Pengo: Nchi imeoza!

Pengo: Nchi imeoza!

Wewe unayejidai una akili lakini unashindwa kuelewa kwa nini all of a sudden nchi imegawanyika kidini namna hii kwenye awamu hii kuliko wakati mwingine wowote! Nyerere pamoja na mapungufu yake yote aliwafanya watz kujiona kitu kimoja! Nilimsikia anayejiita Prof Lipumba kwamba kwa asili watz ni watu wa amani bila kujua kwamba amani iliyopo imetengenezwa na haijaja yenyewe!

Lipumba huwa anatoa pumba tu. Tangu lini watu wakazaliwa na amani? Amani huwa inatengenezwa na haiji tu kama lipumba anavyodai. We muone hata JK kanyamaza tu akifikiri mwishowe mambo yataenda tu, kwa hiyo ni wale wale.
 
Huu ni unafiki na uzushi usio mfano! Jee, Tanzania kujiunga na OIC na kuwa na Mahakama ya Kadhi ndio imeshageuka kuwa Jamhuri ya Kiislam? huo ni upumbavu wa hali ya juu.

Nchi ngapi duniani zina hizo Mahakama za Kadhi na wamejiunga na OIC mbona hazijawa Jamhuri za KiIslam?

Jirani zetu, Uganda na Msumbiji ni memba wa OIC na Kenya kuna Mahakama ya Kadhi, Jee ni lini ulizisikia zikawa Jamhuri za kiIslam?

Wacha upumbavu!
Salidalama punguza jazba. Kwani Uganda kuwa OIC na Kenya kuwa na mahakama ya kadhi lazima Tanzania tuige? Hakuna mtu anapinga Waislam kujiunga OIC tatizo ni kuingiza nchi. Tafsri "Organization of Islamic Countries" Umoja wa Nchi za Kiislam, sasa kama TZ siyo nchi ya kiislam inakuwaje mwanchama kwenye jumuia ya kiislam. Hakuna tatizo jiungeni tu lakini msiingize nchi. Suala la kadhi nalo mmeshaambiwa ianzisheni lakini muiendeshe kwa pesa zenu siyo za walipa kodi, kama kanisa katoliki lilivyo na mahakama ya kanisa isiyotegemea pesa ya walipa kodi
Zawadingoda, omarlyisis, bull na wengineo imefika wakati mtumie busara kidogo. Chuki zenu za waziwazi kwa kanisa katoliki hazitawasaidia. Ninahaki kama siyo nyie lakini kuna ndugu zenu wanatibiwa kwenye hospitali na zahanati za kanisa hilo hilo. Hao hao wanatumia maji ya visima vilivyochimbwa na kanisa hilo hilo. Au ndio mambo ya baniani mbaya kiatu chake dawa?
 
nadhani ulisikia ushauri uliotolewa na balozi wa Kenya nchini Tanzania kuhusu mahakama za kadhi na jinsi zilivyo waletea matatizo. Halafu issue siyo mahakama, issue ni kwa nini waislamu walazimishe kwamba mahakama hizi ziendeshwe kwa kodi za wananchi ambao wengine siyo waislamu?? Hili ndo tunalolipinga.

Sasa hivi mmeruhusiwa muanzishe wenyewe na mziendeshe wenyewe mnaanza kulalama, sijui mnataka msaidiweje, na mmezidi kupenda vitu vya bure. Chuo kikuu mmepewa bure, huku wenzenu wanajenga kwa pesa ya sadaka na michango kidogo.

Ikiwa hivyo ni kwa nini mahakama zingine zozote ziendeshwe kwa pesa za walipa kodi? si zijiendeshe zenyewe tu!
 
Nina kila mara maongezi yako upande wa waraka wa wakatoliki pekee na ule mwingine si waraka kwamba nao uongelewe hapa ?halafu naona tuna lalamika na kuulaumu waraka hivi jamani yaliyo andikwa mle kwenye waraka hayako Tanzania ?

Je kama vyama vya siasa havikuweza kuyasema cauase hawayaoni ina maana kwamba watu wengine wasiseme ?

