Inaonekana huwa mna mijadala ya kisenge sana wewe na huyo mamsi yakokwema wakuu.
Mke wangu mtarajiwa nimemwambia siku nakuvisha pete ya uchumba utapiga goti, kanijibu nikupigie goti kwani nakuomba nini? Hii imekaaje! Noamba kuwakilisha.
mkuu una haraka ya kwenda wap soma kwa utulivu kisha u commentKwanini upige got mwanaume?? Wewe ndo unaolewa?
Ni kweli hauoni ilivyokaa au unapenda kusumbua watu tu?kwema wakuu.
Mke wangu mtarajiwa nimemwambia siku nakuvisha pete ya uchumba utapiga goti, kanijibu nikupigie goti kwani nakuomba nini? Hii imekaaje! Noamba kuwakilisha.
kipenz changu 😊 tutaweka spong ili usipate maumivu ujue ni kitendo cha dk 2 tiMimi naumwa magoti
😂😂Ni kweli hauoni ilivyokaa au unapenda kusumbua watu tu?
Nikipiga goti sinyanyuki tena bamtu🥲kipenz changu 😊 tutaweka spong ili usipate maumivu ujue ni kitendo cha dk 2 ti
Ntakunyanyua Lamama 😊Nikipiga goti sinyanyuki tena bamtu🥲
Sasa si bora tusimame tu..Ntakunyanyua Lamama 😊
Noo lazima unil down buSasa si bora tusimame tu..
YapiMimi naumwa magoti