chizcom
JF-Expert Member
- Jul 31, 2016
- 7,581
- 15,722
Yani kuna kajamaa haka sikajui jina ila kana mwanamke ambaye kama ukiwa naye tanzania kwa umbo lake unaweza kufa kwa presha.maana pesa itamchukua haraka kwa njia yoyote.
Jamani mimi nashindwa kuelewa ni pesa au kingine kilicho mfanya huyu mwanamke
Jamani mimi nashindwa kuelewa ni pesa au kingine kilicho mfanya huyu mwanamke