- Thread starter
- #41
duhh ntameza vidonge nya usingizi namwachia tu aendelee
nikishtuka ameshamaliza
kwa hiyo anakufanya bila ndumu!
nyie wadada wa siku hizi aibu tupu!
duhh ntameza vidonge nya usingizi namwachia tu aendelee
nikishtuka ameshamaliza
kwa hiyo anakufanya bila ndumu!
nyie wadada wa siku hizi aibu tupu!
Ukifanya hivyo nakuhakikishia hutafaidi matunda wala kula mema ya nchi....! Maaana atakuacha na kwenda kutafuta anayeweza kupiga libeneke kitandani.....Kwa kakwambia anataka kuona hicho kimini? Anataka kula vilivyomo!
Mwanaume pesa, sio suruali, heshima pesa, shikamoo makelele.....!
Kuna mrembo mmoja maarufu juzi kazaa mapacha na babu...kisa pesa. Chezea pesa wewe?
wee vizee kama hivi vina serve pesa zote kwa ajili ya kugegedea totoz, kuna kibabu cha aina hiyo hapa job, kimeajiriwa kama gardener lakin kimejitengenezea car wash humu ndani, basi kutwa kinaosha magari kila wagen wakija kinaosha tu,kwa siku kinakunja zaidi ya 40000. kinawabadilisha totoz kama nguo, na bado wanakipigania.., chezeya vizee wew!Picha haionyeshi kama huyo mzee anapesa ya kutosha ya kumuweka huyo dada mjini, yawezekana kiroho safi dada amependa labda ndo aliemtoa kizibo kipindi ana miaka 15 ama amemmfundisha mchezo mchafu 0713,hivyo ni ngumu kwa watu wengine inabidi amgande babu aendeleze alichokianzisha enzi za ujana wake.
duhh ntameza vidonge nya usingizi namwachia tu aendelee
nikishtuka ameshamaliza
siku hizi pesa ndo kila kitu
but I cant imagine my self kissing this babu
sijui nanilino yake mle ndani iko ktk hali gani
yataka moyo....,
Shosti, maini gani yanayokaa huko bondeni? Maini kawaida yanakuwa tumboniaahaa kumbe ndio maana wanasemaga ngombe hazeeki maini
nimeelewa sasa
hiki kimini unacho au niagize haraka from South Africa?
Binti.com kuna maini mengine yanapatikana katikati ya miguu miwili.....Shosti, maini gani yanayokaa huko bondeni? Maini kawaida yanakuwa tumboni
Haha hapo bado hajakutaka umwimbie single..hehhehe..using his microphone!!!!