Shaziru Carrasco Ally
Member
- Jan 9, 2017
- 5
- 0
Blessed
Kurusumu
Teh teh...Juzi mwezi wa 12mwanzoni nimenunua 25000 mkuu ni nzuri sana hata harufu yake inabamba sana!!
Nikununulie?mwezi mmoja ? real
ndiyo kakaNikununulie?
Usijali..Unataka upunguze rate ya kuoga?ndiyo kaka
si nitanuka kaka?Usijali..Unataka upunguze rate ya kuoga?
Hiyo inakata harufu sister..Hata kuswaki unaweza kustopisha piasi nitanuka kaka?
hapana kaka siitaki maji nayo mazuriHiyo inakata harufu sister..Hata kuswaki unaweza kustopisha pia
Which perfume do you likehapana kaka siitaki maji nayo mazuri
hta sijui jina kwa kweli ninazo tatu zote sijui majina naendaga nikivutiwa nanunua ...Which perfume do you like
Usiangalie bei angalia unyunyu mzuri halaf wanazidharau cz ni cheap...ila zpo poaBuku nne tena?
HaswaaaaaInapendwa sana na vile viumbe visivyoonekana
Hivi emotion nayo inadumu sana wa stendi?Ipo mbona mimi natumia emotion hata ukifua nguo n uzivae bila kupuliza bado inanukia tuu
stephot hata ukifua na hizi sabuni za unga za siku hizi zinazochubua ngozi?Ipo mkuu jaribu kutumia kitu inaitwa Drakkar Noir by Guy Laroche au Safari by Ralph Lauren,hata ukifua bado harufu inabakia
Mh! Mtaa mzima???!!!Siiipendi kaa nini yaani mtu akikupita tuu mita 500 unaisikia na bado harufu inabaki mtaa mzima