Hutowasikia tena hao na kina slaa mpaka baada ya 2025, tutunze kumbukumbu tu. Alafu jamaa wanawaona watanzani bado ni wajinga sana. Ukitaka kuamini hilo fuatilia matamko ya kabudi huko nyuma alaf linganisha na huyu wa sasa HV.Mnafiki mkubwa sana jamaa yaani udini udini udini ...
Yaani mimi n mkatoliki pure kabisa ila hapana Kikwete watu walimwambia ukweli lakini Magufuli sijui wanamuogopa nini?.
Arudi atoe maoni yake tenaKulingana na gazeti la Majira la leo ASKOFU wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Muadhama Polycarp Kardinali Pengo ameibuka tena na kutangaza mapambano mapya dhidi ya mafisadi huku akidai nchi imeoza na kamwe kanisa halitakaa kimya na kulea hali hiyo.
- Asema kamwe kanisa halitakubali kunyamaza.
- Asema watapambana na ufisadi hadi mwisho.
- Aapa kupambana na yeyote anayetetea uovu.
- Asema Katoliki haliandai mgombea Urais mwaka 2010.
- Adai anayeogopa waraka wa Kanisa ni Fisadi.