Nimewah kusoma hapa hapa JF ikisemwa kwamba Waislam ni majority Tanzania kama ndiyo hivyo sasa kelele za nini si watakuwa overwhelmed kweney uchaguzi na kuwachagua CCM ugumu uko wapi ?
Hawawezi kuongelea huo wa waislam kwa sababu lengo lao siyo content bali ni nani kautoa. Hawa jamaa ni haters wa kiwango cha ajabu kabisa. Bahati nzuri wamekuta upande mwingine unajua ku-ignore hivyo chokochoko zao zinaishia kwenye "deaf ear"

nadhani ulisikia ushauri uliotolewa na balozi wa Kenya nchini Tanzania kuhusu mahakama za kadhi na jinsi zilivyo waletea matatizo. Halafu issue siyo mahakama, issue ni kwa nini waislamu walazimishe kwamba mahakama hizi ziendeshwe kwa kodi za wananchi ambao wengine siyo waislamu?? Hili ndo tunalolipinga.

Sasa hivi mmeruhusiwa muanzishe wenyewe na mziendeshe wenyewe mnaanza kulalama, sijui mnataka msaidiweje, na mmezidi kupenda vitu vya bure. Chuo kikuu mmepewa bure, huku wenzenu wanajenga kwa pesa ya sadaka na michango kidogo.
Ndugu yangu magezi kwa lugha yetu (ambayo nimetafsiri hapa) huwa wana misemo kama "kumwimbia kiziwi utamaliza nyimbo" au 'kumumulikia kipofu utamaliza nyasi' Huyu Salidalama ni kipofu na kiziwi hatasikia wala hataona

Ikiwa hivyo ni kwa nini mahakama zingine zozote ziendeshwe kwa pesa za walipa kodi? si zijiendeshe zenyewe tu!
Mahakama za serikali sasa unataka ziendeshwe na nani!!!!!!!!!!!!!grrrrrrrrrrrrrrr!!!!!!!
 
Pengo asitake kubabaisha watu.

Asitake kujifanya ana code of conduct and ethics.

Kama kweli anajali ethics angesimama kidete dhidi ya 'mapadri wanaotafuna wavulana' na wanaotafunana 'wenyewenye kwa wenyewe' tena rasmi-yaani bila ya kuficha.

Kitabu chake mwenyewe kinasema hakuna sheria wala usafi utakaomsaidia mtu mbele ya Mungu, sasa yeye anatoa wapi authority ya kuhubiri usafi? Na iwe kwa faida gani?

Ushahidi huu hapa.
"For Christ is the end of the Law for righteousness to every one who believes" Romans 10:4

KItabu chake pia kinasema deeds are 'filthy rags'.

Kama vitendo vyema na usafi na uttifu kwa Mungu havimsaidii binaadamu kupata salvation why shoulod anyone care about being righteous and just?

Ameshajitega zamani ndani ya kitabu chake kwa hiyo hana authority ya kuhubiri maadili. Uadulifu hupatikana kwa kumuogopa Mungu.

Huwezi kuwaambia watu uadilifu hauna malipo mbele ya Mungu na njia pekeee ya kwenda peponi nikukubali Mungu amakufa msalabani kwa ajili ya dhambi zako na hapohapo kuwapa watu motisha ya kuwa safi-mtu awe safi kwa ajili ya nani kama usafi ni 'filthy rags' (tambara chafu) mbele ya Mungu.

Hana la kumfundisha mtu yoyote aliye makini.

Kama anataka siasa akajisajili kwa msajili wa vyama vya siasa na afute mfano wa Dr. Slaa anayeheshimika kama mwanasiasa mahiri.
 
Last edited:
Pengo asitake kubabaisha watu.

Asitake kujifanya ana code of conduct and ethics.

Kama kweli anajali ethics angesimama kidete dhidi ya 'mapadri wanaotafuna wavulana' na wanaotafunana 'wenyewenye kwa wenyewe' tena rasmi-yaani bila ya kuficha.

Kitabu chake mwenyewe kinasema hakuna sheria wala usafi utakaomsaidia mtu mbele ya Mungu, sasa yeye anatoa wapi authority ya kuhubiri usafi? Na iwe kwa faida gani?

Ushahidi huu hapa.
"For Christ is the end of the Law for righteousness to every one who believes" Romans 10:4

KItabu chake pia kinasema deeds are 'filthy rags'.

Kama vitendo vyema na usafi na uttifu kwa Mungu havimsaidii binaadamu kupata salvation why shoulod anyone care about being righteous and just?

Ameshajitega zamani ndani ya kitabu chake kwa hiyo hana authority ya kuhubiri maadili. Uadulifu hupatikana kwa kumuogopa Mungu.

Huwezi kuwaambia watu uadilifu hauna malipo mbele ya Mungu na njia pekeee ya kwenda peponi nikukubali Mungu amakufa msalabani kwa ajili ya dhambi zako na hapohapo kuwapa watu motisha ya kuwa safi-mtu awe safi kwa ajili ya nani kama usafi ni 'filthy rags' (tambara chafu) mbele ya Mungu.

Hana la kumfundisha mtu yoyote aliye makini.

Kama anataka siasa akajisajili kwa msajili wa vyama vya siasa na afute mfano wa Dr. Slaa anayeheshimika kama mwanasiasa mahiri.
Unaongea nini wewe? Una akili timamu kweli?
 
Ninyi mnaomponda Nyerere mna matatizo binafsi

Nyerere alipora mali za wananchi.

Mafunzo ya kiuchumi yanaonesha wazi kwamba ili taifa liweze kuendelea lazima iwepo private sector-yeye aliuwa sekta binafsi na kufanya sekta binafsi ionekane kama seka ya kinyonyaji.

Alipora mali za wananchi bila ya kuithibitishia mahakama yoyote ile kwamba mali zao hazikupatikana kihalali.

Kimsingi alijifanya yeye ndio Serikali na ndio Mahakama. Serikali inapojiingiza katika shughuli za kuagiza 'colgate' kutoka nchi za nje badala ya kuwaachia shighuli hiyo wafanyabiashara huko ni kukosea vision na matokeo ya kukosa vision yalionekana, watu walilazimika kutumia mkaa kama dawa ya meno.
 
Kama unamini wewe unazo akili jibu maswali niliyoyauliza.
Hujui hata kujieleza sijui unajifunza kuongea!! Una umri gani? unasoma na kurudia sentensi na mantinki hata hueleweki. Siwezi kujibu kitu kisichoeleweka! Kajifunze kujieleza halafu ndiyo urudi hapa siyo kutupotezea muda.
 
Hujui hata kujieleza sijui unajifunza kuongea!! Una umri gani? unasoma na kurudia sentensi na mantinki hata hueleweki. Siwezi kujibu kitu kisichoeleweka! Kajifunze kujieleza halafu ndiyo urudi hapa siyo kutupotezea muda.

Ili mtu aweze kusema msemaji hana akili lazima msemaji aeleweke hicho alichokisema. Mtu akizungumza lugha usyoifahamu utawezaje kudai msemaji hana akili kama kweli una akili timamu?

Hakuna aliyekupotozea muda-hukulazimishwa kujibu ambacho hukukielewa.
 
Mi nadhani, baadhi ya watu wanataka tu kumchafulia jina Kardinali Pengo. Kardinali ni kiongozi wa kanisa na yeye anafuata maadili. Kila mtu anajua kuwa ufisadi si kitu kizuri. Kila mtu anajua madhara ya ufisadi ni nini. Sasa mnaolipinga kanisa katoliki katika suala la kupambana na ufisadi, mnatoa "alternative" gani? Maana mnapinga tu lakini hamna cha maana mnachokizungumzia kuhusu ufisadi, ila mnapinga tu kwa sababu argument ya ufisadi imetoka kwa kanisa katoliki. Kama mnafanya hivi nadhani hamna pointi ya maana. Je mna chuki binafsi na kanisa katoliki kama yule mbunge aliyeanzisha mada hii bungeni?

Sasa "takrima" si ufisadi? Nini tofauti ya rushwa na takrima? Je wananchi hawana uhuru wa kufundishwa kuchagua kilicho bora? Kama CCM na serikali yake imeshindwa vita vya ufisadi sasa je wananchi wafungwe midomo na kukaa kimya tu? Hapana. Mafisadi wamo hata ndani ya CCM. Wanajulikana. Tunaishi nao mitaani. Sasa je mnataka wananchi wawataje majina yao? Maana majina yao, wanayo.

Acheni kuchafulia viongozi wa dini majina. Acheni kupotosha wanachosema kwa nia nzuri. Sasa watanzania mnapenda ufisadi? Najibiwa: "hatupendi". Kwa hiyo kama hamna chochote cha kuandika, ni bora mkakaa kimya, mtakuwa waungwana zaidi kuliko kuropokaropoka tu!
 
Mi naona aliyeandika habari hii, hajui maana ya ukatoliki na imani ya kanisa katoliki. Sehemu nyingi ni za uzushi na uongo katika habari hii. Ni vizuri kukaa kimya kama hujui mambo kuliko kusema mambo yasiyo na miguu wala mikono. Hii inaonyesha ni jinsi gani alivyo na chuki binafsi na kanisa katoliki.
 
Zijiendeshe zenyewe kivipi, fafanua!

