ndiyo nasikia jina hilo leoMsambatavangu unamwelewa vizuri lakini?
ndiyo nasikia jina hilo leoMsambatavangu unamwelewa vizuri lakini?
Wanamsindikiza Jesca
ndiyo nasikia jina hilo leo
Hawezi kabisa hata yeye anaijua sababu..Peter Msigwa anaweza kupenya.
..huyu ndiye " silinde " wa awamu ya 6.
Hawezi kabisa hata yeye anaijua sababu
Kama angegombea Chadema angeshinda
Asas hagombei ila tukiwa naye O level pale The Highlights Mchungaji Msigwa aka Wagada ndio alikuwa anatuuzia Cadet za shule 😄✔️..lazima mtu wa Chadema apenye kwa tiketi ya Ccm. Je, ni nani huyo?
..hivi Asas anagombea Iringa Mjini?
exactly........labda samia amsaidie kuiba kura maana akiamrisha wataiba by all meansKama angegombea Chadema angeshinda
Lazima roho ikuume uko mburahati ndani ndani huko na jezi lako kijani kwanini usiwashwewashe kwa wivuWe baki na ujinga wako........mwenzio watoto wapo Marekani wanasoma, mke ubelgiji kwenye apartment iliyotokana na tone tone
Asante StudioAliyekuwa kada wa CHADEMA Peter Msigwa amepenya kwenye hatua ya awali katika jimbo la Iringa mjini. Miongoni mwa aliopita nao ni Jesca Msambatavangu mbunge anayemaliza muda wake hivi sasa.
View attachment 3423192