Penzi la mtandaoni

Penzi la mtandaoni

Hhahahaha kwa mtonyo wa suti za kushona,?atasubiri sana....LMFAO

Hata Diamond enzi zile kachoka Kijitonyama ma sister du walikuwa wanamcheka eti ana domo baya!

Leo hii dream ya hao hao masister du wawe na Diamond!Jamaa huyu mnamcheka leo akiwa na mawe ww mwenyewe utamuita "baby"!
 
kwa hiyo hapana aisee labda aseme ni sample tu

Ndivyo alivyo na namsifu kuleta picha yake halisi !

Stop bullying him pls!Kama ww umebahatika kuwa na bf handsome zaidi ya huyu jamaa mshukuru Mungu

Mnamdhalilisha kijana huyu bila sababu yyt ile!Kosa lake ni nn?Hapana hii haikubaliki

Tusikashifiane kwa sababu tu hatujuani!Ktk ukoo wenu wote hamna mvulana mwenye sifa kama hizi?Umewahi mkashifu?

Hii haikubaliki!
 
Mkuu umetoka kupata ajali au ndio respesheni yako ilivyo?
watu8

Ukiunga mkono udhalilishaji huu unaofanywa na hawa dada zetu kwa jamaa huyu ipo siku na ww watakudhalili na itakuwa too late kukemea!

Awe msichana au mvulana kila mmoja wetu ana haki ya kubandika picha yake hapa kwa topic anayo ona yy inafaa kwenda na picha zake!Kama picha haijakupendeza haina maana ndiyo umtusi

Bullying is not accepted in any how!Jamaa huyu ni shujaa kaweka picha yake halisi
 
Last edited by a moderator:
Nimejifunza tabia za watu hapa jf!! Maneno yenu yana reflects character zenu!! Inasikitisha sana tabia hizi, watu wengine hufikia hata kujiua kwa mambo Kama haya bullying isn't a good thing at all, tujifunze kuheshimiana tutofautiane kwa hoja, hakujiumba ila mungu ndie aliemuumba!! Kumkejeri ni kudhiaki kazi ya mungu!!!!!
 
Nimejifunza tabia za watu hapa jf!! Maneno yenu yana reflects character zenu!! Inasikitisha sana tabia hizi, watu wengine hufikia hata kujiua kwa mambo Kama haya bullying isn't a good thing at all, tujifunze kuheshimiana tutofautiane kwa hoja, hakujiumba ila mungu ndie aliemuumba!! Kumkejeri ni kudhiaki kazi ya mungu!!!!!
sokwe

Uchangiaji wa sred hii MMU umenisikitisha sana!Jamaa huyu hajafanya kosa lolote lile lkn anakashfiwa sana!

Juzi imewekwa picha ya 100% latino lkn jamaa akasema ni yake!Au mlitaka jamaa huyu nae aweke 100% Mzungu na blonde zake aseme ni yy ili asifiwe hapa?

Jamaa huyu ni shujaa na anajiamini na namsifu kwa hilo!Huyu apongezwe na asikashifiwe
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: Luv
Umrii huoo unatafutaa pasuaa kichwaa sisimuaa mwilii na rushaa rohoo mmh bobuu weeleea zakoo familiaa kamaa unayoo nakamaa hunaa sii umejiungaa na socialy media kibaoo soo wee pigaa saundii tuu mainbox ukoo wataa kubalii tu wanawakee sio wagumuu kutangazaa tangazaa ivii ni udhaaifuu wenyee mapungufuu makubwaa sanaa nivilee tu ujajuaa nihayooo tuu?
Mwanaaumee saundii banaa
 
duh kumbe ndio maana watu wanang'ang'ania avata za akina DENZEL WASHINGTON wangeweka picha zao hapa wala msingekuwa hata mnachangia post zao...........
 
duh kumbe ndio maana watu wanang'ang'ania avata za akina DENZEL WASHINGTON wangeweka picha zao hapa wala msingekuwa hata mnachangia post zao...........

Umeonaaa eee nimekupenda bure bila hata hela bure kabisaa
 
Nimejifunza tabia za watu hapa jf!! Maneno yenu yana reflects character zenu!! Inasikitisha sana tabia hizi, watu wengine hufikia hata kujiua kwa mambo Kama haya bullying isn't a good thing at all, tujifunze kuheshimiana tutofautiane kwa hoja, hakujiumba ila mungu ndie aliemuumba!! Kumkejeri ni kudhiaki kazi ya mungu!!!!!

Nyie mna uhakika gani kama hiyo picha ni yake,,wacha tufurah tucheke ukiyaamin ya humu mtandaoni utachemkaaa
 
Ndivyo alivyo na namsifu kuleta picha yake halisi !

Stop bullying him pls!Kama ww umebahatika kuwa na bf handsome zaidi ya huyu jamaa mshukuru Mungu

Mnamdhalilisha kijana huyu bila sababu yyt ile!Kosa lake ni nn?Hapana hii haikubaliki

Tusikashifiane kwa sababu tu hatujuani!Ktk ukoo wenu wote hamna mvulana mwenye sifa kama hizi?Umewahi mkashifu?

Hii haikubaliki!
mmmh Malafyale umejuaje kama hiyo ni pic yake halisi? au mnafahamiana?
 
Last edited by a moderator:
am sory bwana nilikuwa natania..jamaa mzuri tu i wish him all the best
Ndivyo alivyo na namsifu kuleta picha yake halisi !

Stop bullying him pls!Kama ww umebahatika kuwa na bf handsome zaidi ya huyu jamaa mshukuru Mungu

Mnamdhalilisha kijana huyu bila sababu yyt ile!Kosa lake ni nn?Hapana hii haikubaliki

Tusikashifiane kwa sababu tu hatujuani!Ktk ukoo wenu wote hamna mvulana mwenye sifa kama hizi?Umewahi mkashifu?

Hii haikubaliki!
 
Nimejifunza tabia za watu hapa jf!! Maneno yenu yana reflects character zenu!! Inasikitisha sana tabia hizi, watu wengine hufikia hata kujiua kwa mambo Kama haya bullying isn't a good thing at all, tujifunze kuheshimiana tutofautiane kwa hoja, hakujiumba ila mungu ndie aliemuumba!! Kumkejeri ni kudhiaki kazi ya mungu!!!!!

Allah ndo muumbaji,,,hawa wanamkosoa Muumba,,,,so bad,
 
watu8

Ukiunga mkono udhalilishaji huu unaofanywa na hawa dada zetu kwa jamaa huyu ipo siku na ww watakudhalili na itakuwa too late kukemea!

Awe msichana au mvulana kila mmoja wetu ana haki ya kubandika picha yake hapa kwa topic anayo ona yy inafaa kwenda na picha zake!Kama picha haijakupendeza haina maana ndiyo umtusi

Bullying is not accepted in any how!Jamaa huyu ni shujaa kaweka picha yake halisi

Huyu anayejiita watu8 kaandika kitu ambacho kusema kweli waweza jiuliza, is this a real man? Wanawake huwa ndio husema na kuandika vijineno kama hivi...
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom