kibaravumba
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 6,633
- 7,021
nakubaliana nawe kabisa. wanachama wengi wapo katika dilema. mimi nimeandika mawazo haya ikiwa tafakuri ya kutafuta a way out of the dilema. lakini pia naamini njia ambayo ni sahihi ni kutafuta compromise ya hizi kambi mbili. na harakaharaka nadhani compromise inawezekana kabisa kutafuta neutral group ipewe madaraka--tena haraka. Na sijui ni nani atayewezesha hili kutokea. kuleta neutral people kwenye safu ya uongozi itaondoa hisia ya either group kushinda. chadema ni chama kikubwa kuliko kinavyoonekana machoni pa watu. kwa hiyo hapatakuwepo shida kupata neutral group. tatizo nani awezeshe hilo?
Dialema?Labda ninyi 'wasomi'ndio mko njiapanda kwa kuwa kujua kwingi huondoa maarifa.Sisi tunajua,tena kwa uhakika,Zitto tangu ateuliwe tume ya Buzwagi,alinunuliwa na hadi akajengewa shule kwao na barrick gold na akawa mpole bungeni kabisa.Alichobakiza ni kuwa mpinzani wa viongozi wake.Alipoamua wazi wazi kuipigia kampeni nccr ili kafulila ashinde,Laiti ningekuwa na uwezo ningelimfutilia mbali uanachama wake aende huko nccr.Huyu ni nyoka na hatakiwi kuonewa huruma hata kidogo.Kama hahongwi anatoa wapi pesa ya kununua gari la fahari?msitwambie kitu bana huku tunaishi na mamluki wake wengi na wanatamba huwa anawapa pesa za matumizi na wanakiri wanataka nao wawe na madaraka!Hakuna anayewaza kumkomboa mwananchi kutoka kwa wakoloni weusi
Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums