PreGE2025 Peter Madeleka ajiunga na Chama cha ACT Wazalendo

PreGE2025 Peter Madeleka ajiunga na Chama cha ACT Wazalendo

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)
Sijawahi muelewa na ni jamaa moja anakiherehere balaa ,na imemuuma sana kutokuwepo jopo la mawakili wa utetezi kesi za lisu

kibatala,siku amekamatwa lisu aliongea vizurisana,majibu leo yamepatikana
 
Bora aende Act jamani wampe uenyekiti wa chama make hawa waliopo wameshindwa kukijenga
 
Binafsi nampongeza madereka
Najua amejiunga Act ila hatujaona akikabidhi kadi chadema na kupewa ya Act issue haponi kuwa madereka ametafuta platform ya kugombea ameona kwa Kuwa Act Kuna fursa akaona Bora aende uko agombee

Nina hakika reform zitakiwazo na chadema zikifanyika madereka atarejea nyumbani kwake na kuvaa gwanda ahahahahah
 
20250521_115256.png
 
Binafsi nampongeza madereka
Najua amejiunga Act ila hatujaona akikabidhi kadi chadema na kupewa ya Act issue haponi kuwa madereka ametafuta platform ya kugombea ameona kwa Kuwa Act Kuna fursa akaona Bora aende uko agombee

Nina hakika reform zitakiwazo na chadema zikifanyika madereka atarejea nyumbani kwake na kuvaa gwanda ahahahahah
Madeleka hajawahi kuwa mwanachama wa Chadema, huyu alikuwa CCM.
 
Aiseeee leo ni bandika bandua! Kila sehemu moto! Mzee wa kesi katimkia zake ACT Wazalendo bana, yeye hajataka kwenda kula ubwabwa😂😂

=====

ACT Wazalendo wanafanya mkutano na waandishi wa habari muda huu Makao Makuu ya chama Magomeni, Dar es Salaam Mei 20, 2025


Isihaka Mchinjita - Makamu Mwenyekiti Bara ACT
Mkutano huu umefanyika ukiwa na lengo la kumpokea mwanachama mpya - Peter Madeleka katika chama hicho.


😂😂😂😂😂
 
M

We lofa sana, ina maana kule Ikungi Lissu aliachiwa jimbo?? Njooni tushindane, acheni kuleta sijui no nini sijui, mnajua watu wanawazingua tu wamewagundua kuwa mnatumika na wazungu wapenda ushoga, kwenye uchaguzi hamtoboi, mmeona bora mlete watu kuja kuhamasisha vurugu nchini, pumbavu nyie.
Mara nyingi wapinzani kutagazwa kwenye majimbo waliyoshindwa lazima vurugu zitokee Wenje kutangazwa Nyamagana mpaka geti la jiji lilivujwa kwa nguvu ya Umma ilo ndo Chadema hawataki
 
Mara nyingi wapinzani kutagazwa kwenye majimbo waliyoshindwa lazima vurugu zitokee Wenje kutangazwa Nyamagana mpaka geti la jiji lilivujwa kwa nguvu ya Umma ilo ndo Chadema hawataki
Ndio waje ulingoni tuone kama wanakubalilka watashinda tu
 
maji na mafuta vinaendelea kujitenga, wanaopenda siasa kwajili ya power and money vs wanaofanya siasa kwajili ya wananchi

no reforms no election
 
Back
Top Bottom