Pengo: Situmiki na CCM

Pengo: Situmiki na CCM

Status
Not open for further replies.
kwa hili la katiba!! mzee pengo huna jinsi ya kujitetea,UNATUMIKA KISIASA
 
hatumwi name ccm? basi anajikomba ccm. roho ya mnafiki haifichiki.

wewe kijana naona unashida. unashindwa kujua unafiki wa mam yako ukajue wa kiongozi wa dini! hata naona elimu yako ni ya mashaka
 
Pengo amevuruga Wakatoliki na wakristo wote kiujumla! Hadi sasa bado wanajiuliza pindi ukifika muda wa kupigia kura katiba pendekezwa wapigie kura ya ndiyo au hapana?

kakuvuruga wewe aisee. wakatoliki wanamuamini na hawana shaka naye
 
Its obvious Pengo anatumiwa na watawala kuvuruga maoni ya wananchi. Yeye kama mjumbe wa jukwaa la wakatoliki na jukwaa la wakristu kwa ujumla lazima awajibike kwa tamko la jukwaa ambalo hata yeye binafsi ali sign (collective responsibility). kwa kweli mimi kama mkatoliki naona swala hili limeshusha sana hadhi ta cardinal Pengo mbele ya waumini wake na watanzania kwa ujumla.
 
NI kweli askofu hutumiwi na ccm, tunajua unatumiwa na Pinda.
 
Pengo anewasaliti maasikofu wenzako

pengo amekula tena maharage

nilikuwa namheshimuuu , sasa simheshi tena

pengo ameliabisha kanisa katoliki

pengo nan amekurogaaaaaaa!!!!!!
 
Kama amesema wenzake ni UKAWA naona hapo ndo kapotoka.Alitakiwa kukana bila kuwajumuisha wenzake na Upande wa Ukawa.Sasa ninaanza kuwa na wasiwasi naye
 
Pengo Anaongea Utafikili Dalasa La Nne Bwana, Cc Tunamshutum Kujihusisha Na Ccm Kwasababu Anenda Kinyume Na Matamko Ya Wenzie,
 
Kwa ujumla Pengo yupo sahihi kwani hata kutoa maon wananch hawakushawishiwa na mtu kwa kulinda uhuru wao,sasa iwaje leo uwalazimishe kutoa uamuzi? Acheni ushabik rudini ktk hstoria ya mwanzo wa katba.


Je,kikwete alivyosema wananchi waisome katiba na kuipigia kura ya Ndio huo ni unini kama sio ushawishi???

Acha kuropoka
 
Pengo ni wa kumhurumia na kumsamehe huenda ameanza kuumwa uzee! Mwenzake Pope Benedict alipoona uzee umemzidi aliamua kujiuzulu!

Hivyo watu wake wa karibu hawana budi kumshauri kwa busara!
 
Kama ww hutumiki inamaana ccm wanatuka kwako mmmmmmm?????
 
​tumuache kardinali afanye kazi yake ya uchungaji mana mambo ya siasa anashikwa tu na ashki majinuni muda mwingine ndo mana anaingilia

Yule Pengo asilia tunamfahamu mara zote alikuwa upande wa wananchi. Huyu Pengo feki wa sasa ninafikiri amejikuta njia panda. Mambo mengi ikiwa ni pamoja na tishio la serikali ya CCM kufungia Benki ya Mkombozi iwapo ataendeleza misimamo yake ya kuwa upande wa wananchi. Pia kuna suala la urais wa homeboy wake, Pinda. Pinda amemshawishi amuunge mkono na kuunga mkono Pinda maana yake lazima uende upande wa watawala vs wananchi. Ni kweli Kardinali yuko njia panda anapiga ramli achukue mwelekeo upi ambao utakuwa salama. Matokeo yake kauli tata na kinzani!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom