Kozo Okamoto
JF-Expert Member
- Oct 14, 2013
- 3,391
- 1,546
- Thread starter
- #41
mkuu.naomba tu uvune ulichokipanda.....hiyo mimba usiitoe......mlee na mtoto azaliwe.....muda ukifika mueleze mkeo ukweli....ingawa itauma lakini hiyo ndiyo hali halisi.......
thanx,naomba niendelee kuufanyia kazi ushauri wako but kama utapata mwingine bora zaidi ya huu tafadhali sana usisite kunishauri