Pengine serikali ya CCM imechanganyikiwa

Wamechanganyikiwa kutoka Kihongosi hadi Sofia Mjema mpaka Makonda😆😆😆
 
Mkuu alihitajika mtu kama Makonda kufufua chama maana Chama kililoose popularity na wanachama walipungua kwa 30%
So lazma warudishe watu kama makonda kwenye system
Very myopic argument...
 
Kwa hiyo watanzania wanachukuliwa kuwa ni watu wajinga wajinga ambao hawahitaji wasomi na watu intelligent kwenye hiyo nafasi siyo??
 
Daudi hajui kuongea, ni heri hata Haji Manara, yaani Manara angeisaidia CCM ila si huyu Daudi.

Ktk kuongea tu Manara peke yake ni sawa na kina Daudi hamsa
Umenena vema kabisa... Yaani hamfikii hata robo pia Steve Nyerere... Anachoweza ni ubabe, ambao ulikuwa unabebwa na nafasi yake ya u RC enzi hizo...
 
Kwa hiyo watanzania wanachukuliwa kuwa ni watu wajinga wajinga ambao hawahitaji wasomi na watu intelligent kwenye hiyo nafasi siyo??
Katiba yetu pamoja na katiba ya chama ndo inavyoelekeza kuhusu Nafasi za kisiasa....mkiambiwa katiba mpya si mnasema Haileti ugali 😅😅
 
Ilo najua mkuu na ndo maana makonda kawekwa ili kurudisha kidgo heshima..watu wamerudisha sana kadi...Zaidi ya kadi 20k zimerudishwa...
Hiyo heshima asiirudishe pole pole mwenye uwezo mkubwa wa kujenga hoja ndiyo ije kurudishwa na huyu?? [emoji12] [emoji12] [emoji12]
 
Hiyo heshima asiirudishe pole pole mwenye uwezo mkubwa wa kujenga hoja ndiyo ije kurudishwa na huyu?? [emoji12] [emoji12] [emoji12]
Pole pole Hawezi kurudishwa tena cuz Wanachoangalia ni mpasuko kwenye chama Pole pole hapendi aina ya uongozi Huu wa Msoga style...
Na ni Sukuma Gang Damu so hawezi kurudishwa nchini kabisa ataleta mpasuko kwenye chama...
 
Katika hili Gwajma amefeli sana. Aliwaaminisha waumini wake kua amemfuta kabisaa bashite kwenye historia ya siasa za nchi hii. Kumbe ni nabii wa uongo
 
2014!?[emoji848][emoji2827]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huu uzi wako ni ishara kuwa hauko sawa.[emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…