Wanachama wenzangu wa chadema,kwa wakati huu tulionao tunalihitaji kwa hali na mali jimbo la arumeru hasa baada ya kulikosa jimbo la igunga jambo ambalo lilikifedhehesha sana chama.Kwanini nasema ilikua fedheha kwetu kushindwa igunga? Tatizo halikua kushindwa mana mnaposhindana ni lazima mmoja ashind,bali ilikua fedheha kwetu kama chama kikuu cha upinzani kushindwa na ccm dhaifi,ccm goi goi, ccm yenye minyukano ya kisiasa isiyokwisha n.k
Sasa ili kurejesha hadhi ya chama chetu ARUMERU ni lazima tushinde,hivyo ni muhimu kumsimamisha mgombea mwenye muscles za kutosha wa kitaifa itakua ni bora zaidi kwani kwa uzoefu wangu kama nilivyosema mahali fulani wa kufanya kazi makao makuu ya ccm kwa miaka mingi ccm pale itashusha timu nzima,kuanzia pinda, Salim, Mangula (hatari sana huyu) mpaka migiro na Lowassa pia.
Hivyo tujipange, mimi pia naunga mkono kama upo uwezekekano kijana mnayemtaja taja hapa bwana nasari samahani kama nimekosea jina lake asubiri kidogo panapo uchaguzi mkuu basi atagombea na kwa utendaji wa dr slaa kwa kipindi cha miaka miwili pale jimbono basi atamuandalia mazingira yenye uhakika kabisa kijana aweze kushinda mwaka 2015!
Slaa kama atasimama pale uwezekano wa kushinda ni mkubwa kama tutampa na sisi support ya kuongezea!ccm sio wagumu hivyo mimi nawafahamu ila tu tujipange vizuri.
Sasa ili kurejesha hadhi ya chama chetu ARUMERU ni lazima tushinde,hivyo ni muhimu kumsimamisha mgombea mwenye muscles za kutosha wa kitaifa itakua ni bora zaidi kwani kwa uzoefu wangu kama nilivyosema mahali fulani wa kufanya kazi makao makuu ya ccm kwa miaka mingi ccm pale itashusha timu nzima,kuanzia pinda, Salim, Mangula (hatari sana huyu) mpaka migiro na Lowassa pia.
Hivyo tujipange, mimi pia naunga mkono kama upo uwezekekano kijana mnayemtaja taja hapa bwana nasari samahani kama nimekosea jina lake asubiri kidogo panapo uchaguzi mkuu basi atagombea na kwa utendaji wa dr slaa kwa kipindi cha miaka miwili pale jimbono basi atamuandalia mazingira yenye uhakika kabisa kijana aweze kushinda mwaka 2015!
Slaa kama atasimama pale uwezekano wa kushinda ni mkubwa kama tutampa na sisi support ya kuongezea!ccm sio wagumu hivyo mimi nawafahamu ila tu tujipange vizuri.