- Thread starter
- #81
mjinga anapotasfiri maana ya neno anasahau kwamba werevu wapo machot
Pokea Like yangu mkuu.
mjinga anapotasfiri maana ya neno anasahau kwamba werevu wapo machot
Mkuu ulikuwa haulifahamu hilo,sasa wewe ulijua Mbowe kapata uenyekiti kwa kigezo gani? elimu,utashi wa siasa au kukubalika. Hana sifa hata moja kati ya hizo zilizomfanya kuwa kiongozi.Usistaajabu Heche akapewa nafasi ya Zitto kwa kuwa amekubali kulamba miguu ya Mbowe.Kumbe mbowe mkwe wa mtei? Duh yaani baba mkwe alikuwa mwenyekiti akamuachi mkwe wake mbowe!!!? Nchi ya zaidi ya ya 40m population hakuonekana zaidi mkwewe tu? Mmmh maswali mengi kuliko majibu
Huna mamlaka ya kuwaamulia CDM
Pokea Like yangu mkuu.
Mkuu kama hujui kitu kaa kimya.Ni mwanamke gani wa BAWACHA?
mjinga anapotasfiri maana ya neno anasahau kwamba werevu wapo macho
Juliana Shonza, halafu wewe una uwezo kuniambia nikae kimya humu JF sababu JF sio mali ya Chadema.
wanajf,
kiongozi wa bavicha taifa john heche ni kati ya wanamapinduzi waliojitolea na kufanya kazi kubwa sana ya kupigiwa mfano.
Kila tunaposoma vyombo vya habari john heche anaripotiwa yuko vijijini kufungua mashina, ofisi na kuingiza wanachama wapya. Ni mwezi uliopita tu alikuwa mikoa ya nyanda za juu kusini na kuingiza maelfu ya wanachama.
Wiki hii mwanzoni alikuwa morogoro na leo yuko vijijini kagera akifanya kazi kubwa ajabu. Hata anapokuwa mapumzikoni dar john heche hatulii ofisini bali anazunguka kila kona ya dar akifanya mikutano na kuzindua mashina.
Ni wazi kabisa kwamba kiongozi anayependwa na nyota wa chama hicho kwa sasa katibu mkuu dr willibrod slaa amekuwa na majukumu mengi kiasi kwamba pengo la naibu katibu mkuu bara linaonekana wazi.
Naibu katibu mkuu zitto kabwe amekuwa na majukumu mengi ya kibunge kiasi kwamba anashindwa kumsaidia katibu mkuu majukumu yake.zitto awe tu mjumbe wa kamati kuu ambaye atakuwa hana majukumu ya kila siku ndani ya sekretariati.
Ninatoa mapendekezo kwa viongozi wa chama kwamba ikiwezekana katika uchaguzi wa sekretariati mpya mwakani john heche akabidhiwe mikoba ya zitto kabwe kwa ufanisi zaidi.ikumbukwe kutokana na majukumu mengi ya kibunge ya zitto ameshindwa karibu mara 4 mfululizo kuhudhuria vikao muhimu vya chama hicho vilivyotoa maamuzi mazito.
John heche ni jasiri, mpambanaji, anayefanya kazi usiku na mchana na aliyejitolea maisha yake kwa ajili ya chadema.
Hakika john heche ni jembe kwelikweli anayepaswa kupandishwa daraja zaidi.
Nawasilisha.
Mjinga ni wewe uliotafuna pesa za Saccos.
WanaJF,
Kiongozi wa Bavicha Taifa John Heche ni kati ya wanamapinduzi waliojitolea na kufanya kazi kubwa sana ya kupigiwa mfano.
Kila tunaposoma vyombo vya habari John Heche anaripotiwa yuko vijijini kufungua mashina, ofisi na kuingiza wanachama wapya. Ni mwezi uliopita tu alikuwa mikoa ya nyanda za juu kusini na kuingiza maelfu ya wanachama.
Wiki hii mwanzoni alikuwa Morogoro na leo yuko vijijini Kagera akifanya kazi kubwa ajabu. Hata anapokuwa mapumzikoni Dar John Heche hatulii ofisini bali anazunguka kila kona ya Dar akifanya mikutano na kuzindua mashina.
Ni wazi kabisa kwamba kiongozi anayependwa na nyota wa chama hicho kwa sasa Katibu Mkuu Dr Willibrod Slaa amekuwa na majukumu mengi kiasi kwamba pengo la Naibu katibu mkuu Bara linaonekana wazi.
Naibu Katibu mkuu Zitto Kabwe amekuwa na majukumu mengi ya kibunge kiasi kwamba anashindwa kumsaidia Katibu mkuu majukumu yake.Zitto awe tu mjumbe wa Kamati kuu ambaye atakuwa hana majukumu ya kila siku ndani ya Sekretariati.
Ninatoa mapendekezo kwa viongozi wa chama kwamba ikiwezekana katika uchaguzi wa sekretariati mpya mwakani John Heche akabidhiwe mikoba ya Zitto Kabwe kwa ufanisi zaidi.Ikumbukwe kutokana na majukumu mengi ya kibunge ya Zitto ameshindwa karibu mara 4 mfululizo kuhudhuria vikao muhimu vya chama hicho vilivyotoa maamuzi mazito.
John Heche ni Jasiri, mpambanaji, anayefanya kazi usiku na mchana na aliyejitolea maisha yake kwa ajili ya CHADEMA.
Hakika John Heche ni jembe kwelikweli anayepaswa kupandishwa daraja zaidi.
Nawasilisha.
ni ushauri wa kupembua tu vema na wala sio ugomvi, hongera kwa ushauri wako nafikiri vyombo vinalifanyia kazi
Hivi kumbe Slaa bado anasikika kwenye duru za siasa ya Tanzania?Nakushukuru mkuu wangu.Wala usijali kwani wote wanaotukana matusi hapa ni wafuasi wa Magamba.Kwa hiyo utagundua kwamba wafuasi wa magamba wanapinga ushauri huu kwa vile wanajua utawaumiza.Wanaelewa fika Dr Slaa atakuwa na msaidizi atakayelala vijijini huko kuimarisha chama huku Dr Slaa akitimiza majukumu makubwa ya kitaifa na kimataifa ndani ya chama huku akikiandaa chama kupokea madaraka kwa njia ya amani.
Kazi anayoifanya Zitto kwa CDM inafananishwa na matap tap ya Heche?? Dah, kweli hapo hamna chama!
Neno mwanamapinduzi limepoteza maana sasa Heche naye ni mwanamapindunzi.
Linamfaa mzazi wako.
Mbona umeishiwa sera kiasi hiki? Kama asubuhi unachangia kwa mtindo huu,itakapofika mchana si utatukana matusi humu.
Comment with smile, epuka jazba!
Hivi kumbe Slaa bado anasikika kwenye duru za siasa ya Tanzania?
View attachment 65835hivi karibuni temekeView attachment 65838View attachment 65839View attachment 65839sasa kagera MULEBAView attachment 65841hivi karibuni mwenge DOGO ANATIMIZA KAZI AMBAYO VIJANA WALITEGEMEA WALLAH DOGO AKIENDELEA HIVI HILI NI JEMBE SAANA TATIZO VIJANA WENGI KWENYE CHAMA CHAO WANA HILA NA UKWAMISHAJI BADALA YA KUMPA NGUVU ILA DOGO KWA KWELI ANAFAA SANA KISIASA SABABU HANA UBWANA NA YUKO TAYARI SAANA KWA KAZI HUYU DOGO LEMA,MNYIKA,MREMA,WENJE,SUGU,NI HAZINA KUBWA ZA CHAMA KWA BAADA YA SLAA,MBOWE,KOMU, NA WENZAKE KUSTAAFU
Mkuu Imany John hawa Mapunga Zeze kama Rejao, Ritz na zomba wasikufanye uilmwe BANN, By then tumewashaur Moods ku review Namna hawa jamaa walivyo register JF, Ikiwezekana wapimwe akili zao kwanza,
Haiwezekani wawe everyday wanachangia Matope especially kwa Threads ambazo haziwahusu
Zito atabaki kua Zito 2 hao watoto wanajaribu kuinga nyenendo zake hamna cha Heche wala Mnyika