Mzee Uchwara
Senior Member
- Oct 28, 2013
- 119
- 35
Siku nyingi sana huwa nnatamani sana kupata mpenzi mwenye penzi la kweli kupitia mtandaoni,lkn cjawahi kupata!! Nifanyeje? Km yupo,namhitaji sana,lkn asiwe mpenda raha. Mi nataka wa kuniliwaza kwa penzi la dhati na si kwenda club.
weka sivii baba. Primary ulisoma canada, secondary america hadi six, first degree england. Ukarudi kidogo nyumbani ukaajiriwa pale magogoni. Baada ya miaka miwli ukaenda ujerumani ukachukua masters. Kwa sasa uko magogoni kama mshauri wa bwana mkubwa kuhusu uchumi. Kopi weka profire hiyo ung'oe mtoto wa ukweli jf. Watu hawaangali sura siku hizi. Wenzako ndio tunavyong'oa.