Mfano mahakama ya biashara, ijiendeshe yenyewe kwa wenye kupeleka kesi za biashara kulipia gharama za mahakama wenyewe. Mahakama za mirathi na mambo ya kifamilia walipie gharama wenyewe wataopeleka kesi kwenye hizo mahakama na Mahakama za Kadhi walipie wenyewe. Serikali ibaki na mahakama za jinai tu. Kesi zote za civil ziwe na mahakama zake hususi na zijiendeshe zenyewe.

Kama si hivyo, kama kesi za mirathi na kifamilia za wasiokuwa na dini zinalipiwa na walipa kodi wote, waliokuwa na dini na wasiokuwa na dini, basi na za Kadhi, halikadhalika, zilipiwe na walipa kodi wote.
 
Salidalama punguza jazba. Kwani Uganda kuwa OIC na Kenya kuwa na mahakama ya kadhi lazima Tanzania tuige? Hakuna mtu anapinga Waislam kujiunga OIC tatizo ni kuingiza nchi. Tafsri "Organization of Islamic Countries" Umoja wa Nchi za Kiislam, sasa kama TZ siyo nchi ya kiislam inakuwaje mwanchama kwenye jumuia ya kiislam. Hakuna tatizo jiungeni tu lakini msiingize nchi. Suala la kadhi nalo mmeshaambiwa ianzisheni lakini muiendeshe kwa pesa zenu siyo za walipa kodi, kama kanisa katoliki lilivyo na mahakama ya kanisa isiyotegemea pesa ya walipa kodi
Zawadingoda, omarlyisis, bull na wengineo imefika wakati mtumie busara kidogo. Chuki zenu za waziwazi kwa kanisa katoliki hazitawasaidia. Ninahaki kama siyo nyie lakini kuna ndugu zenu wanatibiwa kwenye hospitali na zahanati za kanisa hilo hilo. Hao hao wanatumia maji ya visima vilivyochimbwa na kanisa hilo hilo. Au ndio mambo ya baniani mbaya kiatu chake dawa?

Samahani sana kwa kuleta habari za uongo, OIC si kama ulivyofafanua wewe, sijui umeitowa wapi hiyo?

OIC ni Organization of Islamic Conference na si kama utakavyo wewe. Tafadhali usibabaishe watu, ukiandika uwe na uhakika na unachokiandika.
 
Samahani sana kwa kuleta habari za uongo, OIC si kama ulivyofafanua wewe, sijui umeitowa wapi hiyo?

OIC ni Organization of Islamic Conference na si kama utakavyo wewe. Tafadhali usibabaishe watu, ukiandika uwe na uhakika na unachokiandika.

Peleka udini wako huko uarabuni, elewa kuwa Tanzania haitakaa iwe nchi ya kiislam hata kama Kikwete akigeuza baraza zima liwe la waislam pekee.
 
...

Mpaka sakata hilo halijafika mwisho hatujui hatima yake. Lakini moja ni sahihi, kuwa michezo kama hii mwisho wake si mzuri na inaweza kuleta umwagaji damu. Ukimya wa KIngunge nyakati za hivi karibuni si dalili nzuri, kwani simba mwenda kimya ndio mla nyama.

Kingunge amenyamaza kwa vile amegundua kuwa watanzania walishaujua ufisadi wake na udini wake (ingawa anajifanya kuwa hana dini). Hayo yote mengine uliyoandika hapo juu ni mawazo yako binafsi na hayana ukweli.

Kikwete ameanza kuleta udini Tanzania na atabeba lawama zote pale hii nchi itakapotumbukia kwenye mgogoro wa kidini. Hizo mahakama zenu za kadhi na hizo jumuiya zenu za kiislam ziishie huko huko misikitini na sio kwenye katiba ya Tanzaniam
 
Kweli tunaoelekea ni kubaya....kwa mawazo kama haya!!!!




Mkuki kwa Mwislamu kwa Mkristo mchungu....wakati Serikali inapambana na "uchochezi" wa waislamu ilikuwa sawa na wala hakujaweza kuitumbukiza Tanzania katika migogoro lakini sasa imeshwakuwa hivi...Yaani akifanya uchochezi Sheikh PONDA serikali ina haki ya kuchukua hatua, akifanya Kadinali Pengo serikali haina haki wala wajibu wa kulishughulikia na zaidi inataka kuitumbukiza Tanzania katika migogoro..




