Pengo: Situmiki na CCM

Pengo: Situmiki na CCM

Status
Not open for further replies.
Mchakato wa katiba ulikuwa haramu na in lazma katiba ya kifisadi ipingwe na kila mmoja wetu.Wanaotetea katiba ya chenge na kundi lao LA mafisadi aidha ni mafisadi au vibaraka vyake

wanaotetea katiba ya kifisadi ni wachumia tumbo wakubwa. hawakustahili kuzaliwa kama binadamu bali kama UMBWA!
 
mnafiki huyu yana zaidi ya kutumiwa, tunamjua na sio sisi tunaomfichua ni mungu mwenyewe, kanisa lake ni urojo analishwa anavishwa wenzie wanajenga kwa misuli wanajilisha wenyewe, wote tunajua anachokifanya sasa tumekukataa wewe na CCM wao, wakatoliki pamoja na upole, na kuonekana wamezubaa hawajali kinachoendelea around them, wamechomoka, nchi kwanza maana hata mungu hakuumba dini kabla ya ulimwengu, alitupa nchi nzuri Tanzania, tunasubiri kusilimu kwako tu ndio kilichobaki maana katiba haitakushibisha, sitashangaa nisipokuomba mibinguni maana kilemba chako na wewe mtakua mapahali unapostahihi, sikuhumumu lakini kwa hili moja tulichoona ntashangaa ukikosekana kwa unayemtumikia kwa nguvu huku maluweluwe tu
Religion is the general theory of that world, its encyclopedic compendium, its
logic in popular form, its spiritualistic point d’honneur [trans.: principle], its
enthusiasm, its moral sanction, its solemn complement, its universal source of
consolation and justification . . . Religion is the sigh of the oppressed creature,
the heart of a heartless world, just as it is the spirit of a spiritless condition. It
is the opium of the people. (Marx 1843, 53–54). Cardinal Pengo is intoxicated already
 
Basi kwa vile mambo haya wamefichwa watu wakubwa na wenye hekima, na wakafunuliwa watoto wadogo, amini nakumbia PENGO usaliti sio mzuri, umesababisha hamaki zilizopelekea kukejeliwa hadharani, ni vyema tusiwashangae waliohaki jishangae wewe na kiungwana omba msamaha wiki hii ya pasaka.
 
Kama Pengo anadai hatumiki na CCM basi tunamkaribisha yeye mwenyewe afunguke zaidi kidogo na kwa utashi wake mwenyewe atutajie anatumika na nani?
Kwani kauli yake ilikuwa ni kauli muflisi na isiyokuwa na tija wala mapenzi mema hata kwa hao watu ambao anaodai waachwe wenyewe wachague kwa uhuru, wakati inajulikana wazi asilimia kubwa ya wanachi hawana uwezo wa kuisoma UKIHIYO (high level of illiteracy) wala kuichambua na kuponda kuponda maandishi ya kwenye KATIBA inayotetewa. Na serikali ime take advantage hiyo hiyo kupisha Katiba hiyo. So who he is doing favor for?

Hitimisho ni kuwa akubali ama akatae lakini ukweli unabaki pale pale kuwa hakuna mtu asiyetumika anaweza kutoa kauli kama ya kwake! Huo ni mtihani ambao hata watoto wadogo wanaweza kuutanzua.

Kwa heshima na taadhima tumwambia Pengo kama mtumishi wa bwana kama aliteleza na akubali kutumika kama fagio basi atubu na ajirudi kwenye mstari (kundini). Maana akiendelea na staili hii huko tuendako hata haya Askofu wenzie kama akina Gwajima atakuja kuona ni madogo, kwani hata watoto wadogo watamwona wa hovyo na hafai na si msaada kwa taifa hili linalohitaji ukombozi kutoka kwa watu wenye mapenzi na dhamira ya kweli.
 
Uliongoza wewe? Kwani bila misa mtu hawezi kuongea....silly

Pengo si mkuu wa kanisa katoliki tanzania ni askofu wa jimbo kuu la Dar es Salaam na hana mamlaka juu ya jombo lingine lolote hapa tz wa juu ya maaskofu wa majimbo mengine yeyote nje ya jimbo la Dar na wala si mwakilishi wa papa hapa tanzania. Mwakilishi wa Papa hapa Tanzania ni yule waliyemrushia mabomu kule Olasit. Kiongozi mkuu wa kanisa katoliki TZ ni mwenyekiti wa TEC.
 
