Go-well Frank
Member
- Dec 10, 2008
- 15
- 0
Dini inaongoza na kugusa roho ya binadamu,wakati siasa inagusa mwili wa binadamu kwa hiyo kwa ujumlisho wa vitu hivi viwili tunapata binadamu kamili. Ni wapi ilipo siasa dini haiingii,na wapi ilipo dini siasa haiingii wakati binadamu ni yuleyule?
Mfumo unaotawala maisha ya binadamu mara zote ni intergration ya mifumo miwili au zaidi ili kupata mfumo mmoja kamili, ni kama ilivyo kuishi Kisoshalisti pekee kusivyowezekana bila kuchanganya na U-Capitalist and vice versa is true, dini na siasa ni vivyo hivyo.
Dini zinajenga shule ,vyuo na mahospitali kazi ambayo kwa akina akili finyu inatakiwa iwe ya wanasiasa kwa nini hili halilalamikiwi? Ni siasa au katiba ya nchi gani duniani inaruhusu wezi, walaghai, waongo, wazinifu n.k? Je, ni dini gani inaruhusu hayo? Utofauti wa dini na siasa uko wapi hapa?
Kwenye mambo ya msingi yanayogusa mustakabali wa maisha ya kila Mwananchi tuache ushabiki wa vitu visivyo na msingi.
Mfumo unaotawala maisha ya binadamu mara zote ni intergration ya mifumo miwili au zaidi ili kupata mfumo mmoja kamili, ni kama ilivyo kuishi Kisoshalisti pekee kusivyowezekana bila kuchanganya na U-Capitalist and vice versa is true, dini na siasa ni vivyo hivyo.
Dini zinajenga shule ,vyuo na mahospitali kazi ambayo kwa akina akili finyu inatakiwa iwe ya wanasiasa kwa nini hili halilalamikiwi? Ni siasa au katiba ya nchi gani duniani inaruhusu wezi, walaghai, waongo, wazinifu n.k? Je, ni dini gani inaruhusu hayo? Utofauti wa dini na siasa uko wapi hapa?
Kwenye mambo ya msingi yanayogusa mustakabali wa maisha ya kila Mwananchi tuache ushabiki wa vitu visivyo na msingi.