Mkirua
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 5,647
- 2,513
Mkirua, naona umeguswa pabaya sana. Ukitaka kulia lia, ukitaka kujinyonga jinyonge lakini nchi yetu hamtaiuza kamwe, si kwa madawa wala kwa Rozari. Wewe ni mshika mkia tu wala hujui kinachoendelea, tena uko nyuma sana hata kukusaidia ni kazi kwewli kweli.
Ungekuwa ni nyama ungeiva kwa umeme tu na kidogo kwa Gasi. Maana kichwa chako ni kigumu sana kuelewa, na hata ukielewa ni mwepesi sana kusahau. Fuatilia historia ya kanisa karoliki kwq kipindi cha miaka 30 tu iliyopita na angalia mabaya walyoyafanya bila kufichuana wenyewe kwa wenyewe. mKIRUA polleeeee!
1. Tatizo lako kubwa unadhani wote wanaotetea kauli ya pengo humu ni Wakatoliki na Wanamtetea Kikwete ni Waisilamu. Haya ni mawazo mepesi sana pengine ukaendelee kule Face Book .Kama hata utambuzi wa jambo dogo kama hilo huna sitegemei kuwa unaweza kuelewa kingne chochote.
2. Kwenye hoja yako ya kuuza nchi ungetuambia wewe ni nani na sisi tunaotaka kuuza nchi ni kina nani ili nijue naongea na nani though wenye akili tumeshakujua ni Masalia.
3. Ushauri wako wa kufuatilia Kanisa Katoliki kwa miaka 30 iliyopita anzisha Thread weka hoja upewe majibu.
4. Mwisho nasisitiza hoja ya msingi hapa ni Pengo kampasha Kikwete Live. Najua kiongozi wa dhehebu lako hana ujasiri wa Pengo na wala hathubutu na hata akisema ukiweka Thread humu hakluna atakayechangia na hicho ndicho kinachokuumiza zaidi na kuishia kujadili watu badala ya hoja. Huo ni mwanzop tu ndio faida ya kuwa na viongozi wa dini ambao wamekwenda shule...
Kanisa katoliki ni jasiri duniani kote na itabaki hivyo ... Subiri mazito zaidi kwani kwa Serekali lege lege inayoogopa hata kuwataja wahalifu sembuse kuwashughulikia haiwezi kutufikisha popote. Ningekuona shujaa ungetumia jina lako halisi hapa halafu tukuchunguze miaka 30 iliyopita na sio Kanisa Katoliki kama unavyotaka wewe. Anza kwako binafsi.