Pendekezo: Prof. Lipumba awe mgombea wa upinzani Igunga

Pendekezo: Prof. Lipumba awe mgombea wa upinzani Igunga

inaonesha ni jinsi gani alivyo kilaza wa intelijensia....ama anaweza akawa anamfahamu ila kapozwa na kuamua kuuchuna....
 
Kubenea siku hizi mpambe wa mapacha watatu! Wamebakia wawili, Kubenea pamoja nakujua na kufuatilia mawasiliano ya Zitto Kabwe na Boss wa Usalama wa Taifa, lakini mpaka leo hajamjua nani alimwagia tindikali
unafikiri hamjui, tatizo ni kuithibitishia polisi yetu na mahakama (vyote vipo chini ya serikali ya magamba serikali dhalimu) sasa unatarajia nini?
 
unafikiri hamjui, tatizo ni kuithibitishia polisi yetu na mahakama (vyote vipo chini ya serikali ya magamba serikali dhalimu) sasa unatarajia nini?
Kama anamjua ebu tutajie labda alikuambia wewe!
 
Magamba kazini! Senema ya sarakasi inaendelea. Mtalia sana juu ya wapiganaji.
 
Kubenea siku hizi mpambe wa mapacha watatu! Wamebakia wawili, Kubenea pamoja nakujua na kufuatilia mawasiliano ya Zitto Kabwe na Boss wa Usalama wa Taifa, lakini mpaka leo hajamjua nani alimwagia tindikali
alishakujua zaman,soon nawew utamwagiwa ya kwako.
 
tafuteni nakala za zamani za mwanahalisi na mtakuta contact no. zake.
 
Hallow,

Napata ugumu kidogo kuamini kuwa Kubenea anaachana na uana harakati aende Bungeni. Alikuwa kioo cha jamii na changamoto ya mabadiliko. Ingekuwa ni mapenzi yangu, ningetamani abaki kuendelea kuwasha taa ambazo waandishi wengine walishindwa kustahimili kushika kiberiti chake kwani nikizito. Hapa naamini usemi wa wahenga wetu usemao " MCHAWI MPE MWANAO AKULELEE"
 
nimestukia kuwa hii thread ni KIMEO,inapoteza muda wa wana JF tu na nimegundua kila anayechangia hana ukweli wa jambo hili!
 
Taarifa nilizozipata sasa hivi, yule mwandishi wa habari mashuhuri nchini, Bw. Said Kubenea anatarajiwa kugombea ubunge katika jimbo la Igunga lililowachwa wazi na mbaya wake Rostam Aziz.

Tayari mazungumzo kati ya Kubenea ambaye mmoja wa wazazi wake wanatoka Igunga yamefanyika naye inasemekana amekubali ofa hiyo. Anatarajiwa kugombea kupitia chama cha magamba.

Mwingine anayetajwa kutaka kujitosa jimboni Igunga, ni Hussen Bashe na Peter Kafumo.

hiiiiiiiiii umbea. kubenea wazazi wake wanatoka igunga? yaani mama au baba? nimjuaye mimi kubenea hana hata ndugu Igunga
 
kweli spanner hiyo njama ya ccm, huyo kubenea akienda kugombea ubunge na kupata watakuwa wameshaliua mwanahalisi, ndio strategy yao!!!!!! j
 
WanaJF mpeni Kubenea HAKI YAKE YA KUCHAGUA NA KUCHAGULIWA KUPITIA CHAMA ANACHOPENDA YEYE. Jamani huu ndio utamu wa SIASA,hiki si cha kushangaa kubenea ni mpiganaji muacheni, sio kila Mwana CCM basi hapaswi kuwa Mwanaharakati na mpiganaji wa TAIFA letu.NOOO SIO SAWA HATA KIDOGO.Mpeni haki yake ya KUCHAGUA NA KUCHAGULIWA.

Nimekuwa napinga sana hatua na juhudi za CCM za kuwafanya Watanzania wengine Kama wageni ndani ya TAIFA lao kwa kuwa si WanaCCM.Ili uwe na mchango wa kulitumikia TAIFA ni Lazima uwe MWANACCM.Hapana huo si UTU,ni UONEVU hivyo kupatikana kwa watu kama KUBENEA ndio mwanzo wa mageuzi.

Kwa kuwa dhamila yake ni mageuzi,akifika uko asitumie nafasi hiyo kwa faida ya wengi basi nae ATASTAHIKI LAWAMA za kutumwa na wanfamilia chakula wakati wa njaa kisha baada ya kupata chakula cha wanajamii anapotea nacho anakojua yeye,na kuwaacha wanajamii wakiendelea kuteseka na njaa.TUNAITAJI MCHANGO WA KUBENEA BUNGENI ACHENI AENDE SIO LAZIMA APITIE CDM HATA CCM NACHO NI CHAMA.JIBU LA TATIZO SI KUKIMBIA TATIZO BALI NI KUKABILIANA NALO.

HONGERA KUBENEA KAMA NI KWELI.
Hii nimeipenda, hongera sana kaka kwa mchango mzuri
 
Taarifa nilizozipata sasa hivi, yule mwandishi wa habari mashuhuri nchini, Bw. Said Kubenea anatarajiwa kugombea ubunge katika jimbo la Igunga lililowachwa wazi na mbaya wake Rostam Aziz.

Tayari mazungumzo kati ya Kubenea ambaye mmoja wa wazazi wake wanatoka Igunga yamefanyika naye inasemekana amekubali ofa hiyo. Anatarajiwa kugombea kupitia chama cha magamba.

Mwingine anayetajwa kutaka kujitosa jimboni Igunga, ni Hussen Bashe na Peter Kafumo.

Kumbe Bashe hakuwa raia jimbo la Nzega lakini Igunga ni raia! Au kwa kuwa ni jimbo la wabunge ma TX?
 
Sidhani kama utanishawishi kwa mwanaharakati kama Kubenea kugombea ubunge kupitia chama changu cha magamba.
naamini kubenea ni mtu makini kuliko unavyofikili...
 
Hao wenye ngozi nyeupe ndio wanakuongoza sasa hivi. Nambie, Jakaya mweusi?
Nnacho elewa mimi ni ukweli kwamba mtu mweupe si kama ulivyomaanisha, ni m2 asiependa maendeleo ya mtu mweus ndomana leo hii wanachimba madin ww haunufaiki nayo lkn wananufaika weupe wenzake, hali kdhalika samaki wanabeba nyie mnaachiwa mifupa. KItu cha kuelewa hapa ni kwamba Bashe amepandikizwa na mapacha watatuTujipiganie watu weus ili tuishi kwa uhuru, cdm ndo mpango mzima kwahiyo hata kubenea akigombea kupitia magamba mi ntamdis na siwez kumuamini kama atatetea maslahi ya mkulima mwenzangu wa hapo igunga, ukiacha cc wakulima wa nzega ambao tumesahaulika na gvt ya magamba.
 
Yule msomari wa nzega nampata sana, anauchu wa kushirikiana na rosta kunyonya madin hapo nzega, si unajua rosta na bashe ni mtu na shemejiye!
mi hata sishangai kusikia kuwa anaenda kugombea igunga, cha msingi cdm tujipange.
 
Sidhani kama utanishawishi kwa mwanaharakati kama Kubenea kugombea ubunge kupitia chama changu cha magamba.naamini kubenea ni mtu makini kuliko unavyofikili...
Hata mimi sitaki kuamini kubenea anaenda kugombea kupitia magamba!
 
Back
Top Bottom