Pengo: Situmiki na CCM

Pengo: Situmiki na CCM

Status
Not open for further replies.
Baraza la vichaa chadema(Bavicha) kazini. Viroba vya asubuhi hivyo baada kukesha kwenye pombe.
 
Pengo amevuruga Wakatoliki na wakristo wote kiujumla! Hadi sasa bado wanajiuliza pindi ukifika muda wa kupigia kura katiba pendekezwa wapigie kura ya ndiyo au hapana?
 
Salaam, Leo katika magazeti nimesikia Pengo akisema yeye hatumiki na CCM katika maswala ya katiba. Askofu Pengo anasema kama yeye anatumika na CCM Je! Wanaompinga wanatumika na UKAWA? Swali langu najiuliza hivi je kwenye vikao vya TEC yeye Pengo na wenzie walikubaliana nini? Na je ni nani mmiliki wa katiba kati ya CCM, serikali, UKAWA au wananchi na kama wamiliki ni wananchi yeye Pengo anavyoona wananchi wamesikilizwa na kama wamesikilizwa matakwa yao yametekelezwa? Kwa ujumla askofu Pengo amechemka kuanza kuwahusisha wenzie na UKAWA. Nawasilisha
Kwa ujumla Pengo yupo sahihi kwani hata kutoa maon wananch hawakushawishiwa na mtu kwa kulinda uhuru wao,sasa iwaje leo uwalazimishe kutoa uamuzi? Acheni ushabik rudini ktk hstoria ya mwanzo wa katba.
 
Tatizo nchi hii kuna baadhi ya watu akili zenu mlishashikiliwa na wengne,niache niisome then nitaamua na c kuniamulia,itafka mahal had mtaomba kusaidiwa kuzaa watoto.
 
Mchakato wa katiba ulikuwa haramu na in lazma katiba ya kifisadi ipingwe na kila mmoja wetu.Wanaotetea katiba ya chenge na kundi lao LA mafisadi aidha ni mafisadi au vibaraka vyake
 
Pengo anazeeka vibaya ..ana mapengo mengi sana huyu.
 
Muadham kadinali Pengo kwanza nakupa pole kwa watu wanaokutuhumu wewe ndio mtu wa dini kwelikweli achana na hao waganga wa kienyeji mm nimesoma shule za roma zinamaadili mazuri sana nimefundishwa adabu nidhamu na kila kitu

Kwaani umesoma peke yaako,wapo walio soma kabla yako shule hizo na waliingia kwenye kikao cha maaskofu wakagundua hiyo katiba pendekezwa ina matatizo!
 
Kuhusu katiba mpya Pengo,ccm mabrazamen,BAKWATA na serikali wameshindwa vibaya sana.Baraza la wakristu,waislamu wasio BAKWATA,UKAWA ,ccm asili,Tume ya warioba,wanaharakati wa haki za kiraia na wananchi walio wengi wameibuka kidedea.Hii ni baada ya kushindikana kupigwa kwa kura ya maoni.
Hiyo kauli ya Pengo ni hasira baada ya kuona wamebwagwa chali mapema.
 
Salaam,
Leo katika magazeti nimesikia Pengo akisema yeye hatumiki na CCM katika maswala ya katiba. Askofu Pengo anasema kama yeye anatumika na CCM Je! Wanaompinga wanatumika na UKAWA? Swali langu najiuliza hivi je kwenye vikao vya TEC yeye Pengo na wenzie walikubaliana nini? Na je ni nani mmiliki wa katiba kati ya CCM, serikali, UKAWA au wananchi na kama wamiliki ni wananchi yeye Pengo anavyoona wananchi wamesikilizwa na kama wamesikilizwa matakwa yao yametekelezwa? Kwa ujumla askofu Pengo amechemka kuanza kuwahusisha wenzie na UKAWA.

Nawasilisha

Sijui kala maharage ya wapi huyu??!!
 
​tumuache kardinali afanye kazi yake ya uchungaji mana mambo ya siasa anashikwa tu na ashki majinuni muda mwingine ndo mana anaingilia
 
Pengo nae aache kutumika anatuaibisha wakatoliki. Mbona wenzetu wa CCT wakiongozwa na Malasusa wapo kimya na wamoja sana.
 
Kwa mara nyingine tena askofu kaongea kama si yeye? Kwani Pinda si ccm? Si ndie aliyetoa maelekezo kwa huyo homeboy wake ?Angepinga basi kuwa sii Pinda aliyempa maagizo ya kusaliti wenzake
 
Aseme anamtumikia nani Kanisa au serekali ingawa saa nyingine huwezi kutenganisha kutokana na hulka za kibinadam ila yeye angeeachana na siasa akachapa injili

Hapana!!!!!!!!!! Pengo ameshakuwa mwanasiasa. Ashauriwe ajiunge na hicho chama chake tujue moja.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom