Pengo: Situmiki na CCM

Pengo: Situmiki na CCM

Status
Not open for further replies.
Its obvious Pengo anatumiwa na watawala kuvuruga maoni ya wananchi. Yeye kama mjumbe wa jukwaa la wakatoliki na jukwaa la wakristu kwa ujumla lazima awajibike kwa tamko la jukwaa ambalo hata yeye binafsi ali sign (collective responsibility). kwa kweli mimi kama mkatoliki naona swala hili limeshusha sana hadhi ta cardinal Pengo mbele ya waumini wake na watanzania kwa ujumla.


Collective Responsibility is not always collective agreement....

Mfumo wa chama kimoja...
Mchakato wa katiba...
Kung'atuka kwa mwalimu
Mchakato wa Bima ya afya-USA

Fanya reference kisha njoo na collective responsibility yako ambayo huwa haipo isipokuwa kwenye vitabu.
 
naona kina kilaini na nzigirwa walimpiga bao na hivyo kaamuua na yeye kuingia kazini chezea mamilioni ya escrow wewe.
 
Kabla ya kula umuhimu tu angalieni na source - ni gazeti gani limebeba habari hizi na kama kweli wamemnukuu sawa. Nina wasi was in a magazeti siku hizi maana yana chonganishi kwa malengo yao.
 
Salaam,
Leo katika magazeti nimesikia Pengo akisema yeye hatumiki na CCM katika maswala ya katiba. Askofu Pengo anasema kama yeye anatumika na CCM Je! Wanaompinga wanatumika na UKAWA? Swali langu najiuliza hivi je kwenye vikao vya TEC yeye Pengo na wenzie walikubaliana nini? Na je ni nani mmiliki wa katiba kati ya CCM, serikali, UKAWA au wananchi na kama wamiliki ni wananchi yeye Pengo anavyoona wananchi wamesikilizwa na kama wamesikilizwa matakwa yao yametekelezwa? Kwa ujumla askofu Pengo amechemka kuanza kuwahusisha wenzie na UKAWA.

Nawasilisha
Kwenye vikao hakuwepo alikuwepo Roma,,aliporudi akapelekwa India kucheki afya,amefika tu akaletewa waraka mezani,baba tumeamua hivi,,akasema sawa endeleeni.hapo ndipo tatizo lilipoanza watu hawaelewi..pengo ni mkuu wa kanisa katoliki,Tz,anamuwalilisha papa.kwa nini wasingemsubiri mkuu wao wakajadili pamoja?,Tec ipo kuunganisha viongozi na kurahisisha uenfeshaji wa kamisa,lakini mkuu wa kiroho,mkuu wa kanisa ni pengo.wangesibiri arudi wapate mchango wake,kuliko kumpelekea azimio ili atoe mchango
 
Salaam,
Leo katika magazeti nimesikia Pengo akisema yeye hatumiki na CCM katika maswala ya katiba. Askofu Pengo anasema kama yeye anatumika na CCM Je! Wanaompinga wanatumika na UKAWA? Swali langu najiuliza hivi je kwenye vikao vya TEC yeye Pengo na wenzie walikubaliana nini? Na je ni nani mmiliki wa katiba kati ya CCM, serikali, UKAWA au wananchi na kama wamiliki ni wananchi yeye Pengo anavyoona wananchi wamesikilizwa na kama wamesikilizwa matakwa yao yametekelezwa? Kwa ujumla askofu Pengo amechemka kuanza kuwahusisha wenzie na UKAWA.

Nawasilisha

Ndiyo maana alikibaliana na mzee wa liwalo na liwe kupingana na kauli za maaskofu wenzake kwani aliambiwa wale ni ukawa kwa kuwa hawakubaliani na katiba ya Sita na Chenge.
 
Pengo simuelewi huyu mzee!!

Maaskofu hebu mng'ateni sikio mwenzenu. Yupo uchi.
 
Cardinal Pengo kwa nini unapenda kuendeleza malumbano? Ulizusha taharuki kwa kauli yako ya kwanza juu ya waraka wa maaskofu, wengi wakaja juu hadi Askofu Gwajima akafikia kutamka maneno makali juu yako. Akapata msukosuko nawe ukaja na tangazo la msamaha.

Sasa haya yote ya nini tena? Msamaha maana yake yamekwisha, unasamehe na kusahau kabisa. Inakuwaje wewe unarudi tena kulekule? Huu wako ni ukristo wa jamii/kabila ipi?

Ukiwa kiongozi hasa wa kidini maisha yako ni lazima yaakisi mafundisho ya dini yako. Hii tabia uliyoianzisha kupenda malumbano na viongozi wenzako katu si njema. Inatufanya wengine tujiulize ni nini hasa kinakukumba wakati huu? Kwa hakika haya kwa kiasi kikubwa yanapunguza heshima yako mbele ya jamii.

Surely haya maneno ni uncalled for, werevu wa kawaida kabisa ungekutuma kukaa kimya hasa baada ya kadhia na Askofu Gwajima na wengine.
 
Pengo muogope Mungu wako.Sauti ya wengi ni ya Mungu.Mbona ulikaa kimya katiba iliyopendekezwa na watu wa Tanzania ilipobadilishwa ikawekwa katiba ya shetani(siyo chaguo la wengi)? PENGO inafaa uchangue leo nani unamutumikia.Warioba na watanzania wengi wana mtumikia Mungu.CHANGUA LEO NANI UNAYEMTUMIKIA.Mimi na nyumba yangu tutamtumikia Mungu.
 
mods msichanganye hii thread na nyingine kama makinda alivyotaka kuchanganya hoja ya mnyika na jafu kuwa zina fanana.hata hii thread haifanani na nyingine yeyote humu maana uzoefu unaonyesha kamchezo haka kapo

Nilipost uzi wa maaskofu wamjibu Kikwete tena nikaonesha kabisa kwamba source ni gazeti Mwananchi. Ilikuwa mada tamu sana na ilichangiwa kwaspeed. Kuona hivyo, moderator akailink naza zamani. JF ni zaidi ya Anna Makinda
 
Salaam,
Leo katika magazeti nimesikia Pengo akisema yeye hatumiki na CCM katika maswala ya katiba. Askofu Pengo anasema kama yeye anatumika na CCM Je! Wanaompinga wanatumika na UKAWA? Swali langu najiuliza hivi je kwenye vikao vya TEC yeye Pengo na wenzie walikubaliana nini? Na je ni nani mmiliki wa katiba kati ya CCM, serikali, UKAWA au wananchi na kama wamiliki ni wananchi yeye Pengo anavyoona wananchi wamesikilizwa na kama wamesikilizwa matakwa yao yametekelezwa? Kwa ujumla askofu Pengo amechemka kuanza kuwahusisha wenzie na UKAWA.

Nawasilisha

pengo anatumiwa na PINDA (mfipa mwenyake) kuibeba CCM. huyu mpuuzi hafai kabisa kuongoza kanisa katoliki, akae kando.
 
Muadham kadinali Pengo kwanza nakupa pole kwa watu wanaokutuhumu wewe ndio mtu wa dini kwelikweli achana na hao waganga wa kienyeji mm nimesoma shule za roma zinamaadili mazuri sana nimefundishwa adabu nidhamu na kila kitu

ulifundishwa maadili ya kuitumikia CCM?
 
Last edited by a moderator:
hapa kweli mzee wetu pengo kachemka kwa sababu yeye Kama alishakubaliana na maaskofu wenzeka alafu anawageuka! hapa kweli inawezekana akawa anatumikia CCM.

ni kweli pengo HAUMIKI na CCM ila ANAITUMIKIA CCM. asante pengo kwa kusema ukweli.
 
Kwa ujumla Pengo yupo sahihi kwani hata kutoa maon wananch hawakushawishiwa na mtu kwa kulinda uhuru wao,sasa iwaje leo uwalazimishe kutoa uamuzi? Acheni ushabik rudini ktk hstoria ya mwanzo wa katba.

na maCCM walipofuta maoni ya wananchi na kuingiza maoni ya mafisadi kwenye katiba ni nani aliyewalazimisha kusigina maoni ya wananchi? acheni kufikiri kwa kutumia rectum, tumia kichwa!
 
Amepafanya mimbarini kuwa sehemu ya mipasho sasa!!! Choka naye sasa......!
 
Tatizo nchi hii kuna baadhi ya watu akili zenu mlishashikiliwa na wengne,niache niisome then nitaamua na c kuniamulia,itafka mahal had mtaomba kusaidiwa kuzaa watoto.

kama mpaka sasa hv hujafanya uamuzi wa aina ya kura utakayopiga kulingana na mwenendo wa ukusanyaji maoni ya wananchi mpaka kuja kuchakachuliwa kwa maoni ya wananchi, basi akili zako kuna mtu amekushikia. vinginevyo, ulitakiwa uwe mirembe kitambo sana.
 
Pengo kwa sasa haamini kama CCM wasivyoaminika.atajiju na liccm lake
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom