Peter zacharia.... Who is he in and out?

Peter zacharia.... Who is he in and out?

Tehe tehe....ndio yale waliyosemwa wakinga na utajiri wao......wachache kuja kushtuka kumbe wakinga walikuwa wamewekeza kwenye misitu.......ndg uchawi upo sawa lakini utajiri waweza onekana wa ghafla kumbe mtu aliwekeza mda mrefu uliopita.
Nakuunga mkono khs Wakinga. Wengi wanajinyima sana starehe kwa ku focus kwenye malengo maalum waliyojiwekea. Matokeo yake wengi wanahisi ni wachawi. Ndio sababu wameishika sana Kariakoo na kuwakimbiza sana Wahindi. Pia Wakinga wanapigiana sana chapuo wao kwa wao kibiashara, ndio sababu wanafanikiwa.
 
Watu wanachafua tu wengine PZ alianza biashara zamani sana baada na kuajiliwa na watu kadhaa maeneo ya nyamongo 80's alianza biashara ya maduka mashine za kusaga na vinywaji enzi hizo, wakati akiendelea kuwekeza watu wengi pia miaka ya late 80's to ealy 90's kule Nyamongo walipata pia hela machimboni lkn hawakuinvest kwenye biashara endelevu alindelea kuinvest kwenye sector ya usafirishaji akiwa na isuzu injection pia katika sector ya uchimbaji madini, ufugaji na uuzaji wa vinywaji, kwa uwekezaji huo PZ amekuwa mtu imara katika kusimamia mtaji na biashara zake ambacho wengio huita udikteta, baadae akaendelea na kuimarisha uwekezaji wake kwenye usafirishari hadi kufikia hatua ya kuwashinda wapinzani wake wa mwz tarime wakati huo midimu, manko, trans africa na tanganyika nakumbuka and later bunda bus , hii ilitokana na mabasi imara yenye service , kuzuia kusimamisha abiria (level sit) na kuwahi kutokana na kupunguza vituo vya kusimama bila sbb , wkt baadha ya makampuni hapo madereva walisimama kila walipotaka na kupoteza muda wa abiria, kutokana na hivyo ameendelea kupata wateja kwenye gari zake na kujiimalisha katika sector hiyo, lakini pia amekuwa akifanya biashara zingine kwa muda mrefu so mafanikio yake alistahili kuyapata , lkn kuachana na majungu zakaria alipambana kutoka chini sanaana hadi kufika hapo na wengi wetu tukipata nafasi tujifunze kucapitalize kwenye nafasi hizo kama ambavyo amekuwa akifanya PZ , lkn pia kwa sasa PZ anajitahidi sana kusaidia watu mbalimbali wenye shida mbalimbali , simtetei lkn nasema ule ukweli kwa jinsi navyo mfahamu , nashauri tu watu tuache kuchafuana kwenye mitandao na kutumia huo muda kufanya kazi, hauwezi kufikia level ya PZ kwa kuandika tu watu vibaya kwenye mitandao.
 
Watu wanachafua tu wengine PZ alianza biashara zamani sana baada na kuajiliwa na watu kadhaa maeneo ya nyamongo 80's alianza biashara ya maduka mashine za kusaga na vinywaji enzi hizo, wakati akiendelea kuwekeza watu wengi pia miaka ya late 80's to ealy 90's kule Nyamongo walipata pia hela machimboni lkn hawakuinvest kwenye biashara endelevu alindelea kuinvest kwenye sector ya usafirishaji akiwa na isuzu injection pia katika sector ya uchimbaji madini, ufugaji na uuzaji wa vinywaji, kwa uwekezaji huo PZ amekuwa mtu imara katika kusimamia mtaji na biashara zake ambacho wengio huita udikteta, baadae akaendelea na kuimarisha uwekezaji wake kwenye usafirishari hadi kufikia hatua ya kuwashinda wapinzani wake wa mwz tarime wakati huo midimu, manko, trans africa na tanganyika nakumbuka and later bunda bus , hii ilitokana na mabasi imara yenye service , kuzuia kusimamisha abiria (level sit) na kuwahi kutokana na kupunguza vituo vya kusimama bila sbb , wkt baadha ya makampuni hapo madereva walisimama kila walipotaka na kupoteza muda wa abiria, kutokana na hivyo ameendelea kupata wateja kwenye gari zake na kujiimalisha katika sector hiyo, lakini pia amekuwa akifanya biashara zingine kwa muda mrefu so mafanikio yake alistahili kuyapata , lkn kuachana na majungu zakaria alipambana kutoka chini sanaana hadi kufika hapo na wengi wetu tukipata nafasi tujifunze kucapitalize kwenye nafasi hizo kama ambavyo amekuwa akifanya PZ , lkn pia kwa sasa PZ anajitahidi sana kusaidia watu mbalimbali wenye shida mbalimbali , simtetei lkn nasema ule ukweli kwa jinsi navyo mfahamu , nashauri tu watu tuache kuchafuana kwenye mitandao na kutumia huo muda kufanya kazi, hauwezi kufikia level ya PZ kwa kuandika tu watu vibaya kwenye mitandao.
Bravo! Umemuelezea PZ vizuri sana nimekaa sirari boda miaka ya 90 mpaka 2000 na baade mwanza.nakumbuka kipindi hicho alikuwa ni agent wa cocacola na pia alikuwa anauza mafuta,jamaa nimpambanaji mzuri sana,basi lake moja nakumbuka lilikuwa ni isuzu lilikuwa limeandukwa roja miller mengine ni clinton enzi hizo ni pamba kweli kweli.jamaa ni watu nikumchafua tuu yule mzee peter.
 
Peter zakaria anafahamika kwa kumiliki mabasi ya zakaria express yanayofanya safari zake kati ya sirari na mwanza.
Safari mpya pia kwenda bukoba na kahama ,huduma nzuri ukiwa kwenye mabasi yake yote yameandikwa kwa herufi kubwa NO EXCESS ,Na ukiachana na hayo ni mpambanaji mzuri sana pia anamiliki PZ mining company na ni agent wa bia
 
Nilifika Bukoba nikaambiwasukari yote ya huko anaimiliki yeye. Kifupi anaweza kununua sukari yote kabla haijazalishwa. Anauwezo wa kuihold kiwandani na akatumia advantage ya scarce kuimport kwa kuwa tena yeye ndiye importer MKUBWA zaidi. Take it positively nawewe utafanikiwa.
 
Huyu jamaa miaka ile ya giza akiwa na basi moja tu liliharibika kabla ya kuwafikisha wasafiri sehemu husika..basi basi likashindikana kutengenezeka abiria kama kawaida wakagoma kushuka kwenye gari...muda si muda akaja huyu dikteta peter Akiwa na manati ya mzungu (bunduki) na ile fimbo ya kuswagia ng'ombe wakiwa wanalima Aliwatembezea kichapo wale Abiria wote wakashuka akavuta gari lake kwenda gereji....kwa Ugupi huyu jamaa ni Dikteta kama navyomuita mimi ila udikteta wake Karne hii hauna maana tena...
Hajakutana na watoto wa mbwa huyo. Wanakula hadi nywele.
 
ndugu na jamaa, habari za sasa?

naombeni kufahamishwa kwa kina historia ya huyu mtu..

mi kwa kifupi nimeanza kumsikia toka mwaka 1999 nikiwa mdogo sana maeneo ya kule nyamongo tarime!

naombeni mwenye biography yake atuelezee 'in and out', biashara zake zilianza vipi?

.. kuna vitu navisikia juu juu kuhusu mambo ya ajabu ajabu anayoyafanya katika biashara zake, naomba tufunuliane wadau!

naombeni tuwe huru!
Hebu piga namba hizi 0657301528 fanya kama unatumia hela utakuwa tayari umempata
 
Okey. Sasa tushike lipi? Na hii ishu mpya ndio imekaaje?
 
Huyu jamaa miaka ile ya giza akiwa na basi moja tu liliharibika kabla ya kuwafikisha wasafiri sehemu husika..basi basi likashindikana kutengenezeka abiria kama kawaida wakagoma kushuka kwenye gari...muda si muda akaja huyu dikteta peter Akiwa na manati ya mzungu (bunduki) na ile fimbo ya kuswagia ng'ombe wakiwa wanalima Aliwatembezea kichapo wale Abiria wote wakashuka akavuta gari lake kwenda gereji....kwa Ugupi huyu jamaa ni Dikteta kama navyomuita mimi ila udikteta wake Karne hii hauna maana tena...
Kumbe huyu jamaa ni jeuri sana
 
Kama ulivyosikia jamaa ni mfanyabiashara hasa ktk sector ya usafiri yaani mabasi!.maajabu ya jamaa ni inasemekana kuwa utajiti wake ni wa ''Ndagu or sacrifies'' alioupata baada ya kumua mama yake mzazi,pia inasemekana kila mwaka jamaa lazima atoe kafara moja wa madereva wake na kafara zingine kama kugonga watu hvyo mabarabarani.w2 wengi wa pande za mkoa wa mara husema kuwa kafara hizo ndizo zinasababisha utajiri wa jamaa kunawili siku hadi siku mfano mzuri wanautoa ni pale alipoleta mabasi mapya yanayozidi kumi ya youtong ndani ya mwaka moja.
Nami sina ushahidi ila nami nasikia tu!
Aisee
 
Ukitaka uone maajabu ya JF fanya kosa au tukio la kuvuta hisia za watu mtaani, habari zake tutazipata humu JF.

Live long JF!
Hakika. Watu wamefukua uzi wa mwaka 2013, kwa kuwa jamaa kawatwanga risasi wenye nchi!
 
Kapataje mali hiyo si muhimu, muhimu ni kuitumia hiyo mali yake ili kupata mali.
 
Nilifika Bukoba nikaambiwasukari yote ya huko anaimiliki yeye. Kifupi anaweza kununua sukari yote kabla haijazalishwa. Anauwezo wa kuihold kiwandani na akatumia advantage ya scarce kuimport kwa kuwa tena yeye ndiye importer MKUBWA zaidi. Take it positively nawewe utafanikiwa.
Huyo ni Zakaria ni mwingine sio huyu wa Tarime.
 
Kabla hawakuwa wamejulikana walihisiwa ni majambazi au wasiojulikana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom