figganigga
Platinum Member
- Oct 17, 2010
- 26,662
- 59,100
Kwa yaliyotokea 29 Oktoba 2025, ni laana kwa Nchi. Jina lake libaki kwenye Misikiti alojenga pekee.
Kwenye Utawala wake aliruhusu Watanzania kuuana wao kwa wao ili yeye asalie madarakani.. Katiba akaiita kijitabu.. Kijitabu akakitumia kuapa asalie madarakani bila ya kuchaguliwa na yoyote.
Kuna Wale walionunuliwa Magandwa na Silaha kwa fedha za Wananchi, walitumwa Wakaue Wananchi wanaotoa Kodi kulipa Mishahara yao na kununua nguo zao hata Magari wanayotembelea.
Ni akili za Kizanzibari pekee zinazo weza kuua Mtu anayekupa kula. Wazanzibar wanatuona Watanganyika ni Makafiri hata tukifa hakuna anayeumia..
Hayo majina ya Samia yakaandikwe kwenye Mitaa ya Kizimkazi iliyojaa michanga bila Lami..
Akifa tufute kila kitu alichofanya tuanze upya.
Sasa wanatakka daraja la Mkwajuni eti liitwe Abdul kuonesha mshikamano na Muungano imara wa Zanzibar na Tanganyika.
Ukitoka Mkwajuni kuelekea Magomeni Jijini Dar Es Salaam pale Bondeni, Samia anataka aweke Daraja liitwe Abdul.. Fedha wametoa Uarabuni eti. Wanadai ni mkopo nafuu.
Yaani hii Nchi!
Kwenye Utawala wake aliruhusu Watanzania kuuana wao kwa wao ili yeye asalie madarakani.. Katiba akaiita kijitabu.. Kijitabu akakitumia kuapa asalie madarakani bila ya kuchaguliwa na yoyote.
Kuna Wale walionunuliwa Magandwa na Silaha kwa fedha za Wananchi, walitumwa Wakaue Wananchi wanaotoa Kodi kulipa Mishahara yao na kununua nguo zao hata Magari wanayotembelea.
Ni akili za Kizanzibari pekee zinazo weza kuua Mtu anayekupa kula. Wazanzibar wanatuona Watanganyika ni Makafiri hata tukifa hakuna anayeumia..
Hayo majina ya Samia yakaandikwe kwenye Mitaa ya Kizimkazi iliyojaa michanga bila Lami..
Akifa tufute kila kitu alichofanya tuanze upya.
Sasa wanatakka daraja la Mkwajuni eti liitwe Abdul kuonesha mshikamano na Muungano imara wa Zanzibar na Tanganyika.
Ukitoka Mkwajuni kuelekea Magomeni Jijini Dar Es Salaam pale Bondeni, Samia anataka aweke Daraja liitwe Abdul.. Fedha wametoa Uarabuni eti. Wanadai ni mkopo nafuu.
Yaani hii Nchi!