DR Mambo Jambo
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 12,852
- 29,048
Tatizo Manara Mdomo wake ndo unamponzaga wakati mwingineDaudi hajui kuongea, ni heri hata Haji Manara, yaani Manara angeisaidia CCM ila si huyu Daudi.
Ktk kuongea tu Manara peke yake ni sawa na kina Daudi hamsa
ile miaka mia moja ya manguli wa sheria za mkataba wa dipi weldi imepotelea Mbeya au USA?
Ooh kumbeNape + Makonda = mchafuko ndani ya chama na serikali.View attachment 2789222
Mkuu samahani ila sijapata point yako katika hili, labda unisaidie.
Na hata njia uliyopitia haitapitika maana kila uendapo utaacha harufu ya kubwaNa shida ya kubwa ni moja ukishaikanyaga umeitibua uvundo wake wote
Utanuka wewe na wengine watakukwepa kutokana na harufu hiyo wasijue kutofautisha kama ni yako ama ni ya mwingine umeipitia tuu..!
Ila yupo vizuri katika amsha amsha kupitia hilo domo lake.Tatizo manara Mdomo wake ndo unamponzaga wakati mwingine
Magufuli alipoingia tuliambiwa kabla yake watu walikuwa wanaogopa kuvaa nguo za CCM ila ameifufua. Haya na sasa tunaambiwa tena Makonda ndiyo anakuja kuifufua. Hizi ni dalili za kuwa CCM iko kwenye siku zake za mwisho. Najua kwa ufinyu wa akili zako unaweza usione hili lakini muda utaamua.Mkuu alihitajika mtu kama Makonda kufufua chama maana Chama kililoose popularity na wanachama walipungua kwa 30%
So lazma warudishe watu kama makonda kwenye system
Watajua hawajuiHivi vipi wakisema ukomo ni miaka 30 lakini kumbe ni uongo?
Anaamsha amsha wajinga wajinga ambao wako wengi sana kwenye mitaa ya Tanzania. Ule ujinga wa kufanya mambo bila kutumia akili huyu ni bingwa. Leo atashika suala la wajane, kesho atashika suala la vibaka, keshokutwa atashika suala la tezi dume... yaani ujinga ambao hauna matokeo yoyote bali unazidisha tatizo na kutumia muda na fedha bila matokeo. Bahati mbaya ni kuwa huwezi kuwadanganya watu muda wote.. kuna siku itafika...Ila yupo vizuri katika amsha amsha kupitia hilo domo lake.
Daudi yupo vizuri ktk kutumia 🔫 tu na polccm guard, mambo ya amsha amsha kwa domo lake hawezi, hivyo uenezi hawezi domo zege huyo.
Ilo najua mkuu na ndo maana makonda kawekwa ili kurudisha kidgo heshima..watu wamerudisha sana kadi...Zaidi ya kadi 20k zimerudishwa...Magufuli alipoingia tuliambiwa kabla yake watu walikuwa wanaogopa kuvaa nguo za CCM ila ameifufua. Haya na sasa tunaambiwa tena Makonda ndiyo anakuja kuifufua. Hizi ni dalili za kuwa CCM iko kwenye siku zake za mwisho. Najua kwa ufinyu wa akili zako unaweza usione hili lakini muda utaamua.
Hayo ndiyo malengo ya CCM, ila wananchi wajinga wanazidi kupungua so ipo siku watakosa wa kumdanganya.Anaamsha amsha wajinga wajinga ambao wako wengi sana kwenye mitaa ya Tanzania. Ule ujinga wa kufanya mambo bila kutumia akili huyu ni bingwa. Leo atashika suala la wajane, kesho atashika suala la vibaka, keshokutwa atashika suala la tezi dume... yaani ujinga ambao hauna matokeo yoyote bali unazidisha tatizo na kutumia muda na fedha bila matokeo. Bahati mbaya ni kuwa huwezi kuwadanganya watu muda wote.. kuna siku itafika...
MENEMENE TEKERI NA PERESI.Wazungu wanasema .. Shortcut is the longest way you were not going... Na Waswahel wanasema unaweza kuruka ndogo(haja) ukadhani umesalimika kumbe unaenda kukutana na kubwa
Na shida ya kubwa ni moja haichomi, haiumizi lakini ukiikanyaga lazima uchecheme kama aliyekanyaga mwiba ukamchoma akiwa peku ama ukiwa umevaa kiatu ama kobazi lisilo na soli imara!
Na shida ya kubwa ni moja ukishaikanyaga umeitibua uvundo wake wote
Utanuka wewe na wengine watakukwepa kutokana na harufu hiyo wasijue kutofautisha kama ni yako ama ni ya mwingine umeipitia tuu..!
Tunaaswa na wahenga tukiwa kwenye taharuki tusiwe watu wa kuchukua maamuzi ya haraka! Lakini kubwa kuliko yote kuepuka kuchukua maamuzi yanayotokana na ushauri wa kunguni na papasi
Chama kimeyakanyaga! Kinatoa uvundo mkali.. Wenye pua ambazo silika za kunusa bado zinafanya kazi wataanza kukikimbiaView attachment 2789168View attachment 2789169
Sent using Jamii Forums mobile app
Hili sula la bandari mimi naona madhara yatasambaa na kusababisha mambo mengine mabaya zaidi. 1. Bandari itakuwa uchochoro wa kupitisha raslimali zetu kwa wingi sana 2. Waarabu hawatataka kabisa rais yoyote aongozi Tanzania bali watahakikisha rais fisadi wanayemtaka wao ataingia, hivyo watahakikishia suala la katiba linafanyika kulingana na matakwa yao.
Roma Locuta, Causa Finita Est.
Sasa wewe kweli unaona Makonda ndiye kiongozi wa kurudisha heshima? Makonda anakwenda kuiporomosha zaidi. BTW kadi za vyama hazina uhusiano wowote na kuridhika kwa wananchi. Hata uwape kadi wananchi wote wa Tanzania bila kuboresha maisha ni bure.Ilo najua mkuu na ndo maana makonda kawekwa ili kurudisha kidgo heshima..watu wamerudisha sana kadi...Zaidi ya kadi 20k zimerudishwa...