Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 59,144
- 103,654
Mkuu wako chini ya katiba ya CHADEMA!
Wakamateni maana nyie ni wazalendo uchwara.
Mkuu wako chini ya katiba ya CHADEMA!
Basi sawa.Hakuna anayehitaji ufuasi wako, baki huko huko uliko, ili uone kitu ambacho wakoloni walisema watanzania hawawezi kujitawala iwapo watapewa uhuru.
Unadhani Nyerere wakati anadai uhuru alikuwa amewafanyia nini watanzania?Kushabikia Upinzani huu wa kina Lisu na kina Mbowe na vijana wao ni aina ya ujinga mkubwa,maana wananchi tunaona serikali ya sasa inafanya nini..kuna nyakati nyingi sana waTanzania wanapoteza muda tu kuwasikiliza na kuwashabikia wasanii wa kisiasa.
Vipi umekasirika au?Unadhani Nyerere wakati anadai uhuru alikuwa amewafanyia nini watanzania?
Inawezekana tukawa wajinga au mazuzu lakini kujitambua ni mhimu maana hatukuimbwa kuwa waitikiaji hata kwenye ujinga wenyeweKushabikia Upinzani huu wa kina Lisu na kina Mbowe na vijana wao ni aina ya ujinga mkubwa,maana wananchi tunaona serikali ya sasa inafanya nini..kuna nyakati nyingi sana waTanzania wanapoteza muda tu kuwasikiliza na kuwashabikia wasanii wa kisiasa.
Huyu tumeambiwa ni yesu mpya MwibaraSerikali ifanyacho sio hisani bali ni wajibu wa serikali yoyote, hata serikali ya wakoloni ilifanya miradi ya maendeleo, kwani ni wajibu wa mkusanya kodi. Kwani wakiingia madarakani wapinzani, watavunja hicho kinachofanywa na serikali ya sasa?
Serikali ani ambayo haikufanya nini? Tangu wakoloni mpaka JK tumeona kila mtawala alifanya nini. Hukuwepo duniani wakati rais wa sasa anatumwa na JK kusimamia ujenzi wa miundombinu? Mwaka huu mtakaa tu!Kushabikia Upinzani huu wa kina Lisu na kina Mbowe na vijana wao ni aina ya ujinga mkubwa,maana wananchi tunaona serikali ya sasa inafanya nini..kuna nyakati nyingi sana waTanzania wanapoteza muda tu kuwasikiliza na kuwashabikia wasanii wa kisiasa.