Papa ni Askofu Mkuu wa St.peter, pia ni Rais wa Vaticani City na nikiongozi Mkuu wa kanisa katoliki duniani! Sasa kwanini Cadinali Pengo asiwe kiongozi wa kanisa katoliki Tanzania?
 
Pengo huuuq ushauri tuu kaakimya mpaka YESU atakapokuja
 
Acheni kukurupuka, kwenye dini hakuna uwajibikaji wa pamoja, km uamini jambo hulazimishwi kuamini, na km ni jambo LA kiimani then unaweza kufanya kama martin Luther, lkn issue ya katiba sio msingi wa imani katoliki, na pengo kama Mwangalizi wa kabisa katoliki jumbo LA DSM mawazo yake yalikusudiwa kwa wale anaowalea kiimani, km mlezi ni wajibu wake kuwaongoza kondoo aliokabidhiwa kuwachunga.

Hakika Pengo ni mchungaji mzuri kwani hakujali kitakaxhoyokea akaamua kuwalinda kondoo wake. Kwa uelewa wake lzm alijua kuna hamaki itatokea lkn hakujali kwani ukweli lzm usemwe.
 
Pengo inabidi atubu dhambi zake za kuwasaliti waliokuwa wanamuamini ktk kutetea maslahi ya umma
 
Kataa tuu mwa maneno ila kwa vitendo wewe ni kibaraka wa CCM.
 
Hata wezi huwa wanakana mahakamani


.
eeh kweli mie sijawahi ona mwizi aliyesomewa shitaka lake hapa nchini Tanzania akakubali bila kutafuta mwanya wa kubishana. ikukumbukwe pengo nae ni mtanzania hawezi kukubali japo nafsi yake inamsuta.
.
 
kala mgawo Wa escrow huyu na yule askofu mwenzio aliye kula million 80 sema yeye huenda ikawa ndo walio enda kubeba kwa rumbesa
Mkuu, hebu atueleze ni sababu ipi iliyomfanya akae KIMYA mpaka leo kuhusiana na ESCROW? Mbona wakati wa scandal ya RICHMOND alikuwa mara kwa mara akilaumu waliohusika na wakati Fulani aliwalaumu waliokuwa wakipiga kelele ufisadi huo eti 'ukiwatazama usoni ni kama vile hawakupata nafasi ya kushiriki!' Sasa anapotezea kwenye waraka wa Maaskofu tena wa Wakristu wote.
 
Mleta uzi unaliwa tigo ww maana c rizik ukute,Zitto anawapeleka puta mnajidai kukimbilia kumchafua mpakwa mafuta kwa kua mnajua sio mwanasiasa

nimefurahi kujua akili yako ilivyo ila habari hii imetolewa na gazeti la raia tanzania la leo ila kama kwenu matusi yana maana wewe endelea tu. mimi sijalelewa hivyo wala dini yangu hainiruhusu kutukana ukitaka ongeza lingine kaka.pengine hiyo tabia umerthi kwa wazazi wako.
 
Pengo naona anaogopa kivuli chake

Wanamtuhumu wana hoja tena za msingi sana. Watu wanataka kujua mambo haya
1/Kwanini aligeuka kuwa Yuda na kuwasaliti maaskofu wenzake baada ya kusaini tamko then baadaye aje hadharani kutapika Ugoro?

2/Kwanini haoni ubovu wa mchakato mzima wa katiba inayopendekezwa?

3/Kwanini anaogopa kuikosoa CCM kwa sasa?
 
Kanisa Katoliki.
Kadinali, Walei, Katukumeni, ... ... Yote ni misamiati ya kiyunani
 
Baba yako akikosea unaweza kutumia MANENO hayo kumkosoa??

Koma kumtetea Kardinali Pengo kwa sababu ya ukatoliki wako... Wengine ni wa Romani kabisa lakini huyo mzee wako anachangia sana kuwadumaza watanzania...
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom