sepetu wenu ujinga mtupu
 
Madee aliifananisha Hip-hop na mwanamke mzuri lakini hazai [emoji4]

Jamani nimekumbuka tu huo mstari lakini simaanishi Wema ni Hip-hop [emoji85]
 
Umeshawahi kumuona akiwa ajaweka wigi na kupiga make up?!

Ebu tuwekee picha yake na sisi tujionee

Anakuwa kama beki tatu. Tena bora mabeki tatu ni natural beauties.
Make ups zinasitiri sana
 
I can't wait for 2020 nione movie za uchaguzi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom