excel
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 22,434
- 17,862
ndugu na jamaa, habari za sasa?
naombeni kufahamishwa kwa kina historia ya huyu mtu..
mi kwa kifupi nimeanza kumsikia toka mwaka 1999 nikiwa mdogo sana maeneo ya kule nyamongo tarime!
naombeni mwenye biography yake atuelezee 'in and out', biashara zake zilianza vipi?
.. kuna vitu navisikia juu juu kuhusu mambo ya ajabu ajabu anayoyafanya katika biashara zake, naomba tufunuliane wadau!
naombeni tuwe huru!
naombeni kufahamishwa kwa kina historia ya huyu mtu..
mi kwa kifupi nimeanza kumsikia toka mwaka 1999 nikiwa mdogo sana maeneo ya kule nyamongo tarime!
naombeni mwenye biography yake atuelezee 'in and out', biashara zake zilianza vipi?
.. kuna vitu navisikia juu juu kuhusu mambo ya ajabu ajabu anayoyafanya katika biashara zake, naomba tufunuliane wadau!
naombeni tuwe huru!