Nakubaliana nawe 100%



Ni kweli PINDA ni mkatoliki mnyenyekevu lakini hili la UKATAOLIKI SAFI sijui ni vigezo gani unavitumia....unaweza kutuhabarisha zaidi?



Pinda kuongelea suala hili kama alivyofanya bungeni na hakuna aliyeaanz kumtukana na kumkejeli kama wanavyofanyiwa wasio wakatoliki ni jukumu lake kwa serikali na taifa lake. Kama ulivyosema, ni Pinda ndiye anaeweza kulishughulikia hili suala kwa mafanikio zaidi kuliko wengine lakini hilo ni jukumu lake kama waziri mkuu tuache kuanza kuspin mambo kufurahisha misimamo yetu iliyojaa USISI na UWAO....

omarilyas

Ama kweli tunakoelekea kubaya ... kama Omari naye amefikia pa kulinganisha waraka wa kikatoliki na kile alichofanya Ponda na wenzake wakati wa utawala wa Mkapa.

unapondea wanachoandika wenzako wakati na wewe unafanya kile kile tu walichofanya wenzako.
 
Mi nadhani, baadhi ya watu wanataka tu kumchafulia jina Kardinali Pengo. Kardinali ni kiongozi wa kanisa na yeye anafuata maadili. Kila mtu anajua kuwa ufisadi si kitu kizuri. Kila mtu anajua madhara ya ufisadi ni nini. Sasa mnaolipinga kanisa katoliki katika suala la kupambana na ufisadi, mnatoa "alternative" gani? Maana mnapinga tu lakini hamna cha maana mnachokizungumzia kuhusu ufisadi, ila mnapinga tu kwa sababu argument ya ufisadi imetoka kwa kanisa katoliki. Kama mnafanya hivi nadhani hamna pointi ya maana. Je mna chuki binafsi na kanisa katoliki kama yule mbunge aliyeanzisha mada hii bungeni?

Hoja ya mimi ninayempinga Pengo ni kama ifuatavyo.

Pengo hakuzungumza kama raia wa kawaida kama wewe na mimi, amezungumza kama kiongozi wa dini.

Katika mazungumzo yake amekemea ufisadi-sasa ninakuuliza, katika Biblia wapi waumini wameamrishwa kukemea maasi na maovu?

Kuna faida gani ya kumsikiliza wakati Paulo ameshasema ndani ya Biblia kwamba sasa sheria haina nafasi mbele ya Mungu?Rejea aya nilizozileta.
Paulo amesema 'kupona (salvation)' hakutegemei vitendo wala utii wa amri Mungu, kupona mbele ya Mungu kunategea imani kwamba Mungu amekufa msalabani kwa ajili ya midhambi ya waumini, sasa hoja ya kufuata 'the law' inatoka wapi?

Of course common sense inasema corruption ina athari. Je, wewe uko tayari kukiri kwamba sheria za kikatoliki zinatungwa na common sense hata kama hazina support ya kitabu (Bible)?Kama ni hivyo, je hizo zitaitwa sheria za Mungu ama za binaadamu?Kama za kibanaadamu kwa nini zisiwe challenged?

Kama angekuwa Muislamu ningemuelewa kwa sababu kitabu cha Waislamu kinasema wazi kwamba Mungu hapendi ufisadi na mafisadi na pia waumini wa Kiislamu wanaambiwa wazi wazi wakatazane mabaya na kukumbushana mema.

Wapi ndani ya Biblia waumini 'wameamrishwa' kukatazana mabaya? Tuanze na hapo ili tuone kama kweli kauli yake imekuwa motivated na Biblia ama maoni binafsi kwa kivuli cha dini. kama ukituthibitishia amri hiyo ipo ndani ya Biblia utaweza kuanza kujenga hoja kwamba anatimiza matakwa ya dini yake.Lakini usisahau kwamba utalazimika kumjibu Paulo vilevile aliyesema 'amri za Mungu kwanzia sasa hazina nafasi'.

Tukikubali maoni binafsi yatangazwe hadhadhari na viongozi wa dini kwa kutumua kivuli cha dini ni sawa na kuwakubalia magaidi wafanye vitu vyao na kusingizia dini.
 
Last edited:
Ikiwa hivyo ni kwa nini mahakama zingine zozote ziendeshwe kwa pesa za walipa kodi? si zijiendeshe zenyewe tu!

Kwa sababu hizo mahakama zingine sio za kutoka uarabuni ili kueneza dini hapo Tanzania. Hiyo ndiyo tofauti kubwa hapo juu.
 
Back
Top Bottom