halafu sipendi suti za kushona mimi ..mwambie bwana
Tangaza nia mkuu, dada zetu wa humu ndani wanataka sura ya kazi kama hiyo
He he he, ni mzuri mno.
Mkuu umetoka kupata ajali au ndio respesheni yako ilivyo?
mbona mzee hivo ?
you look fantastic .... lol
utaendaje club na suti ya damu ya mzee eti?'Hhahahaha kwa mtonyo wa suti za kushona,?atasubiri sana....LMFAO
kijana wa mwaka gani?Mbona kasema nikijana!!
Siku nyingi sana huwa nnatamani sana kupata mpenzi mwenye penzi la kweli kupitia mtandaoni,lkn cjawahi kupata!! Nifanyeje? Km yupo,namhitaji sana,lkn asiwe mpenda raha. Mi nataka wa kuniliwaza kwa penzi la dhati na si kwenda club.
Mkuu umetoka kupata ajali au ndio respesheni yako ilivyo?
tatizo amezeeka sana hadi anatoa mvuke...nani akae eda mapema hivo!pesa sio maishaweka sivii baba. Primary ulisoma canada, secondary america hadi six, first degree england. Ukarudi kidogo nyumbani ukaajiriwa pale magogoni. Baada ya miaka miwli ukaenda ujerumani ukachukua masters. Kwa sasa uko magogoni kama mshauri wa bwana mkubwa kuhusu uchumi. Kopi weka profire hiyo ung'oe mtoto wa ukweli jf. Watu hawaangali sura siku hizi. Wenzako ndio tunavyong'oa.
Mkuu umetoka kupata ajali au ndio respesheni yako ilivyo?
fundi juma kashona vibaya..me i like my man in black suit ...hizi za kijani na damu ya mzee mi sipendiuwiiiiii weka koti la suti vizuri!!!!!! duh utapata tu usijal
Mkuu umetoka kupata ajali au ndio respesheni yako ilivyo?
kijana wa mwaka gani?