Genekai
R I P
- Feb 9, 2010
- 12,517
- 4,987
Kwa hawa mkuu utasubiri labda mhadhara! Wakija utaambiwa "wakristo wanajuhusisha na siasa"Haya sasa tunasubiri tamko toka BAKWATA. Tuone upande wa pili nao wanasemaje kuhusu jambo hili.?
Kwa hawa mkuu utasubiri labda mhadhara! Wakija utaambiwa "wakristo wanajuhusisha na siasa"Haya sasa tunasubiri tamko toka BAKWATA. Tuone upande wa pili nao wanasemaje kuhusu jambo hili.?
Kuna walioandaa ( Hawajatajwa) taasisi Zao za Heshima (Hazijatajwa) Ujasili upi unaouzungumzia? hata watuhumiwa wa madawa ya kulevya anawafahamu (hawataji na hawashughulikii) Huu ndo Unafiki anaousema pengo.''Kuna walioandaa wagombea wao, na taasisi zao ambazo ni taasis za heshima zikagharamia uchapishaji wa majarida, wakaandaa semina, makongamano, na kufanya kampeni kwenye kila ibada. Lakini hawakufanikiwa kupenyeza mtu wao kwenye nafasi walioitaka, sasa hii tunayoishuhudia ni kuchanganyikiwa kwao na ndio maana nilieleza kule Dodoma wakati wa sherehe za kuzaliwa CCM kuwa, kuna baadhi yetu bado wamenuna na matokeo ya uchaguzi. Kwa bahati mbaya hata wakiendelea kununa, rais wa nchi hii ataendelea kuwa yule yule, hakuna mwingine, na shida zao watakuja kuniambia mimi hawana pakwenda.'' Huu ndio ujasiri wake Jakaya Mrisho Kikwete rais wa awamu ya nne, Jamhuri ya Muungano ya Tanzania.
Asante kardinal Pengo, serikali ya kikwete imejaa uzushi mtupu. Rais anaropoka utadhani yupo kijiweni! hizi sasa ni chuki dhidi ya wakristo
huyu ndiye rais mwehu kuliko wote waliowahi kutokea nchini.
wewe unashili kuchukua sifa ya punguani kwa kutona kuwa raisi alikosea, atasemaje vile ndani ya kanisa hili ni kutaka kuchafua kanisa kwanini asingeongea yale aliyoitiwa ? wewe unapima utendaji kazi wa Mzaramo kwa maneno ? tukumbuke kanisa halikuchukua hatua yeyote baada ya Kikwete kuongea likimsikilizia ataje majina na badala yake anasema ni makanisa madogomadogo sio ninyi huu ni uropokaji wa hali ya juu sana na tena hauvumiliki,hapa JK hashambuliwi kwa uislamu wake bali anashambuliwa kwa hoja zake za kuropoka ropoka.''Kuna walioandaa wagombea wao, na taasisi zao ambazo ni taasis za heshima zikagharamia uchapishaji wa majarida, wakaandaa semina, makongamano, na kufanya kampeni kwenye kila ibada. Lakini hawakufanikiwa kupenyeza mtu wao kwenye nafasi walioitaka, sasa hii tunayoishuhudia ni kuchanganyikiwa kwao na ndio maana nilieleza kule Dodoma wakati wa sherehe za kuzaliwa CCM kuwa, kuna baadhi yetu bado wamenuna na matokeo ya uchaguzi. Kwa bahati mbaya hata wakiendelea kununa, rais wa nchi hii ataendelea kuwa yule yule, hakuna mwingine, na shida zao watakuja kuniambia mimi hawana pakwenda.'' Huu ndio ujasiri wake Jakaya Mrisho Kikwete rais wa awamu ya nne, Jamhuri ya Muungano ya Tanzania.
Nadhani akili yako imefiks ukomo wa kufikiri na ninaona sasa JF haikufai tenaWho is mzee wako anyway...asije akawa ndo yule mzee aliyeng'olewa shamba lake la bangi wilaya ya Kwimba miezi michache iliyopita. YOU R NOT STUPID BUT YOU ARE NONSENSE...