Pendekezo la hii kodi linawafaa TRA?

Pendekezo la hii kodi linawafaa TRA?

Yaani ni aina ya kodi ambayo kila Chombo chochote cha Moto kinapotaka kuingia Mkoa mwingine usio wa asilia kitozwe tozo. Lengo hapa ni kuchochea tu maboresho ya huduma hasa hasa kwenye Vyombo vyenyewe.
Hapa maana yake kila mkoa uwe na reg no yake wazo zuri ila hiyo kodi watanunulia maivete
 
Yaani ni aina ya kodi ambayo kila Chombo chochote cha Moto kinapotaka kuingia Mkoa mwingine usio wa asilia kitozwe tozo. Lengo hapa ni kuchochea tu maboresho ya huduma hasa hasa kwenye Vyombo vyenyewe.
Hapo itaongeza tu mrundikano wa kodi ambao ata usimamizi wake utakuwa mgumu na kuwapa mzigo mkubwa wananchi. Fikiria kwanza tax imposed on motorvehicles mpaka sasa.
 
umewahi kulipa kodi gani mkuu? Tuanzie hapo 🤣 maana kuna jamaa angu alisema tuanze kutozwa kodi ya kumiliki simu , afu ukimwangalia yeye anakaa kwa dada ake arusha
 
Back
Top Bottom