Pengine serikali ya CCM imechanganyikiwa

Ichanganyikiwe mara ngapi? Heri ingechanganyikiwa kuliko kuharibikiwa tokana na laana ya maovu iliyowatendea watanzania
 
Anateuliwa mtu mwenye tuhuma za kutesa na mauaji ya watu wasio na hatia, "because of love"
 
Huo ni mpango wa Mungu,
Hakuna kisicho na mwisho.
wafu watazikana wenyewe!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…