Pengo: Nchi imeoza!

Dini inaongoza na kugusa roho ya binadamu,wakati siasa inagusa mwili wa binadamu kwa hiyo kwa ujumlisho wa vitu hivi viwili tunapata binadamu kamili. Ni wapi ilipo siasa dini haiingii,na wapi ilipo dini siasa haiingii wakati binadamu ni yuleyule?

Mfumo unaotawala maisha ya binadamu mara zote ni intergration ya mifumo miwili au zaidi ili kupata mfumo mmoja kamili, ni kama ilivyo kuishi Kisoshalisti pekee kusivyowezekana bila kuchanganya na U-Capitalist and vice versa is true, dini na siasa ni vivyo hivyo.

Dini zinajenga shule ,vyuo na mahospitali kazi ambayo kwa akina akili finyu inatakiwa iwe ya wanasiasa kwa nini hili halilalamikiwi? Ni siasa au katiba ya nchi gani duniani inaruhusu wezi, walaghai, waongo, wazinifu n.k? Je, ni dini gani inaruhusu hayo? Utofauti wa dini na siasa uko wapi hapa?

Kwenye mambo ya msingi yanayogusa mustakabali wa maisha ya kila Mwananchi tuache ushabiki wa vitu visivyo na msingi.
 
Pole sana mkamua kinyesi maiti. Najua mzizi wa yote haya ni kukataliwa kwenu kwa free lunch..ha ha ha

Jazba na chuki hazitatua matatizo yenu na zaidi yatayaongeza tu.

Kwa juhudi kubwa umejaribu kujadili mtu badala ya ujumbe anaouleta. Kuishiwa hoja kwako kwa namna hii kunaitwa ad hominem.

Pili unasahau kuwa msingi wa hoja zote hizi ni waraka wa wakatoliki kuelekea uchaguzi wa 2010. Waraka huu umeandaliwa na wataalamu wakatoliki, na sio maaskofu kama kichwa chako kidogo kinavyoshindwa ku-grasp, hivyo wote mnaoushambulia waraka na kuuhusisha na Pengo au yeyote kwa namna moja mnadhihirisha mlivyo na vichwa vigumu na mlivyo mahodari wa kudandia matreni kwa mbele, ila sisi wenye busara tunawaangalia tu mkipiga makasia pasipo na maji.

Pengo anakemea ufisadi ili kutetea unga wake?! are you serious ?Unga kutoka kwa nani? ha ha ha..uko shallow kinyama, ila endelea tu ivoivo labda itakusaidieni kupunguza maumivu ya mahakama ya 'kazi' :D ..

Halafu unaleta suala la demokrasia kwenye kanisa, unasahau kuwa walioandika huo waraka wamechaguliwa ki-demokrasia, maana taasisi na makundi mbalimbali ya RC yana kanuni zake za kidemokrasia kwenye kuchaguana na hakuna kuchapana bakora kule ,kila kitu kinakwenda sawa bin sawia, hivyo hapo bana mkubwa umechemsha tena na tena na kuzidi kudhihirisha huna ulijualo.

Kwa kifupi, vyeo vya kidini vinaenda kufuatana na mambo ya imani. Na ndio maana hatuchagui mitume, mitume tunaletewa na Mungu.Hawa ni watumishi wa kiroho na vyeo vyao ni vya kiroho.
Kweli kabisa wewe ni DOGMA!Kati ya hao walioandika huo waraka na huyo Mwanya(PENGO) ni nani kila kukicha anausemea huo waraka?

Nimeamini unaweza ukamaliza madarasa hata mwalimu kufa darasani bila ya kuelimika!Maskini wee,yaani unatia aibu kutetea utumbo!Huko katoliki hakuna demokrasia leo anayetetea hiyo demokrasia atokee katoliki!Maajabu,mbona askofu Malasusa tumemchagua wenyewe hapa bongo?Na ndio maana utagundua viongozi wote wa kidini wanaoteuliwa au kuchaguliwa nje ya nchi yao ni watumwa wa mabeberu hao wa nje kwa ajili ya utashi wao binafsi.Hata ufanye vipi hutaweza kujitakasa na maji ya ******.

Umetaka ndio hivyo hukutaka ndio hivyo,huko hakuna kitu toka njoo huku lutheran au nenda anglican kwani demokrasia inapatikana na si kuletewa mamluki toka roma.
 
Kweli kabisa wewe ni DOGMA!Kati ya hao walioandika huo waraka na huyo Mwanya(PENGO) ni nani kila kukicha anausemea huo waraka?

Nimeamini unaweza ukamaliza madarasa hata mwalimu kufa darasani bila ya kuelimika!Maskini wee,yaani unatia aibu kutetea utumbo!Huko katoliki hakuna demokrasia leo anayetetea hiyo demokrasia atokee katoliki!Maajabu,mbona askofu Malasusa tumemchagua wenyewe hapa bongo?Na ndio maana utagundua viongozi wote wa kidini wanaoteuliwa au kuchaguliwa nje ya nchi yao ni watumwa wa mabeberu hao wa nje kwa ajili ya utashi wao binafsi.Hata ufanye vipi hutaweza kujitakasa na maji ya ******.

Umetaka ndio hivyo hukutaka ndio hivyo,huko hakuna kitu toka njoo huku lutheran au nenda anglican kwani demokrasia inapatikana na si kuletewa mamluki toka roma.

Leo nimepata somo kubwa.
 
Dini inaongoza na kugusa roho ya binadamu,wakati siasa inagusa mwili wa binadamu kwa hiyo kwa ujumlisho wa vitu hivi viwili tunapata binadamu kamili. Ni wapi ilipo siasa dini haiingii,na wapi ilipo dini siasa haiingii wakati binadamu ni yuleyule?

Mfumo unaotawala maisha ya binadamu mara zote ni intergration ya mifumo miwili au zaidi ili kupata mfumo mmoja kamili, ni kama ilivyo kuishi Kisoshalisti pekee kusivyowezekana bila kuchanganya na U-Capitalist and vice versa is true, dini na siasa ni vivyo hivyo.

Dini zinajenga shule ,vyuo na mahospitali kazi ambayo kwa akina akili finyu inatakiwa iwe ya wanasiasa kwa nini hili halilalamikiwi? Ni siasa au katiba ya nchi gani duniani inaruhusu wezi, walaghai, waongo, wazinifu n.k? Je, ni dini gani inaruhusu hayo? Utofauti wa dini na siasa uko wapi hapa?

Kwenye mambo ya msingi yanayogusa mustakabali wa maisha ya kila Mwananchi tuache ushabiki wa vitu visivyo na msingi.

Mkuu! hapana mi napenda nikuite Mheshimiwa!

Yaahn nimezipenda hizo hoja zako " they are relevant arguments i dare to say that!.Kama ingekuwa wote wanatoa points kama hizi na Materials kama haya nadhani nchi yetu ingepiga Maendeleo makubwa sana!

Keep keeping on Mheshimiwa!
 
Mkuu ni kweli kuna separation ya politics na religious matters. Sina hakika kama maana yako ya Church and State, ina maana Mosque yenyewe haiwi separated na state matters, which in many cases it may seems so.

Lakini where do you draw that line. Mambo ya dini yanaishia wapi na ya siasa yanaingia wapi, ukiangalia kwa undani utaona kuwa ni mstari ambao umechorwa hewani tu. Sioni ubaya kwa kiongozi wa msikiti au kanisa kusema hatutaki viongozi wabovu, mtu akiwa mwenyekiti wa serikali ya mtaa, diwani, mbunge,waziri au rais anaongoza watu wote bila kujali yeye ni mwanadini au la. Kwa hiyo kama uongozi wake haufai unamwathiri moja kwa moja hata mtu wa dini. Kama serikali inalinda na kupalilia maovu, misikiti na makanisa yatakuwa yanafanya kazi bure, yaani kufinidhs amorals wengine wanafanya tofauti. Wakati wao misikitini na makanisani wanapreach honesty, itakuwa ni upuuzi kama watachekelea ufisadi.

Makamba most of the time amekuwa akiquote Qoran na Biblia anapokuwa kwenye kazi za siasa. Alipokuwa RC hata alikuwa anakwenda misikitini kama RC, kumbuka mwembechai au pale kwa mtoro wakati wanachapana bakora ndani. Mbona yeye hakuwahi kukosolewa kuwa anachanganya siasa na dini?

Are we being hypocritical, or is our system hypocritical? Why should politicians mix politics and religion and why shouldn't clergymen mix religion and politics. Inawezekana Pengo hajui kama dini na siasa haviwezi kuchanganywa?
Mbona wapoapa wanashikiria biblia au quran? si wanasema Mungu nisaidie? sasa huyo kiongozi wa kiroho akiwakemea kwa kutotimiza haya waliyaoapa kuyatekeleza ana kosa gani?
Tuwe wachambuzi -comeup na kusema kipengele so and so cha waraka au mwongozo ni kibaya kwa sababu one, two nk.
 
Nakuunga mguu kwani Pengo kashindwa kuendesha ibada kama ulivyosema,kwa taarifa nyepesi nilizonazo sasa anajiandaa kugombea ubunge mwaka 2010,mambo hayo!

Hivi nyie mnafikiri Pengo siyo raia wa nchi hii??? Pengo na wanadini wote wana haki sawa ya kutoa maoni yao kama raia wengine au NGOs provided that hawavunji sheria. Dini zote zinazo-operate TZ zimesajiliwa kwa mujibu wa sheria za JMT. Sasa mtueleze Pengo kama raia au mwana dini amekiuka au amevunja kipengere kipi cha katiba ndiyo tuwaelewe.

Kila siku tunalia humu ndani na mafisadi, sasa leo Pengo akisema inakuwa nongwa. Sasa wenzetu mnataka nani aseme?? Wewe na mimi hakuna anayetusikia kazi yetu imebaki kuandika humu JF na hakuna tunayembabaisha so far zaidi ya kuongeza awareness miongoni mwetu (vita vya taratibu), akina Sitta na group yake (mnaowasifia humu) tayari NEC ya CCM ishawafunga midomo. On the other hand TZ hakuna hata NGOs za kupigania haki za wananchi. NGOs zimekuwa miradi ya watu.

Sasa, kama serikali haiendeshwi vizuri, personally sioni kwa nini Pengo au wanadini wengine wasiseme kitu. In fact huwezi kutenganisha dini na siasa. Unafikiri kwa nini Obama alipopata madaraka alikwenda Rome??
 
Kwa akili yako mtu ambaye amechaguliwa na waishio nje ya Tanzania atawezaje kufundisha demokrasia hapa Tz?Hao mapengo,ooh samahani namaanisha maaskofu,makadinali wa raia wa roma(roman catholic) wote wanachaguliwa/kuteuliwa na papa ambaye haijui vyema Tz,kwahiyo utaona hilo kanisa lenyewe halina demokrasia waumini wake wanaletewa mamluki tuu toka Roma bila ridhaa yao leo eti hao mamluki waje kufundisha demokrasia hapa bongo watawezaje wakati huko kanisani hakuna demokrasi?Acheni kushabikia mambo ya kijinga kwani hao mamluki sorry naamanisha maaskofu na makadinali raia wa roma(roman catholic) wanatetea unga wao tuu na si kuwatetea watz kama kweli wanataka demokrasi basi wajivue huo ulaji na waanze sasa kuchaguana hapa Tz!
Aibu,ningekuwa huko ningetoka mapema!Yaani watu wanaletewa watawala na watu walio nje ya nchi yao,maskini yaani Dogmaship imewatawala maskini.
Hujaelewa mada. Pengo hajazungumzia kutokuwapo kwa demokrasia, anazungumzia ufisadi.
Kama utaratibu wa kuteuliwa na roma unawafanya wateuliwa wa TZ wawe waroma lakini bado wakakumbuka kutusaidia kukemea ufisadi, basi ni jambo jema kuliko hao tunaowachagua sisi wenyewe wakatugeuka na kuwa mafisadi. Mbona mara nyingi tunaomba marais wa nchi zenye nguvu watusaidie kutatua matatizo yetu? hata huu ufisadi, uzuiaji wa watu kujiandikisha kupiga kura nk tunaomba viongozi wa nchi nyingine watusaidie - kwani sisi tuliwachagua?

Jadili mada na si dhana yako, vinginevyo anzisha thread yako ya je kuna demokrasia kanisa katoliki?
 
Hivi nyie mnafikiri Pengo siyo raia wa nchi hii??? Pengo na wanadini wote wana haki sawa ya kutoa maoni yao kama raia wengine au NGOs provided that hawavunji sheria. Dini zote zinazo-operate TZ zimesajiliwa kwa mujibu wa sheria za JMT. Sasa mtueleze Pengo kama raia au mwana dini amekiuka au amevunja kipengere kipi cha katiba ndiyo tuwaelewe.

Kila siku tunalia humu ndani na mafisadi, sasa leo Pengo akisema inakuwa nongwa. Sasa wenzetu mnataka nani aseme?? Wewe na mimi hakuna anayetusikia kazi yetu imebaki kuandika humu JF na hakuna tunayembabaisha so far zaidi ya kuongeza awareness miongoni mwetu (vita vya taratibu), akina Sitta na group yake (mnaowasifia humu) tayari NEC ya CCM ishawafunga midomo. On the other hand TZ hakuna hata NGOs za kupigania haki za wananchi. NGOs zimekuwa miradi ya watu.


Sasa, kama serikali haiendeshwi vizuri, personally sioni kwa nini Pengo au wanadini wengine wasiseme kitu. In fact huwezi kutenganisha dini na siasa. Unafikiri kwa nini Obama alipopata madaraka alikwenda Rome??
Napata ushawishi kidogo wewe umeelimika na si kwenda shule tuu kama wenzio waliotangulia.Wewe tunaweza tukajadili mambo na kupata muafaka si kukurupuka kama hao.....
 
Kweli kabisa wewe ni DOGMA!Kati ya hao walioandika huo waraka na huyo Mwanya(PENGO) ni nani kila kukicha anausemea huo waraka?

Nimeamini unaweza ukamaliza madarasa hata mwalimu kufa darasani bila ya kuelimika!Maskini wee,yaani unatia aibu kutetea utumbo!Huko katoliki hakuna demokrasia leo anayetetea hiyo demokrasia atokee katoliki!Maajabu,mbona askofu Malasusa tumemchagua wenyewe hapa bongo?Na ndio maana utagundua viongozi wote wa kidini wanaoteuliwa au kuchaguliwa nje ya nchi yao ni watumwa wa mabeberu hao wa nje kwa ajili ya utashi wao binafsi.Hata ufanye vipi hutaweza kujitakasa na maji ya ******.

Umetaka ndio hivyo hukutaka ndio hivyo,huko hakuna kitu toka njoo huku lutheran au nenda anglican kwani demokrasia inapatikana na si kuletewa mamluki toka roma.
Unajua Malasusa alisema nini kuhusu waraka wa katoliki?
 
pengo umenena nashangaa wapo wanaokupinga lakini hawajui hatuwezi tukawa kwenye taifa la kibabaishaji na wizi nw tumebadirika lazima wafuliee
 
Pengo ana uhuru kama Mtanzania kuongelea kero anazoziona lakini siafiki kila dini kutoa waraka/mwongozo hili litatugawa.
 
Kweli kabisa wewe ni DOGMA!Kati ya hao walioandika huo waraka na huyo Mwanya(PENGO) ni nani kila kukicha anausemea huo waraka?

Nimeamini unaweza ukamaliza madarasa hata mwalimu kufa darasani bila ya kuelimika!Maskini wee,yaani unatia aibu kutetea utumbo!Huko katoliki hakuna demokrasia leo anayetetea hiyo demokrasia atokee katoliki!Maajabu,mbona askofu Malasusa tumemchagua wenyewe hapa bongo?Na ndio maana utagundua viongozi wote wa kidini wanaoteuliwa au kuchaguliwa nje ya nchi yao ni watumwa wa mabeberu hao wa nje kwa ajili ya utashi wao binafsi.Hata ufanye vipi hutaweza kujitakasa na maji ya ******.

Umetaka ndio hivyo hukutaka ndio hivyo,huko hakuna kitu toka njoo huku lutheran au nenda anglican kwani demokrasia inapatikana na si kuletewa mamluki toka roma.

Ha ha ha..kwanza inabidi ukajifunze maana ya neon DOGMA ili usizidi kutuletea mashudu humu jamvini.

Pili, kama nilivyokwambia walio keti kitako na kuandika huo waraka wa wakatoliki ni wataalamu waliobobea ktk fani mbalimbali, yaonekana hili ni geni kwako na utaendelea kuelewa taratibu mpaka ujumbe utakapoifikia medulla oblongata yako.

Tatu, mpangilio wa hoja zako wa ovyoovyo na kuendelea na ad hominem ni kuonesha kuwa wewe ni kielelezo cha mtu asiefuta ujinga, mpumbavu, au partly, both. Demokrasia ya kanisa kwa vyovyote vile iwe mbovu au nzuri, haiwazuii wana kanisa kuzungumzia mambo yanayoigusa na kuihusu jamii inayowazunguka. Unajaribu kuleta habari za Malasusa etc nadhani unashindwa kuelewa kuwa systems za makanisa zinapishania wapi. Sipendi kulijadili hili maana kwa liko very remotely related na mada iliopo humu ukumbini.
 
Pengo ana uhuru kama Mtanzania kuongelea kero anazoziona lakini siafiki kila dini kutoa waraka/mwongozo hili litatugawa.

Pengo ni Mteule wa nchi ya Vatican (ambayo ni sehemu ya Italy). Ni raia wa Tanzania na ana uchungu na nchi yake (kama mtanzania yeyote). Lakini vile vile inawezekana anatekeleza sera za waliompa uaskofu (Vatican). Hivi inawezekana kweli huo waraka/mwongozo haukupata mibaraka ya ubalozi wao/au hata mkuu wa Vatican (Pope)? Hapo ndipo kunapokuwa na utata.
 
Kulingana na gazeti la Majira la leo ASKOFU wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Muadhama Polycarp Kardinali Pengo ameibuka tena na kutangaza mapambano mapya dhidi ya mafisadi huku akidai nchi imeoza na kamwe kanisa halitakaa kimya na kulea hali hiyo.

  • Asema kamwe kanisa halitakubali kunyamaza.
  • Asema watapambana na ufisadi hadi mwisho.
  • Aapa kupambana na yeyote anayetetea uovu.
  • Asema Katoliki haliandai mgombea Urais mwaka 2010.
  • Adai anayeogopa waraka wa Kanisa ni Fisadi.
Huyu Pengo si ndio alienda kumbariki Jambazi Fisadi Mkuu Lowassa nyumbani kwake na kuwaponda wote wanaomsulubu, leo anajifanya ametakasika. Huyu ni mpambe wa Chama Cha Majambazi tu.
 
Kulingana na gazeti la Majira la leo ASKOFU wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Muadhama Polycarp Kardinali Pengo ameibuka tena na kutangaza mapambano mapya dhidi ya mafisadi huku akidai nchi imeoza na kamwe kanisa halitakaa kimya na kulea hali hiyo.

  • Asema kamwe kanisa halitakubali kunyamaza.
  • Asema watapambana na ufisadi hadi mwisho.
  • Aapa kupambana na yeyote anayetetea uovu.
  • Asema Katoliki haliandai mgombea Urais mwaka 2010.
  • Adai anayeogopa waraka wa Kanisa ni Fisadi.


Mimi naona alilosema Pengo si baya kihivyo, inachotakiwa kufanya serikali ni kutazama ukweli ya yaliyosemwa na kuyafanyia kazi kubwa ya marekebisho mapungufu yote. Kwa kufanya hivyo watakuwa wameiteka dhana hiyo na washindi ni wao, lakini wakidharau wakaendekeza malumbano na sera za maneno matupu anguko lao linakuja,'' mene mene tekel peres ''
 
Hamna kitu kama separation of politics and church or religious matters bali kuna separation of powers dhana ambayo kinadharia ipo lakini kimatendo haipo. Kwa kuwadokezea tu siasa na dini ni kama chanda na kidole vinakwenda sambamba no one can separete them.
 
Pengo inabidi aanze kupambana na mshikaji wake Jambazi Fisadi Edward Lowassa ndio tutajua kama kweli ana nia ya dhati katika kupambana na ufisadi.
 
Mfano wa kiti moto sio relevant. Waraka wa kanisa hauko dini-specific. Kama utakuwa umeusoma utaona unazungumzia kuwa na viongozi waadilifu. Shida yetu ni kuwa tunapenda sana kurukia mambo juu juu na kufanya conclusions based on who said what! Nani zaidi ya fisadi asiyekubaliana na ukweli kwamba nchi yetu imekosa uongozi adilifu? Hakuna popote katika waraka panapoelezea dini ya mtu mwadilifu. Kinachozungumziwa hapa ni wasifu wake.

Kama waraka, mwongoze, or any other document itakuwa ina-influence wananchi kumchagua kiongozi wa dini au dhehebu fulani, jua kwamba document hiyo na wanayoieneza ni wapotoshaji. Lakini kama inatuelimisha kuhusu sifa za watu safi wa kutuongoza jinsi ya kutawala raslimali zetu ili zitufae kwa usawa, hiyo document imechelewa sana kutufikia. Mimi siwezi kusema eti huu usanii ulioko kwenye utawala wa sasa unasababishwa na dini? Hata kidogo. Ni uongozi mbovu tu. Kama ndivyo tunahitaji nini basi? Dini bora zaidi? Hata kidogo! Tunahitaji viongozi wasafi, imara, shupavu wa kutawala na kuongoza kwa dira.

Hata kabla ya Pengo kusema tulishajua kuwa nchi imeoza. Itakuwa ni kujifanya vipofu kufanya ufisadi wetu mitaani huko halafu jumapili/ijumaa tunavaa suti/kanzu zetu na kujifanya tuko kanisani eti tunaabudu. Kidini tunaamini wenzetu tunaoishi nao ndio sura na mfano wa Mungu, kumbe ufisadi tunaowafanyia wenzetu tunamfanyia Mungu halafu tunajifanya tunampenda, si ndio unafiki huo? Sasa Pengo akilikemea hilo kuna ubaya gani?Maisha yetu ni pamoja na shughuli za siasa. Dini inaongoza maisha yetu yote. Hivyo siasa ni subset tu ya dini ingawaje iko huru kujiendesha yenyewe. Infact, uadilifu, upendo, kupenda usawa, huruma, na yote mazuri hutoka kwa roho wa Mungu. Kiongozi mwenye sifa hizo lazima awe mwumini wa dini fulani. Kama hana dini, ni wachache sana utakuta wenye ubinadamu.

Nchi imeoza, someni waraka na muufanyie kazi kwa manufaa ya nchi. Acheni ubinafsi, watu wanateseka na umaskini, wanakufa kwa kukosa huduma muhimu kwa sababu ya wachache kujilimbikizia utajiri - ndio ufisadi huo.

Hivi mbona hamkupinga wakati viongozi wa dini walipomfagilia Kikwete alipochaguliwa kuwa ni chaguo la Mungu? Chaguo la Mungu limebadilika baada ya mtumishi kushindwa kuwatumikia watu wake sasa hamtaki tena kuupokea ufunuo huo, kulikoni??

Chukua tamo tafadhali na zingine baadaye . Hivyo hiyo hata kama hawataki wanajianya kujenga hoja .Baho baho
 
Huyu Pengo si ndio alienda kumbariki Jambazi Fisadi Mkuu Lowassa nyumbani kwake na kuwaponda wote wanaomsulubu, leo anajifanya ametakasika. Huyu ni mpambe wa Chama Cha Majambazi tu.
Mkuu ndio maana tunasema awataje Mafisadi kwa majina yao huo utakuwa waraka mzuri zaidi kwa wananchi.
Kifupi kinachotakiwa kanisa kufanya ni kuorodhesha majina yote ya Mafisadi na kuwaomba wananchi wasiwape kura.

Nitarudia kusema waraka ulikuwa na malengo mazuri isipokuwa uwakilishi wake ndio umejaa utata. Kwa nini kanisa na hao waislaam wanashindwa kuorodhesha majina ya mafisadi?.. Dr. Slaa kawataja wote na ajabu baadhi ya viongozi wa dini hawakukubaliana naye leo iwe hao hao viongozi waliowabariki Mafisadi watuambie nani kiongozi bora?..Hivi kweli kumtambua fisadi kunahitaji msomi aliyebobea ktk masomo ya sayansi au ulokole!..

NCHI imeoza kweli, wala Pinda hakukosea ila kuchagua viongozi sio tiba ya Ufisadi hata kidogo ikwa tutaweza kuutazama vizuri mfumo wa uchaguzi nchini. Wagombea wote husimamishwa na vyama wala sii wananchi, hivyo tunachagua kati ya watu wawili tuliopewa na sii kweli kati ya hao wawili, watatu au wanne ni mmoja tu ndiye msafi..Mara zote mafisadi ni viongozi walioteuliwa na serikali iliyopo madarakani..kina Lowassa, Rostam na kundi lao wote hawa waliteuliwa na serikali kushika nafasi ambazo walitufisadi, leo hii hawapo ktk nafasi hizo za Uongozi na wamesimamishwa ktk nyendo zao za Ufisadi, lakini bado ni Wabunge, na ajabu wanapewa support kubwa na vyombo vya dini ili wapate kurudi madarakani..
 
Back
Top Bottom