Penzi la huyu dada linanitia kiwewe

Penzi la huyu dada linanitia kiwewe

Hao viumbe hawatabiriki,ukimuweka ndani kama mke wa pili atabadilika kuwa wale wale tu!trust me.

kwa upande mmoja au mwingine mkuu,hiki nacho ni kikwazo kikubwa ambacho kinafanya nisite,nahofia mwisho wa siku aje kuwa walewale wa style ile ile
 
Kuepusha matatizo ya watoto wa nje ya ndoa,better hiyo mimba mkatoe fasta bado ndogo,vinginevyo umekaribisha matatizo makubwa kwenye ndoa yako,ama laa kama unampenda sana usilimu ili uruhusiwe kuwa na ndoa mbili

kazi ipo mkuu,huu nao ni mtihani mwingine ambao cjawahi kuuombea tangu kuzaliwa.kutoa mimba mkuu dah,cjui nianzie wapi,ikitokea akafariki si ndo nitakuwa haunted maisha yangu yote?na Mungu je?
 
Wewe kama mwanaume unatakiwa uwe na maamuzi yako na msimamo thabit sasa ushauriwaje na mwenyewe hujui unachotaka ndugu yangu?....

siyo kwamba sina msimamo farkhina,much as am in love with her,kuna maamuz ambayo siyo rahisi kama kuchinja kuku vile,yataka moyo kuwa na familia mbili,at the same time how do i part ways with her na tayari yuko preg?ndiyo maana nikaomba the best advice how to deal with this situation
 
Kutoa mimba ni tatizo,na kuwa na mtoto wa nje ya ndoa si tatizo?Fanya maamuzi magumu na utubu mungu atakusamehe nawe sio wa kwanza kufanya makosa hayo
 
Kuepusha matatizo ya watoto wa nje ya ndoa,better hiyo mimba mkatoe fasta bado ndogo,vinginevyo umekaribisha matatizo makubwa kwenye ndoa yako,ama laa kama unampenda sana usilimu ili uruhusiwe kuwa na ndoa mbili

Ww Kweli Kilaza Unamshauri Mwenzio Aue Mtoto
 
Ndoa ya kikristo make mmoja sasa labda usilimu kwani waislam wake wawili ndio wanao tàkiwa kama huna uwezo ndio mmoja sasa amua kua muislam ili uoe wa pili
 
Kuepusha matatizo ya watoto wa nje ya ndoa,better hiyo mimba mkatoe fasta bado ndogo,vinginevyo umekaribisha matatizo makubwa kwenye ndoa yako,ama laa kama unampenda sana usilimu ili uruhusiwe kuwa na ndoa mbili

akifanikisha kutoa mimba kama unavyomshauri hiii laana ya kuua na ikufwate popote ulipo........damu ya hiyo mtoto utailipa kwa namna yoyote ile........

kwani walikuwa hawajui yote hayo.....kwanini wakaue......

kutoa mimba siyo suluhu wa hicho walichokifanya......
 
Kutoa mimba ni tatizo,na kuwa na mtoto wa nje ya ndoa si tatizo?Fanya maamuzi magumu na utubu mungu atakusamehe nawe sio wa kwanza kufanya makosa hayo


kwanini asitubu kuzaa nje lakini unataka atubu kutoa mimba.......?

inaelekea umetoa nyingi sana mpaka unaliona ni jambo la kawaida.........

dah ndiyo maana sijawa Mungu yani ningekuwa Mungu.....siku ambayo unatoa uhai wa mtoto nawe ningekutoa uhai wako....na ningekufanya kuni.......
 
mkuu.naomba tu uvune ulichokipanda.....hiyo mimba usiitoe......mlee na mtoto azaliwe.....muda ukifika mueleze mkeo ukweli....ingawa itauma lakini hiyo ndiyo hali halisi.......
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom