Lissu alitoboaje ikungi?? Kwanza tuanzie hapo!leta tume huru ya kweli, sio hii ya kina makame, na ufanye uchaguzi huru na wa haki tuone kama mama yenu atatoboa!
Unavo jibu hoja za wanaume uwe una kaza mat*koM
We lofa sana, ina maana kule Ikungi Lissu aliachiwa jimbo?? Njooni tushindane, acheni kuleta sijui no nini sijui, mnajua watu wanawazingua tu wamewagundua kuwa mnatumika na wazungu wapenda ushoga, kwenye uchaguzi hamtoboi, mmeona bora mlete watu kuja kuhamasisha vurugu nchini, pumbavu nyie.
Kila mwenye akili. (Nasisitiza) kila mwenye akili LAZIMA aondoke Chadema!Muendelezo wa njaa
Just because amehama chama haimaanishi urafiki umeishaPeter Madeleka avunja ukimya, aachana na msimamo wa “No Reform, No Election” wa CHADEMA na kutangaza rasmi kujiunga na ACT-Wazalendo, akisema ni wakati wa siasa za vitendo na si kauli zisizo na mwelekeo.View attachment 3340115
Kisichotakiwa ni unafki hakuna mtu anakatazwa kuhama chama.Just because amehama chama haimaanishi urafiki umeisha
Politician or not, madeleka ana every right ya kupambania ndoto yake
anataka kugombea Tabora mjini...chadema haitshriki, sasa kama ana ndoto za hela nyingi za bure za ubunge lazima ahame. He was in chadema kutafuta fursa na si kupigania hakiPeter Madeleka avunja ukimya, aachana na msimamo wa “No Reform, No Election” wa CHADEMA na kutangaza rasmi kujiunga na ACT-Wazalendo, akisema ni wakati wa siasa za vitendo na si kauli zisizo na mwelekeo.View attachment 3340115