Planett
JF-Expert Member
- Mar 20, 2014
- 10,419
- 15,974
mbona kwenye video aliamka na akaenda kuchukua simu kwa aliyekua anamrekodi au umeweka video tofauti mkuu!?hapo wakati anaamka ndio alirudi chini. anaondoka
mbona kwenye video aliamka na akaenda kuchukua simu kwa aliyekua anamrekodi au umeweka video tofauti mkuu!?hapo wakati anaamka ndio alirudi chini. anaondoka
Inawezekana yeye (Peter) afya yake ilikuwa kama ya yule aliyekuwa akiambiwa na Nape Nnauye kuwa, akijaribu kupiga hizo push up, atakufa hapo hapo kwani ni mgonjwa!Mbona Mzee wetu mkuu alipiga za kutosha sasa huyu kijana wa dar imekuwaje tena,R.I.P
Sent using Jamii Forums mobile app
eti mgonjwa...unajua wote walosema mzee mgonjwa hawapo leo...Inawezekana yeye (Peter) afya yake ilikuwa kama ya yule aliyekuwa akiambiwa na Nape Nnauye kuwa, akijaribu kupiga hizo push up, atakufa hapo hapo kwani ni mgonjwa!
Babu umepotea sanaApumzike kwa amani....
Push up ayaachie mawe...
Ni kafara ya ushindi ile.... kwani alikuwa anagombea nini?
IDM ipi jamani? Fikisha ujumbe vzr basi mkuu. Ni wahenga tu wanaijua hiyo IDM
Nilikuwa migombani nahesabiwa. Niko imara sasa
I know. Watu wengi hawatamuelewa mtoa mada hasa hawa watoto wa juzi juziIlikuwa IDM,hakuna IDM tena sasa ni Mu(Mzumbe University)
Nami ndiyo lilikuwa Swali langu!!!Au kwa Watu wa kilingeni wana macho yao Mshana Jr
IDM is no more, if you are talking about Mzumbe College UniversityAmeondoka kishujaa, ametoka kanisan kuimba akaenda IDM kwenye kikao cha viongoz wa kwaya, baada ya kikao wakaenda Kilimahewa kupiga picha za mwaka mpya,,, moja ya picha alipenda apige akiwa anapiga push up,, akapiga ya kwanza, ya pili hadi ya nne akaanguka hapo hapo na kuaga dunia
Push up alizopiga Peter hadi wakati wa mwisho wa maisha Yake... hapo wakati anaamka ndio alirudi chini. anaondokaView attachment 984617
Jr