Pesa katika mapenzi (PICHA)

Pesa katika mapenzi (PICHA)

duuh! unawaza mbali!Jamani! msiwe na mawazo mabaya. Je kama huyo ni babu yake anamuomba hela? .
 
Mh.PESA!

attachment.php



View attachment 96274

Hakuna cha pesa wala nini, huyo mzee anajituma sana kwenye ile kazi. Vijana wa siku hizi useless kabisa! lol
 
una bahati mzabzab ameamua kuoa siku hizi!!

Wanaume siku hizi majanga tu, unaona mtu ana msuli unafikiri labda leo nitatafunwa mpaka niondoke kwa kutambaa ukifika kule ka moja tena kwa kutafuta!!. Mwangalie huyo mzee kwanza alivyostrong. Siku hizi hatuangalii hela tunaangalia shughuli kama inaenda!!!
 
Hakuna cha pesa wala nini, huyo mzee anajituma sana kwenye ile kazi. Vijana wa siku hizi useless kabisa! lol

ninachoamini ni kuwa mabinti wengi(siyo wote) hawezi kukubali kirahisi kwa ajili ya love kuliko mikwanja! dunia iko hivyo!
 
Wanaume siku hizi majanga tu, unaona mtu ana msuli unafikiri labda leo nitatafunwa mpaka niondoke kwa kutambaa ukifika kule ka moja tena kwa kutafuta!!. Mwangalie huyo mzee kwanza alivyostrong. Siku hizi hatuangalii hela tunaangalia shughuli kama inaenda!!!

tell that to: Evelyn Salt
 
Last edited by a moderator:
siku hizi pesa ndo kila kitu
but I cant imagine my self kissing this babu
sijui nanilino yake mle ndani iko ktk hali gani

yataka moyo....,

Hivi wewe huwa unafanya kazi saa ngapi?Zingatia kazi ndiyo msingi wa maisha ungekuwa mfanyakazi wangu lazima ninge ku suck.
 
A photo can say a thousands words

mimi sijaona pesa imeingia wapi hapa
huyu binti anaweza kuwa mjomba wake
au jirani yake
au hata gardener wao

sioni ishu ya pesa imekujaje hapa
The Boss nimependa hii.
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom