Srebrina
JF-Expert Member
- Jan 28, 2012
- 963
- 437
Hongera, hivi vitu vinaitaji ujue unaitaji nini kwani hakuna biashara isiyo na faida wala kazi isiyolipa sema watu ndio wasijue jinsi ya kuifanya ila kila kitu kinawezekana. siaminigi mtu akisema sijui kozi hii ailipi maana ingekuwa ivyo isingekuwepo sema inaitaji ujitafakari ndio uchukue hatua