Namuonea huruma mtu yeyote mwenye ndoto na ubunge wa CCMJust because amehama chama haimaanishi urafiki umeisha
Politician or not, madeleka ana every right ya kupambania ndoto yake
Hivi ni mwanaCCM gani atakubali akose ubunge kisa madeleka ndiye apate
wakati wameshaambiwa wale kwa urefu wa kamba zao
na vitongoji, vijiji, mitaa yote ni ya CCM
Anyways, wacha aendelee kuota mchana, atazinduka akipigwa kitu kizito na maFISIEMU