Pengo: Nchi imeoza!

Jamani taifa lolote haliwezi kuendelea pasipo wakosoaji tena wakosoao kwa bidii.taasisi za kidini ndio hasa chanzo cha kupigania haki, uhuru na amani ya nchi yoyote.kwa mantiki hii ni kwamba jasho la church movements kipindi kile lisije likapotea bure kwa kutotambua jitihada zao. naili iwe hivyo pengo anapigana kufa nakupona kuhakikisha kuwa serikali inapaswa kuwajibika juu ya ufisadi naona poa tuu. serikali na dini haviingiliani ila sasa ila sio sababu ya kukaa kimya kabisa na kuacha serikali inaendeshwa vibaya bila kuwaenzi waasisi waliopigania uhuru huu.
 
Jamani taifa lolote haliwezi kuendelea pasipo wakosoaji tena wakosoao kwa bidii.taasisi za kidini ndio hasa chanzo cha kupigania haki, uhuru na amani ya nchi yoyote.kwa mantiki hii ni kwamba jasho la church movements kipindi kile lisije likapotea bure kwa kutotambua jitihada zao. naili iwe hivyo pengo anapigana kufa nakupona kuhakikisha kuwa serikali inapaswa kuwajibika juu ya ufisadi naona poa tuu. serikali na dini haviingiliani ila sasa ila sio sababu ya kukaa kimya kabisa na kuacha serikali inaendeshwa vibaya bila kuwaenzi waasisi waliopigania uhuru huu.
Mkuu unazungumza kwa historia ya nchi gani?.
 
Sasa nani aliyoiozesha hii nchi kama si kanisa?. kwani kanisa ndio linalotawala tanzania kwa nyuma ya pazia


No wonder Mafisadi hawashtuki kama watanzania wengi wana akili kama yako. Kweli kelele za mpangaji hazimsumbui mwenye nyumba!!

Haya maji ya bendera tuliyonyeshwa na CCM nakubali bado yanafanya kazi sawasawa.
 
Tupe majina Muadhama Pengo. Acha kuzungumza kitendawili na mafumbo. We need specifics and not generalities. Ni nani huyo fisadi ili watu wamjue na wasimpigie kura ni nani Baba Askofu. La sivyo kauli yako itakuwa ni wimbo usiokuwa na Chorus. Tunakuheshimu Muadhama. La sivyo utaitwa mbeya.

Unajua eneo unaloliingia ni la siasa. Halina adabu hilo wasije wakakukwaruza Mkuu.
 
Tupe majina Muadhama Pengo. Acha kuzungumza kitendawili na mafumbo. We need specifics and not generalities. Ni nani huyo fisadi ili watu wamjue na wasimpigie kura ni nani Baba Askofu. La sivyo kauli yako itakuwa ni wimbo usiokuwa na Chorus. Tunakuheshimu Muadhama. La sivyo utaitwa mbeya.

Unajua eneo unaloliingia ni la siasa. Halina adabu hilo wasije wakakukwaruza Mkuu.

Kasome Waraka utaelewa Mafisadi ni akina nani
 
Pengo na Kikwete hawana tofauti, wote wanajifanya kuwajua mafisadi na wala rushwa lakini wanashindwa kuwataja kwa majina kama alivyofanya Dr. Slaa. Labda tumsadie Pengo, Jambazi Fisadi mmoja ni yule uliyekwenda nyumbani kwake na kumbariki kwa sala huku ukitoa shutuma kwa wanaomsulubu na tabia ya kusulubiana nchini Tanzania, kwa jina anaitwa Jambazi Fisadi Edward Ngoyai Lowassa.
 
Nitarudia kusema waraka ulikuwa na malengo mazuri isipokuwa uwakilishi wake ndio umejaa utata. Kwa nini kanisa na hao waislaam wanashindwa kuorodhesha majina ya mafisadi?.. Dr. Slaa kawataja wote na ajabu baadhi ya viongozi wa dini hawakukubaliana naye leo iwe hao hao viongozi waliowabariki Mafisadi watuambie nani kiongozi bora?..Hivi kweli kumtambua fisadi kunahitaji msomi aliyebobea ktk masomo ya sayansi au ulokole!..

Mazee pamoja na makelele yako yoote hapa ja JF na mijipost yako mirefu kuhusu ule waraka inaonekana wazi hujatake trouble walau ku-peruzi kwa haraka kuona kilichomo. Na hii ndio typical bongo, kila mtu anajitia ualimu wa vipofu!

Waraka ule umezungumzia udhaifu ktk utendaji na kulenga kutokurudia kosa hususan ktk uchaguzi hasa wa mwakani. Pia umejaribu kuelezea mambo ya uchumi, jamii na kadhalika. Haukua na TOR ya kutaja majina ya viongozi wabovu, hilo sio jukumu la waraka na wala si haki kanisa kuchukua nafasi ya vyombo vya dola. Natumai tunapotoa maoni tuwe sober enough kutoingiza vitu visivyokuwepo au kujaribu kukosoa hata tusivyovielewa.
 
Last edited:
Pengo na Kikwete hawana tofauti, wote wanajifanya kuwajua mafisadi na wala rushwa lakini wanashindwa kuwataja kwa majina kama alivyofanya Dr. Slaa. Labda tumsadie Pengo, Jambazi Fisadi mmoja ni yule uliyekwenda nyumbani kwake na kumbariki kwa sala huku ukitoa shutuma kwa wanaomsulubu na tabia ya kusulubiana nchini Tanzania, kwa jina anaitwa Jambazi Fisadi Edward Ngoyai Lowassa.

Kwanza punguza jazba ili uwe objective, maana hapa ulipofikia unajiembarass tu.

Kumbukumbu zetu zinatuambia Pengo na viongozi wengine wa dini walikwenda nyumbani kwa Lowassa ktk ufunguzi wa kijarida kidogo alichokiandika mkewe, Reginna. Kijitabu kile kina religious merit, of course tukiacha ad hominem.

Na pia ktk mawaidha alichosema ni ktk yaleyale yaliyomo kwenye Bible ambayo kila anayeisadiki anayafahamu, nayo ni tusihukumu tusije tukahukumiwa au kipimo kilekile unachotumia kuhukumu ndicho hichohicho mja atakachotumiwa kwenye hukumu yake, hii sentensi ilikuwa ya kifalsafa zaidi na inahitaji uoni wa ndani kuielewa anamaanisha nini. Sasa mtu kama hakumuelewa ni vyema aulize badala ya kupayuka tu na matokeo yake wenye akili zao wanakuona kituko.
 
Kwanza punguza jazba ili uwe objective, maana hapa ulipofikia unajiembarass tu.

Kumbukumbu zetu zinatuambia Pengo na viongozi wengine wa dini walikwenda nyumbani kwa Lowassa ktk ufunguzi wa kijarida kidogo alichokiandika mkewe, Reginna. Kijitabu kile kina religious merit, of course tukiacha ad hominem.

Na pia ktk mawaidha alichosema ni ktk yaleyale yaliyomo kwenye Bible ambayo kila anayeisadiki anayafahamu, nayo ni tusihukumu tusije tukahukumiwa au kipimo kilekile unachotumia kuhukumu ndicho hichohicho mja atakachotumiwa kwenye hukumu yake, hii sentensi ilikuwa ya kifalsafa zaidi na inahitaji uoni wa ndani kuielewa anamaanisha nini. Sasa mtu kama hakumuelewa ni vyema aulize badala ya kupayuka tu na matokeo yake wenye akili zao wanakuona kituko.
Inaonekana wewe ndio mwenye jazba za kipayukaji, ukituko wako unajionyesha wazi unapojaribu kumtetea Pengo ilihali asilimia kubwa ya watu walioona matamshi ya Pengo nyumbani kwa Jambazi Fisadi Lowassa yalilenga zaidi kumsafisha Lowassa. Hakuna falsafa yoyote aliyoitumia Pengo kwenye matamshi yake siku ile. Kama huna cha maana cha kujibu ni bora unyamaze kuliko kutuletea pumba zako za kigoigoi hapa zisizo na kichwa wala miguu.
 
Nchi haijaoza, tumeoza wenye nchi. Daima nchi yetu ibabaki kuwa nzuri, uozo uko kwetu tusiotaka kubadilika. Mustakabali wa maisha yetu na vizazi vyetu tumeugeuza ushabiki. Tuache kulalama tusubiri mwaka kesho tutoe 96% ushindi wa kishindo.
 
Inaonekana wewe ndio mwenye jazba za kipayukaji, ukituko wako unajionyesha wazi unapojaribu kumtetea Pengo ilihali asilimia kubwa ya watu walioona matamshi ya Pengo nyumbani kwa Jambazi Fisadi Lowassa yalilenga zaidi kumsafisha Lowassa. Hakuna falsafa yoyote aliyoitumia Pengo kwenye matamshi yake siku ile. Kama huna cha maana cha kujibu ni bora unyamaze kuliko kutuletea pumba zako za kigoigoi hapa zisizo na kichwa wala miguu.

Sioni cha ku-comment maana hamna jambo lolote constructive. Na nachelea kwamba kauli moja inaweza ikachukuliwa kwa namna tofauti na watu mbalimbali. Hivyo ndivyo binadamu tulivyo, somo lilelile lakini kuna wenye akili za kuelewa kwa haraka na wengine goigoi ambao kila siku wana trail behind na kumake fool of themselves.
 
Mkandara Pengo katoa mwelekeo wa kuwachagua viongozi wazuri wasio mafisadi ni wajibu wako wewe mwananchi kuwtambua wapi ni mafisasi na wapi siyo mafisadi.

Mengi kawataja mafisadi wangapi?Serikali iliwachukulia hatua gani? Dr.Slaa kawataja mafisadi wangapi?Serikali iliwachukulia hatua gani?

Acha mbwembwe Mkuu, nadhani ni wajibu wako sasa na wewe kuwataja hao mafisadi kama unadhani ndiyo solutions.

Hakuna mwananchi asiyejua nani ni fisadi na si fisadi, wanajulikana sana tuu,.........

Hahahhhahaaaaaa
 
Sioni cha ku-comment maana hamna jambo lolote constructive. Na nachelea kwamba kauli moja inaweza ikachukuliwa kwa namna tofauti na watu mbalimbali. Hivyo ndivyo binadamu tulivyo, somo lilelile lakini kuna wenye akili za kuelewa kwa haraka na wengine goigoi ambao kila siku wana trail behind na kumake fool of themselves.
Ni vigumu kwa mtu kama wewe ambaye ambaye ugoigoi kwako ni wa kuzaliwa kuelewa jambo lolote, kuendelea kuwa na mjadala nawe ni kitu kigumu sana na kisichowezekana, nadhani ni bora urudishe tu lile jina lako la Utindio wa Ubongo ambalo linaendana na uwezo wako mdogo wa kiakili, ndio maana hata uelewa wako katika yale matamshi ya Pengo yanaonyesha ufinyu wako katika kuchanganua mambo.
 
Last edited:
Pengo ni Askofu,mchunga Kondoo wa Bwana. Hata kama Lowassa ni fisadi hajatengwa na kanisa, isitoshe Pengo yupo kutafuta kilichopotea, ni wajibu wake kumrudisha EL kundini na si vinginevyo.

Tatizo hapa watu wanakwenda na udini mbele.

Kikwete ni Fisadi nambari one, tena Nyangumi wa ufisadi, lakini waislamu wenzake na masheikh hawaishi kumualika ktk sherehe zao,msikitini anatia mguu kama kawaida, lakini hajawahi tajwa na hao Masheikh kama ni fisadi, kwanini basi na mashee walipotoa waraka wao wasimtaje JK kuwa ni fisadi?
 
Kadinali awe muwazi, si nchi iliyooza ni CCM. Nchi ni jumuiko la sisi wote, sidhani kama wote tumeoza. CCM, serikali yake na vyombo vyake vimeoza!
 
Muadhama Cardinal Polycarp Pengo ... tuna separation of church and state ... remember?

What do you mean? Kukemea maovu kunahitaji separation of Church and State? In fact, kukemea maovu kunarahisisha utendaji wa state au unataka maovu yaliyopo yaendelee na tusipate hata mtu mmoja wa kusema? Is that the state you mean?
 
Back
Top Bottom