Mi nashangaa wanaomponda jamaa wakati ukiwaona waume/bf zao unaweza hama hata njia. Huyu jamaa yuko poa sana! Acheni unafiki wa kujifanya mnaponda hapa huku mnamtamani. Mwanaume pesa na kazi na sio sura. Unataka sura nzuri kwani kwako kuna biashara ya mabwabwa? Tena hawa jamaa wenye sura za kushoto wanaopoaga wanawake wazuri mpaka unaweza ukasihangaa! Aafu kati yenu mnaomponda jamaa kuna wenye sura mbovu kuliko jamaa, tena nyie ni wanawake. Kwani uongo?