Kweli CHADEMA mmemchoka Zitto, yaani mmefikia hatua ya kumfanaisha huyo Heche na Zitto Kabwe?. Upeo wa Heche ni mdogo sana, nahisi na elimu yake ni ndogo sana kwa jinsi nilivyomuona last week kwenye kipindi kimoja ITV. Kuna tofauti ya mtu wa kuweza kuongoza na kuaminiwa na watu wenye busara zao na yule anayeweza kuwaconvice watu wa vijiweni na madereva wa bodaboda. Heche uwezo wake uko huko kwa madereva wa bodaboda, na he is not one among of the cream of this nation.
Kwa sisi wengine tusikuwa na vyama tubaki kuwaangilia tu upuuzi na ubinafsi wa CDM, sio muda mrefu mnapoteza dira, najua inauma ila ni vugumu kwa makuli, madereva bodaboda, watu vijiweni, kuchukua nchi huku middle class wa nchi wakiangalia tu, hata watu wa vijiweni wawe wengi namna gani, na wajitokeze wengi kupiga kura siku ya uchaguzi, kamwe hataweza kutawala, ndio itafanya vyombo kama jeshi kuchua nchi
CHADEMA andaeni tabaka na kuchua dola, siyo kila wakati maandamano, kumbukeni Popularism is not Democracy,
Na wewe umetumwa na nani,kuwadi wa uzandiki wewe!mmezoea kutumuwa na wachagga basi unadhani kila mtu anatumiwa!
Subili siku yako ifike utupwe kama condom!
Wafuasi wa magamba mbona wanaweweseka sana?embu watulie watuachie mambo yetu .
Kwa wanafuatilia siasa za Tz ni wachambuzi siyo washabiki take my words come 2015 Shibuda atakuwa raia wa kawaida mtaani na huo utakuwa mwisho wake wa safari ya kisiasa !! Hapo ndipo prons na cons za Magamba zitakapo kuwa peupe kwa watu wa dizaini ya Shibuda!
Ha ha haaaa! unanikumbusha mzoea vya kunyonga....Unamtukana nini sasa amemaanisha jambazi sugu aliepumzika baada yakupata ubunge,
Ingawaje yakuachishishwa ubunge amerudia katabia kake kwani hivi majuzi kakimbia na hela za m4c.
Si unajua wezi/majambazi mikono yao ina tabia yakuwasha wakipumzika wizi.
Kweli pesa ni shetani, posho kidogo tu inakufanya utoe matusi kwa mtu usie hata mjua, kweli sasa nimeamini mhuni lazima atamtetea mhuni mwenzakekaa huko we zuzu na muhanga wa BAVICHA kazi wivu tu kama choo, mlifanya visa vyote lakini kamanda Heche akawatoa nishai na sasa mmebaki kupiga majungu fcbk lakini mwenzenu Heche anazidi kupaa angani......
100% trueNakubali na kuutambua mchango wa Kamanda Heche ila nadhani bado hajafikia hatua ya kuvivaa viatu vya kamanda Zitto
Kila mmoja ana maeneo yake ambayo anafanya vizuri sana. Hakuna sababu yoyote ya kumng'ong'a mtu.
Kweli wewe ni kipofu.Tofautisha kati ya Mkiti na Katibu wa chama.Unapokuwa Naibu katibu mkuu
unaongoza sekretariati ambacho ni chombo cha utendaji cha chama ambacho kinapaswa kufanya kazi za kiutendaji muda wote.Huwezi kuwa
mjumbe wa sekretariati ambaye unakaa miezi 2 hujafika ofisini,huwezi kuwa mjumbe wa sekretariati ambaye vikao 4 mfululizo umeshindwa kuhudhuria,huwezi kuwa mjumbe wa sekretariati unayekosa nafasi ya kwenda hata mikoani kukagua shughuli za utendaji.Kazi ya Mkiti ni kuongoza vikao vya Kamati kuu na Baraza kuu na yale majukumu atakayopangiwa na sekretariati.Au unataka nikuwekee katiba ya CDM hapa ikufundishe zaidi?
Magamba wamealikana kila kona kuja kutoa mapovu hapa Jamvini.Viongozi wa CDM mnapaswa kugundua kitu hapa.
Huyu ushindi wake kabla hata hajatangazwa nilipewa na holly spirit..he is the anointed one....As was praying that day the name was revealed to me and I told all other guys na the post ipo humu JF kwamba ni John Heche wala wasipate tabu!
Kamanda chapa mzigo and in due time God will Himself lift you up na hakuna takayekushusha hata angetumia njia gani!
Kweli pesa ni shetani, posho kidogo tu inakufanya utoe matusi kwa mtu usie hata mjua, kweli sasa nimeamini mhuni lazima atamtetea mhuni mwenzake
kaa huko we zuzu na muhanga wa BAVICHA kazi wivu tu kama choo, mlifanya visa vyote lakini kamanda Heche akawatoa nishai na sasa mmebaki kupiga majungu fcbk lakini mwenzenu Heche anazidi kupaa angani......
Heche nae ni kamanda?
Yaani ccm watatawala milele kwa upuuzi wa vinyago vya mbowe kuitwa kamanda yaani wewe shardcole na wewe umepewa kazi ya chadema tv kweli kazi ipo maana hujajitambua bwa mdogo hao wachaga ni wajasiliamali wa kisiasa lakini bwamdogo endelea kulamba posho na hako kajimshahara ila mwakani huna chako.
nyie jamaa kwa propaganda ni hatari-By Mbowe
Mbowe anasomesha mtoto chekechea kwa milion 15 vp wewe unakulipa sh ngapi kwa kazi ya chadema TV?
Kula posho bwamdogo maana mwakani huna chako ila boss wako analijua hilo.
Mkuu umenifurahisha kwa mapointi yako uliyomwaga hapa..