cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,159
- 181,298
EngineeringFani zingine zipi zinazohusiana na PGM?
EngineeringFani zingine zipi zinazohusiana na PGM?
Umemalizaaa.Nenda kasome,
Kama unapasi vizuri Phy, Maths
Unachagua hizi
Civil Engineering,
Mining Engineering
Geology
Enviromental
Na nyingine nyingi, kwa ufupi hakuna utofauti na PCM kwa nini cha kusomea chuo, usisikilie stori za vilaza wa kukariri
Marekebisho kidogo ni Aeronautical engineering humo ndani ndiyo utakutana na hayo mambo ya aerodynamics.Urubani hata ukisoma HKL unaweza somea ni ela yako tu!!
Urubani ni udereva wa kawaida sema wenyewe ni wa ndege!
Shughuli upo kwenye AERODYNAMICS ENGINEERING hii ndio yenyewe sasa kama huna Physics hutoboi..na hii sio lazima mtu asome PGM hata PCM au PCB wanasoma, ni uwe na pesa tu ya ada. Hawa sio tu wanaendesha bali wanaweza kuunda na kutengeneza ndege!
kuhusu ugumu wa combination hii unakuja hapo kwenue Geography.Habari zenu wakuu,
Combination ya PGM Ina shida gani maana naona mwanafunzi akisema anasoma hio anaambiwa ajitafakari Mara mbilimbili au Kama Ana hela aendelee.
Shida ni Nini katika hii comb?
Nawasilisha
View attachment 2632968
Wengi hawajui urubani ukiwa na hela tu unamsomesha mtotoKusomea Urubani ni pesa yako tu na wanaanza fundisha kuanzia miaka 17 imradi tu uwe umemaliza Form Four na uwe na Dollar 17000.
Pale Moswood Terminal 1 watakufundisha na utakuwa na uwezo wa kupata PPL (Leseni Binafsi ya Kurusha Ndege), ukitoka hapo ndio waenda kwenye CPL, ATPL ambapo huko pote utakuwa wafanya Rating kutokana na ndege unayotaka au zilizopo kwenye shirika unalofanyia kazi.
NB: Marubani wengi ila ndege chache hivyo unaweza soma ila ukawa day worker kupeleka Watalii Mbugani
Dah kumbe hata uruban nawenyewe skuiz hauna dili?NB: Marubani wengi ila ndege chache hivyo unaweza soma ila ukawa day worker kupeleka Watalii Mbugani
Na wengi hawajui pia kuwa Urubani hauna hela kama wanavyodai watuWengi hawajui urubani ukiwa na hela tu unamsomesha mtoto
Una dili kama ndege ni nyingiDah kumbe hata uruban nawenyewe skuiz hauna dili?
Sasa hizo ndege zipo au hazipo?Una dili kama ndege ni nyingi
mineral Engineering pale UdsmFani zingine zipi zinazohusiana na PGM?
Hiko chuo kiko wap na ada ni bei gan?Shughuli upo kwenye AERODYNAMICS ENGINEERING hii ndio yenyewe sasa kama huna Physics hutoboi..na hii sio lazima mtu asome PGM hata PCM au PCB wanasoma, ni uwe na pesa tu ya ada. Hawa sio tu wanaendesha bali wanaweza kuunda na kutengeneza ndege!
Engineering zote unasomaFani zingine zipi zinazohusiana na PGM?
Na ualimu pia ....PGM ni kwa ajili ya urubani tu?
Wengi hawajui urubani ukiwa na hela tu unamsomesha mtotoKusomea Urubani ni pesa yako tu na wanaanza fundisha kuanzia miaka 17 imradi tu uwe umemaliza Form Four na uwe na Dollar 17000.
Pale Moswood Terminal 1 watakufundisha na utakuwa na uwezo wa kupata PPL (Leseni Binafsi ya Kurusha Ndege), ukitoka hapo ndio waenda kwenye CPL, ATPL ambapo huko pote utakuwa wafanya Rating kutokana na ndege unayotaka au zilizopo kwenye shirika unalofanyia kazi.
NB: Marubani wengi ila ndege chache hivyo unaweza soma ila ukawa day worker kupeleka Watalii Mbugani
Ni kweli kabisa,kuna madogo wakishua wamemalia laurent sasa hv marubani ,wa kawaida tu ,ujiko ni vile rubani dereva wa anganiNa wengi hawajui pia kuwa Urubani hauna hela kama wanavyodai watu
Toa hoja acha uhaya wako..... Maneno mengi ya niniNimesoma hiyo PGM licha ya watu kutuponda na kutusema nilikuwa naipenda toka moyoni.
Hata nkirudi shule ntachagua hiyohiyo.
PGM OYEEEE
Anaambiwa na nani, au kukariri kusoma pgm lengo kusoma urubani?Habari zenu wakuu,
Combination ya PGM Ina shida gani maana naona mwanafunzi akisema anasoma hio anaambiwa ajitafakari Mara mbilimbili au Kama Ana hela aendelee.
Shida ni Nini katika hii comb?
Nawasilisha
View attachment 2632968
Yote kwa yote hongera nimesoma nimekuelewa vizuri kabisa, kimsingi hata mimi hiyo electronics niliisoma kama mimi na nikatumia gharama kubwa kununua vitu kwa ajili ya practical na vitu kama software ili hali niliisoma Mech.Kama Umechaguliwa PGM kwa kuichagua wewe kutoka moyoni nenda kasome, Mimi nimeisoma iyo combination katika mazingira magumu sana japo sikufaulu nilivyotaka ila sio kozi ngumu.
Pili kuhusu outcome ya utaenda wapi after hapo angalia roho yako inataka nini suala la pesa weka pembeni then angalia simirality, Engineering zote zina tabia ya kukutana sehemu moja ama ingine ivo jua waitaji nn then pitia hapo kuangalia uelekeo, mfano ukitaka soma robotics sio lazima ukasome course chuo inayoitwa ivo ila kuna electronics. mechanical, computer, mechatronics nk.
ivo suala la watu kusema ni ngumu au urubani ni wewe unatakaje ndio ufuate roho.
Mimi nimesoma iyo then nikaenda MUST nikasoma Mechatronics, then nikajisomea Embedded hardware na electronics then nikarudi urubani wa ndege ndogo almaarufu kama drone, then na design na ku manufacture drones kwa matumizi yangu mwenyewe. Nimekupa hayo maneno kukuhamasisha maana mimi ndoto zangu ni ilikuwa kupeleka kitu angani suala la mimi nitakuwepo ndani au la limetokana na factors za pesa na vingine ila ninaendelea kutimiza ndoto, naomba niishie hapo kwa sasa.