Mkuu kuwa Gamba usiwe kipofu.Hoja hii inatoa ushauri kuboresha chama wala haimpigi vita Zitto.Zitto na Heche wote wana umuhimu ndani ya chama isipokuwa wabadilishiwe majukumu kwa afya ya chama.Hilo linakuuma nini?
Mkuu wewe usie gamba hautumii hata akili za ziada kuleta majungu yako dhidi ya Zitto hapa janvini? anyway ni rahisi maana utapata waungaji mkono ambo kwao wao Zitto ni adui
Zito ni Mbunge na katibu mkuu lakini umesahau kama Heche ni nani? au cheo cha heche hujui umuhimu wake ndani ya chama? au unadhani anavyofanya anafanya kwa kofia gani? na apewe cheo cha Zitto kwa misingi ipi ikiwa najukumu kubwa la kuongoza vijana
Au wewe huoni majukumu ya Said Arfu kama mbunge na makamu mwenyekiti, vipi kuhusu Mnyika unajua vyeo vyake......why Zitto