Pendekezo: Prof. Lipumba awe mgombea wa upinzani Igunga

Pendekezo: Prof. Lipumba awe mgombea wa upinzani Igunga

Tunasubiri kipenga tu kipulizwe. Tutahamia Igunga kugawana kila kada wa CHADEMA kijiji chake. CCM hawajawahi kukutana na kazi ngumu kama ambayo tunaenda kuwafanyia this time. Waheshimiwa wanajamvi thisi is not an exaggeration. it is real.

Tutafanya kampeni kwa mfumo mpya ambao CCM watajikuta wamepwaya from the beginning to the end.
Ni lazima tuchukue jimbo la Igunga hata kama candidate wetu atakuwa utingo wa daladala.
 
Watu wa Igunga wamepigika vyakutosha. Mabadiliko ni lazima, CHADEMA chukueni jimbo kiulainiiii! Nawaambieni hata Kikwete angeteuliwa na Magambaz kugombea pale halafu CHADEMA wakaweka jiwe badala ya mtu, Jiwe lingeshinda kwa kishindo.
 
Igunga ni ngome ya CCM, na itabaki kuendelea kuwa hivyo.
Igunga nina uhakika 100% ccm hatuwezi kushinda. Wapinzani watatubwaga vibaya sana, hasa kwa sababu ya hili tatizo la haka kaugonjwa ketu ka umeme kukatika.
 
Watu wa Igunga wamepigika vyakutosha. Mabadiliko ni lazima, CHADEMA chukueni jimbo kiulainiiii! Nawaambieni hata Kikwete angeteuliwa na Magambaz kugombea pale halafu CHADEMA wakaweka jiwe badala ya mtu, Jiwe lingeshinda kwa kishindo.
Usitake ncheke mie !
 
Nasema yeyote atakayewekwa na CCM kupambana na CHADEMA huko Igunga tutamshughulikia kikamilifu. hakuna urafiki, kujuana, uanaharakati wala matarajio ya kufanya siasa nzuri.

Katika Tanzania ya sasa mtu asiyejua kuwa through CCM haiwezekani kudeliver huyo hatufai kwa lolote lile. Huwezi ukajivunia ukavu wakati ukingali majini. HUko majini WOTE wamelowa. Said akiingia huko naye atakuwa amelowa; na sisi tutampinga kama tunavyowapinga wenzake waliolowa. Again this time we are determined. Igunga is with no doubt ours. Whoever wants the jimbo should seek it through CHADEMA only.

Haki ya nani sijawahi ona tumepania jimbo kama hili.
 
Jambo wana JF!
ubunge igunga ni moja kati ya ajenda mpya yakufanyia kazi. Igunga inawasomi kadhaa ambao wanafaa kuwa wawakilishi wa wananchi. Wasomi hawa ni pamoja na Dr. Kafumu Kamishna wa Madini- Nishati na Madini, mtaalamu aliyebonea katika madini, tunaye pia Bw. Mboje mtaalamu wa masuala ya uvuvi ambayetunasikia yuko Marekani kwa sasa, Jafar Omari, Hamis Mapinda na Malembela Mashauri mwalimu wa sekondari. Watu hawa wote waliwania ubunge awamu iliyopita na bw. Rostam. Naamini mmoja kati ya hawa anafaa awe mwakilishi wa wananchi kwa jimbo la Igunga. Kwa namna tulivyowasilikiliza wakati wa kampeni walikuwa moto wa kuotea mbali maana walieleza ukweli kila palipostahili. Nawashauri chama chochote kiwatafute hawa badala ya kufikiria mtu ambaye hajui haja za watu wa Igunga. Igunga kwanza mengine yafuate. Igunga imekuwa wilaya ya mwisho kimaendeleo ukilinganisha na wilaya zingine za mkoa huu wa Tabora. Hakuna maji, zahanati hovyo, shule hazina walimu, hakuna mikakati ya maendeleo. Nashangaa wanaosema rostam kaliliwa na watu si kweli hata kidogo labda kwa wale vibarua waliokuwa wanashiba kwake.
Nahauri Igunga iwatumie vijana hao niliowataja wanaweza kufanikisha maendeleo ya Igunga.
Kama kuna mwenye CV za hawa watu azianike jamvini ili watu wasaidie kutoa mawazo ya kina igunga ipate mtu wa kufaa.
....ningekusifu kama ungetaja agenda za maendeleo zitakazisaidia lgunga kuondoka hapo ilipo, wapi pa kuanzia kwa maana ya vipaumbele then kutengeneza orodha ya nani anaweza kuja na MIKAKATI THABITI na siyo ile ya kutegemea fedha za budget ya serikali au aseme yeye atatoa fedha kufinance NO!! reliable source of finance!!!
vzr umetaja wachache, bt kihistoria wilaya ya lgunga ina sehem mbili muhimu Nkinga na Ussongo, these two places can provide potential people to stand for candidacy, kama una interest kweli fanya utafiti utapata majina ya kutosha, unless una candidate unataka kupropangadize
 
Uandishi wa habari wa mwanaharakati kubenea umechangia sana katika watu kujivua magamba. Anatakiwa ajue hilo, aendelee katika hilo kupitia fani hiyo ili kuilinda, kuiimarisha, kukitia moyo kizazi kijacho kwamba amethubutu, ameweza na anasonga mbele katika taaluma yake. Lol!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Hujakosea......umechelewa sana kuamini,wenzako walishaanza zamani sana.Siku nyingine uwe unawahi
we ben ni masalia ya zitto,na bora tumekugundua mapema kabla ujapenya..ata kama unamchukia kubenea kwa ukweli anaondelea kuuanika,lazma uuappriciate mchango wake kwa mabadiliko tunayoyaona sasa na upepo mzma wa kisiasa,labda km sio muungwana au una shabaha nyingine
 
So far cdm wana kata kama 4 hivi ni ngome yao kubwa ikiwemo igunga mjini, uswaya na isenegeja. Pia kuna maeneo ambayo rostam alipata shida sana kujinadi ikiwemo simbo ambapo alilazimika kumpeleka pm na ngeleja kuwahakikishia upatikanaji wa umeme. Maeneo kama nkinga, nyandekwa, choma, bukoko, cheli, sungwizi, ugaka, ziba, mwisi, ulaya, hata ile kanda wanayotoka akina dr kafumu na dr masele wa chuo kikuu cha dsm ni ngome kuu ya ccj, ooh sorry ccm
kimsingi rostam ameisaidia sana igunga. Siwezi kujua kama alikuwa anatoa hela yake au through kui push serikali. Umaskini wa wakazi hauna tofauti na majimbo mengine yaliyopo katika mkoa wa tabora.

Ninaongea haya si kwa kusikia bali nimejionea mwenyewe kama mzaliwa wa igunga. Katika huduma za jamii huwezi kulinganisha na urambo wala uyui. Mfuko wa chf ni wa kupigiwa mfano ambapo wilaya nyingine hufika igunga kujifunza. Fikeni usongo mwone ambavyo ra amesaidia kutatua tatizo la maji. Kuna mtu kazungumzia kuhusu stendi ya mabasi.

Sioni kama stendi hiyo na mbaya kuliko stendi ya nzega, labda kwa kuwa ile ya nzega ipo katikati ya mji. Ni kama iliyopo sikonge, kahama, misungwi, singida n.k

i stand to be corrected, hakuna mtu anaweza kufanya maajabu igunga ikabadilika bila msukumo wa mabadiliko kutoka serikalini. Kama kuna kuna mtu ana sifa za kuwawakilisha wana igunga avute fomu akalambe posho mjengoni
 
halafu hii poll ya kupigia kura za maoni mbunge wa igunga sioni kama ina mantiki kwani wengi humu JF wapo nje ya Tanzania, kwa hiyo haina msaada wowote. au kwa lugha rahisi haireflect uhalisia jimboni. Tumejifunza uchaguzi uliopata wa urais jinsi slaa alivyokuwa akiongoza hapa fj kumbe hajulikani kabisa sehemu zingine za Tanzania.
Unajua unachokiongea ww au ni vile tu umepata access kuweza kuchangia hapa. Mjifunze kuwa analytical na kujadili mambo objectively. JF ni medium na kama hujui basi fahamu kuwa kila medium ina audience yake.
 
aisee.... rafiki yangu speaker anadhani Kubenea is a good leader, Mungu wangu!!!!
No wonder tupo hapa tulipo

Aliwahi kuongoza wapi hadi udhani hafai kuwa kiongozi?
kwa mtazamo wako hafai kuwa kiongozi kwa sababu "kila akiamka
yuko na lowasa",...

well,hivo ndivo ulivo m-define lakini mimi naweza tumia statement hiyo hiyo
kukwambia kwamba anafaa kuwa kiongozi kwa sababu "ni mtu anae stick to a thing until it's finished,.."!

Sijui kama wewe unapenda watu wanao rukia rukia vitu tofauti na kuviacha nusu nusu,...
he's a leader,assume angekua waziri wa nishati na madini,ange stick hapo hadi tatizo la umeme liishe haha,
 
Aliwahi kuongoza wapi hadi udhani hafai kuwa kiongozi?
kwa mtazamo wako hafai kuwa kiongozi kwa sababu "kila akiamka
yuko na lowasa",...

well,hivo ndivo ulivo m-define lakini mimi naweza tumia statement hiyo hiyo
kukwambia kwamba anafaa kuwa kiongozi kwa sababu "ni mtu anae stick to a thing until it's finished,.."!

Sijui kama wewe unapenda watu wanao rukia rukia vitu tofauti na kuviacha nusu nusu,...
he's a leader,assume angekua waziri wa nishati na madini,ange stick hapo hadi tatizo la umeme liishe haha,
kiongozi lazima awe versatile, na ukiondoa vichwa vya habari za lowassa kwenye mwanahalisi siajona Kubenea anachoweza kufanya

You are my friends and i am happy the way we differ

Hivi ameshawahi hata kuongoza vyema nyumba kumi?? Vipi umeshfuatilia Mwanahalisi ukajua wako vipi wale vijana wake?? hebu cheki level yake ya kumanage kazi yake kwa kuanza na website tu

Anyway, kubenea anafaa sana kuwa mgombea ubunge igunga lakini hafai kuwa mbunge, hasa hapo kwenye red maana angeweza kung'angania hoja moja miaka mitano na kusahau yote maishani mwake, LOL

Si kila king'aacho ni dhahabu swahiba
 
kiongozi lazima awe versatile, na ukiondoa Lowassa siajona Kubenea anachoweza kufanya

You are my friends and i am happy the way we differ

Hivi ameshawahi hata kuongoza vyema nyumba kumi?? Vipi umeshfuatilia Mwanahalisi ukajua wako vipi wale vijana wake?? hebu cheki level yake ya kumanage kazi yake kwa kuanza na website tu

Anyway, kubenea anafaa sana kuwa mgombea ubunge igunga lakini hafai kuwa mbunge, hasa hapo kwenye red maana angeweza kung'angania hoja moja miaka mitano na kusahau yote maishani mwake, LOL

Si kila king'aacho ni dhahabu swahiba

Haha,no men,...am out for now ntachangia baadae ngoja nitafute facts
flani kwanza boss
 
Kaka umekuwa wa mipasho?

Hapana mkuu Selous,hizo ni hisia tu.hiyo siyo fani yangu kaka

Anamiliki bendi za taarabu siku hizi

Speaker,asante......

Lakini si nimepata audience mkuu?vinginevyo hiyo bendi ingekuwa imefilisika,sasa kama naweza kupata audience ya wenye Akili huoni kwamba nimefanya linaloonekana haliwezekani liwezekane?wewe sio mtu wa pwani lakini unatoa audience kwenye taarabu unayoidharau mkuu.Hivi ni vipaji vinavyostahili kutambulika na kuendelezwa....visipotee! Thanks for the acknowledgement

Mkuu, huyu ana chuki na kubenea tangu hiyo ya Masalia itoke.

Ohh,Kumbe Kubenea ndiye aliyeandika hiyo story ya kijinga na ya udaku eeh? sijawahi kufikiria hilo,basi tuna kazi nzitio kwenye media industry,nitajiridhisha anyways

Mbona Mwananchi walaindika story ambayo sio sahihi sana lakini sina shida nao?Majira pia hivyo hivyo,The Citizen pia hawakuandika story sahihi sasa kwa nini ionekane ishu ya kubenea na huo mradi wake? Kumbuka ninaheshimu sana media industry kama mhimili muhimu wa dola kuliko hata executive.media Industry naiona ni muhimu kama bunge,Judiciary system na ya mwisho na iona Executive.

Lakini,Duh....Sijawahi na sikuwahi kupenda kukapa majibu kama haya...but read through your arguments again and again and if it doesn't sound funny to you,someone ought to refund the school fees paid on your behalf.Thanks for the compliment

teh teh teh MASALIA upoo?dah mpe hi! zitto mwambie akileta pepe ataungana na Kafulila

Duh....From historical perspective, your argument is even more ridiculous.Asante kwa recognition!

we ben ni masalia ya zitto,na bora tumekugundua mapema kabla ujapenya..ata kama unamchukia kubenea kwa ukweli anaondelea kuuanika,lazma uuappriciate mchango wake kwa mabadiliko tunayoyaona sasa na upepo mzma wa kisiasa,labda km sio muungwana au una shabaha nyingine

thanks for your observation.by the way, I dont even know how did you come into such an obsurd conclussion.Your argument hold no water, whatsoever. One, I'll like you to stick to the thread subject.

aisee.... rafiki yangu speaker anadhani Kubenea is a good leader, Mungu wangu!!!!

No wonder tupo hapa tulipo

MTM,

Mkuu ukisoma ujumbe wa Padre Privatus karugendo kupitia gazeti la Tanzania daina leo kwamba tuna tatizo kubwa kama Taifa,basi hautakuwa na shida ya kuelewa hili.

Sisi kama taifa tuna Reasoning vacuum ambayo inalazimisha kuwa na Leadership vacuum.Sasa comments nyingine hapa zinatoa picha na kuwakilisha a very big fraction ya ombwe la fikra tulilo nalo kama Taifa.
 
Ahsante kwa kuleta hii taarifa nyeti! Lakini huyu kubenea siku hizi amekuwa ni corrupt hata yeye kwani mashirika mengi tayari yamenunua mfano PPF, kwani si shangai kusema matop wa CCM wamefanya faragha naye siku hizi kuhusu jimbo la m-irani RA la Igunga, hata hilo gazeti lake la Mwanahalisi limechunja sana ni bora angalie taaluma nyingine ya politica he might be creative under CDM and not CCM.
 
Back
Top Bottom