- Wakuu ni kwamba kesho tutakuwa na habari zaidi za uhakika kinachotakiwa kuendelea next, so far bado mwili wa marehemu na familia yake wako Rochester, leo na kesho ni siku za kumuaga marehemu kwa huko.
Mungu Amlaze Mahali Pema Marehemu my friend Sister Pendo, na pia awapatie nguvu mume na watoto wadogo watatu aliowaacha.
FMES